Mbundenali
Member
- Jan 9, 2012
- 64
- 37
Ccm ni janga katika taifa letu,hongereni chato!
haya mama Salma umesikikaCDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.
Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.
Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
So kumbe siku hizi sio wa Kaskazini? Au nimesikia vibaya?CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.
Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.
Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.
Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.
Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
hahaaaa ngumu kumeza Rejao hzo sehemu nilizo bold zilikua ni ngome zenu lakini mkazipoteza ndio hivyo mkuu hata hapo Chato mtapoteza
tulizipoteza kwa kufanya makosa madogo tu ya kuwaweka watu wasio competent, sasa hivi kosa tulilofanya 2010 hatuwezi kulirudia tena.
Ukiangalia wabunge wengi walioshinda kupitia CDM 2010 ni wale waliokuwa rejects ndani ya CCM, Tunaadmit kutofanya analysis ya kutosha kwa wagombea wetu!! But this tym...CDM kaz ni nzito! Hata Arusha mjini na Moshi mjini tunayachukua!! CDM kitabaki kuwa chama cha Slaa na Mbowe na wachaga na siyo chama cha watanzania!!
[/QUOTEBy Rejao
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.
Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.
Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
]
Kaka hujafanya utafiti katika hili. Mimi naishi Chato hivyo najua kila kitu. Huyo jamaa ana jina kubwa kitaifa ila kwa hapa amepoteza umaarufu kwa kasi ya ajabu; amechokwa. Leo kuna madiwani wa CDM 6 kati ya 22.Ukiitishwa uchaguzi leo anapoteza jimbo. Bendera za CDM ndio zinapepea jimbo zima.
hivi hiyo avator ndiyo sura yako ilivyo?mbona mbaya hivi?kama shetani vile!:flypig:CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.
Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.
Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.
Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.
Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
Mi nawakubali sana pro chadema jinsi mnavyo imani kali lakini mtalia. Next election
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.
Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.
Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!