Nimesoma gazeti la Majira,Tanzania Daima,The Citizen na Mwananchi Tundu Lisi ameelezea kwa uwazi kabisa vifungu vya kisheria vilivyoanishwa vinavyovunjwa na jeshi la polisi alizungumzia pia hatua watakayoifanya kama Jeshi la Polisi hatawapa kibali huko mbeleni ikiwa ni pamoja na kutoa hoja ya dharura bungeni kwa kutokubali bunge kuendelea na shughuli yeyote mpaka watakapoelezwa ni kwa nini jeshi la polisi linazuia wabunge wa CDM kufnya kazi zao ikiwemo mikutano ya hadharaKwa hiyo CHADEMA itaiondoa rushwa mahakamani kwa kususia mfumo wa sheria au kwa ku expose mfumo wa sheria?
Unaelewa distinction niliyoitoa kati ya mahakama za chini na mahakama za juu? Unaijua Mahakama ya Rufaa Tanzania na historia yake kuhusu kesi za kisiasa? Umeona precedents za watu kama majaji Francis Nyalali, Kahwa Lugakingira na Robert Kisanga, nikiwataja wachache tu, katika kutoa rulings na findings zilizo sema kweli kwa watawala ?
Tatizo hapa ni kwamba mna defeatist attitudes, na huwezi kushinda hata siku moja kama ukiwa na defeatist attitude. You gotta play to win. Peleka kesi mahakamani, tuonyeshe ushahidi, hata kama ni wa kimazingira tu, kwamba CCM inatumia mahakama kuwaminya CHADEMA. Tupe vifungu vya katiba vinavyovunjwa na Polisi, tuonyeshe kwamba polisi hawana nguvu wala haki ya kuzuia political association, wananchi si wajinga, tutaona. Wajuzi wa sheria watachambua mambo, mta expose hilo.
Sio hata kabla hamjapeleka kesi mahakamani mshaanza kuji defeat wenyewe kwa hypothetical situations, wananchi tutawaona walalmishi mnao argue theoretically bila factual backing.
Hatua nyingine ni kushitaki kwenye bunge la jumuiya ya madola kwa hiyo hawalalamiki tuu wana plan B kama Plan A haitafanya kazi