CHADEMA yakerwa na tamko la Kamati Kuu ya CCM!

Watanzania hatutaki kusikia mambo ya muungano wa vyama, chama chenye hoja za mshiko ndo tunataka kiongoze nchi , kusudi vyama vilivyo shindwa kuongoza kwa miongo kadhaa kikae pembeni, hii mnataka kuchanganya wananchi hatimaye tuendelee kubeba watu walio haribu taifa.

Chadema ongoza mapambano manake taifa halijui litokeje kwenye kugushi matumiz ya taifa, na matokeo yake tuko kwenye hali hii:

Mchele kilo 1,600
mafuta lt 2,043
mbaya zaidi watu siku hizi wanakula mlo mmoja.

Chadema acha mzaha sisi tunataka kudai haki zetu na si vinginevyo
 
kuna siri gani kwenye mjadala na hoja ya cdm???

unajua mahitaji ya cdm yakisikilizwa pekee wanaweza kutokea wengine wakapigan..watataka kusikilizwa tena???

Cycle hii itaendelea hadi lini??
We una mawazo kama yale yanayo endesha nchi. Strategy, Plan, haviwezi kuwa sawa, unadhani thithiem na cuf wana kitu gani cha ziada cha kukutana na JK? acha kuwa mvivu wa kuwa na busara
 
Mtumishi,

Mjadala wa katiba ni vema ukawahusisha vyama vyote katiba si ya Chadema, wala CCM I beg to differ hapo otherwise mapendekezo ya Chadema nayaunga mkono lakini mjadala wa katiba ni vema vyama vyote vikashirikishwa.

Mkuu hadi leo ni takribani siku nne tangu chadema walipotoa tamko la kutaka kuonanana na raisi, lakini hadi sasa hakuna chama kingine chochote kilichoonyesha nia ya kutaka kuonana na raisi ili kuwasilisha mawazo yao kwanini hawakubaliani na muswada uliopitishwa.

Sasa ccm inapotaka vyama vingine vishirikishwe, je wao wasemaji wao? Je wamewasiliana na hivyo vyama wakawaambia nao wana neno la kumwambia raisi juu ya ubovu wa muswada hu?

Na kwakuwa vyama vingine vyenye uwakilishi bungeni-cuf na tlp waliunga mkono muswada sasa watakuwa na lipi jipya la kusema? Je watakuwa wamegundua walikopotoka?
 
This's all i like about politics!!! Sometime, political game is like football.....kilichotaka kufanyika, ni zile pass za kwenye football zinazoitwa pita huko tuonane!!!

Zinakuwa hivi; striker yupo na mpira, na mara beki wa upande pinzani anamfuata kwa kasi. Hapo ndipo strikers wanatumia zile pasi za pita huko tuonane.....kwamba, anapitisha ndinga upande wa kulia/kushoto wa beki, kisha mwenyewe anazunguka kwa kasi sana upande wa pili yake!! Hii ikifanyika kwa makini; beki atajikuta akipitiliza kwa kasi na anapogeuka jamaa anakuwa keshaenda kuonana na kipa wake!!!! CDM walikuwa na gozi miguuni, wakataka kuwazunguka watu.....dah, ni bonge la ushindi kwao kwenda kuonana na rais; maoni ambayo yangetoka hapo yangekuwa na maana kubwa sana kwa CDM iwe yamekubaliwa au kukataliwa. Yakikubaliwa, huu ni ushindi mkubwa kwa CDM, na hata yangekataliwa, bado ingekuwa ni ushindi mkubwa kwao kwa kuonesha jinsi gani Rais asivyo na nia njema. CCM, wakashituka!!! Wakashituka kwavile hawakutaka ujiko huo waupate CDM peke yake ambae ndio hasimu wao mkuu! Kikao kikimkutanisha Rais na vyama vingine vya upinzani; matokeo yake hayatakuwa na mvuto sana hususani kwa CDM, na parts politics is all about US!!! CDM nao wameshituka!!! Wameona ebo! why du wanna spoil our cake?!

Hapa wanalazimika kujifanya kuwakemea CCM kujipachika ukiranja ingawaje kimsingi hiyo ni danganya toto tu.....ili wasionekane wabinafsi ndio maana wanajitia kuwakemea CCM. lakini uki-expose statement yao in the air for sometime na kuruhusu chemical reaction ku-take place, then at the end of this reaction statement hiyo itakuwa inaonekana

"Tuliotoa wazo la kukutana na rais ni sisi halafu nyinyi mnataka tuwe na vyama vingine....!!" bravo, u did it kwa watu wasio na uwezo wa kutafakari kwa kina.
 
