Nimetoa majibu hayo ili ujifunze kuwa njia za muongo ni fupi na sikutaka kusema mengine maana ningekuweka kwenye wakati mgumu hata kurudi hapa jamvini.
Mkuu Mpaka Kieleweke,
Naomba rekebisha bandiko la majibu yako, maana ulivyoyaweka ndani ya quote ya mtoa tuhuma, kuna wengine wanaweza wasiyaone. Ama weke quote za kila kipengele au tumia rangi. Hiyo ni kwa manufaa ya wanaotaka kufahamu ukweli wa sakata hilo.