Mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa CDM Wilfred Lwakatare ameongoza mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika viwanja vya S/M Chato na kuwavua gamba viongozi na wanachama wa CCM wapatao 80.Kati ya waliojivua Gamba ni Mhadhiri wa chuo kikuu cha Mzumbe Dr.Benedicto Lukanima ambaye alishika nafasi ya pili kwenye kura za maoni kugombea ubunge kupitia CCM nyuma ya Dr Magufuli.
Wengine waliojitoa CCM ni mjumbe wa mkurano mkuu UVCCM,wenyeviti wa vitongoji na wa serikali za vijiji.Wachunguzi wa mambo ya kisiasa mkoani hapa wanadai kwa sasa jimbo la Chato ni ngome kuu ya CDM.
Source:Tanzania Daima Jumapili.
Wengine waliojitoa CCM ni mjumbe wa mkurano mkuu UVCCM,wenyeviti wa vitongoji na wa serikali za vijiji.Wachunguzi wa mambo ya kisiasa mkoani hapa wanadai kwa sasa jimbo la Chato ni ngome kuu ya CDM.
Source:Tanzania Daima Jumapili.