Msilinganishe visivyolinganishika; suala hili halina ushindani!

Rudini kwa mama yenu CCM akawafunze japo adabu ya kuheshimu mambo na unyeti wake kama kashindwa kuwafunza kujenga hoja!
 
hii naifanananisha na maandamano ya siku hizi yanayodaiwa mara kuandaliwa na UVCCM mara UWT siku na saa ambazo wapinzani wao wanaandamana, nia ni kuleta vurugu ili zipatikane sababu za kutoandamana. mi nashauri, mfano wanaharakati wakitangaza kuandamana jumamosi, wakajitokeza wengine wenye nia tofauti kuandamana siku hiyo, walitangaza awali waahilishe wapange siku nyingine tuone hao wataandamana na nani, ili kila mmoja aandamane kivyake, vinginevyo ikitokea vurugu ieleweke wanaoleta vurugu ni wanaopanga kuandamana siku, wakati na pengine mahali ambapo wenzao wamepanga kuandamana.

kuhusu hili la mkutano na rais, sina cha kuongeza, kurugenzi ya CDM imemaliza kazi
 
.. Au kwa lugha nyingine ndio hapo majuzi CCM huenda ilighafilika na kututobolea siri kwamba hivyo vyama vingine vyenye uwakilishi bungeni, ukiachilia nje CHADEMA yetu, ni IDARA ZAO za ki-propaganda?

Watu hebu tuchunguze vizuri juu ya jambo hili.
 
Unajua jamani wale wazee alokuwa anaomngea nao kikwete siku ile alitakiwa awapeleke hospitali maana walionekana kama wagonjwa na muda mwingi walikuwa wamelala.

CCM wanaogopa mijadala hamkumbuki walivyoogopa mijadala ya kujinadi y atido mhando! Wasivyo nasoni usoni wakamtimua tido mhando eti alikataa wanachotaka.

Tido mhando kula tano wewe ni mwananaume na kazi uliifanya na sasa hivi wanakula majasho yako maana tbc uliikuta iko icu. Kweli inauma ndiyo maana serikali haina shukrani.
 
well written, bravo bravo bravo ! Sasa pata bahati ya kukutana na writings za CCM utatoka nanmmaswali mengi kuliko majibu.

Siku nikisikia jk anaumwa amelazwa na daktari amwelekeze akae bila kazi miezi 4 tu ntafurahi sana maana amekuwa tatizo kila mahali, ikulu, ndani ya chama, kwa washikaji zake, wafadhili, viongozi wa dini, vyama vya wafanyakazi, wanafunzi, na watanzania wanyonge. nyambaaaaf
 
Hivi ccm haiwezi ikaanzisha jambo lolote wenyewe mpaka waone CDM wanafanya nini? Kweli wanavichwa vigumu.
 
wewe umenyofoa kipande unacho taka wewe na mimi nimenyofoa ninachokiona kikowazi kuwa...
NEC ikishatangaza kuwa mende ndiyo raisi wa tanzania hakuna atakae hoji hii iliimanisha kuwa Kikwete ni raisi wa Tanzania.....

weye mwanzo ulitaka nikupe tamko la slaa kumkataa JK kama rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania .... nimekupatia... naona sasa unajiuma uma tu , mkuu huna hoja kajipange upya

The truth is hard to swallow when you're choking on your pride...
 
CDM hawakutaka kuongea na mwenyekit wa ccm.... bali na kuongea na RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania........
Kina Nape lazima walijue hilo...... Tundu Lisu na wenzake hawana haja na viongozi wa ccm..... wana haja na kiongozi wa Nchi..... Na hata barua ya kuomba kukutana na Rais haikuatumwa makao makuu ya chama....... Ilitumwa ikulu kwa Rais.....
 
Hii habari ya CC ya CCM imenikumbusha enzi zileeee, nikiwa natongoza vibinti. Kuna demu mmoja huyo, kila nikiomba kukutana naye anakuja na rafiki yake....sikumwelewa mapema, kumbe lengo lake lilikuwa nione aibu nisimweleze lengo langu kwamba namtamani na nisimpige tongozo. Sasa nawashauri CHADEMA hata kama huyo Rais akiamua kuita vyama vingine na wengine nyie nendeni mkampe ukweli wake.......
 
vitu vingine vinatia hasira,naweza nikatukana buree. kamati kuu ya ccm inahusika vipi na ombi la chadema kwa raisi?? !*#)#*&*^^ zao
 
Back
Top Bottom