CHADEMA yaisambaratisha CCM Chato

Hiyo ni ishara tosha kuwa mwaka 2015 Chama Cha Mabwepande(CCM) hakina chao, na CDM ikiingia madarakani lazima viongozi wa CCM na serikali yake tuwatie mahakamani kwa mambo ya uuaji na utekaji wanaofanya sasa hivi.
 
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
haya mama Salma umesikika
 
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
So kumbe siku hizi sio wa Kaskazini? Au nimesikia vibaya?
 
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!

Hata huko ulikotaja ilianza kidogo kidogo baadaye ikiwa kama ilivyo sasa, CDM walibip kwenye chaguzi za vijiji sasa wameanza kupiga CHATO
 
hahaaaa ngumu kumeza Rejao hzo sehemu nilizo bold zilikua ni ngome zenu lakini mkazipoteza ndio hivyo mkuu hata hapo Chato mtapoteza

tulizipoteza kwa kufanya makosa madogo tu ya kuwaweka watu wasio competent, sasa hivi kosa tulilofanya 2010 hatuwezi kulirudia tena.

Ukiangalia wabunge wengi walioshinda kupitia CDM 2010 ni wale waliokuwa rejects ndani ya CCM, Tunaadmit kutofanya analysis ya kutosha kwa wagombea wetu!! But this tym...CDM kaz ni nzito! Hata Arusha mjini na Moshi mjini tunayachukua!! CDM kitabaki kuwa chama cha Slaa na Mbowe na wachaga na siyo chama cha watanzania!!
 
Last edited by a moderator:
tulizipoteza kwa kufanya makosa madogo tu ya kuwaweka watu wasio competent, sasa hivi kosa tulilofanya 2010 hatuwezi kulirudia tena.

Ukiangalia wabunge wengi walioshinda kupitia CDM 2010 ni wale waliokuwa rejects ndani ya CCM, Tunaadmit kutofanya analysis ya kutosha kwa wagombea wetu!! But this tym...CDM kaz ni nzito! Hata Arusha mjini na Moshi mjini tunayachukua!! CDM kitabaki kuwa chama cha Slaa na Mbowe na wachaga na siyo chama cha watanzania!!

hapo nilipo bold kumbe panawauma? sasa mimi nakwambia Segerea,Iramba Magharibi,mtera,Kinondoni,Kibaha,Bumbuli ....... hapo lazima mnapoteza tuombe uzima ili 2015 nije nikukumbushe haya, halafu unasema kwamba na baadhi ya majimbo mliweka watu wasio Comptent mwaka 2010 hebu nitajie japo wbunge kumi tu ambao wapo comptent kwa sasa ndani ya CCM maana 2015 ngoma kwenu itakua ngumu maana hakuna zile propaganda mlizozoea amepita bila kupigwa
 
[/QUOTE
quote_icon.png
By Rejao
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
]
Kaka hujafanya utafiti katika hili. Mimi naishi Chato hivyo najua kila kitu. Huyo jamaa ana jina kubwa kitaifa ila kwa hapa amepoteza umaarufu kwa kasi ya ajabu; amechokwa. Leo kuna madiwani wa CDM 6 kati ya 22.Ukiitishwa uchaguzi leo anapoteza jimbo. Bendera za CDM ndio zinapepea jimbo zima.
 
Twende kazi!. Kunajamaa humu jf alishasema cdm has northing to loose, bt something to gain. Yani ccm mtaisoma. Tutawamomonyoa mpaka atabaki Nape pekeyake, enzi hizo jk, k.Ova, pinda, wasira a.k.a hasira wote kwa pamoja wakiwa hawaoni. (vipofu)
 
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
hivi hiyo avator ndiyo sura yako ilivyo?mbona mbaya hivi?kama shetani vile!:flypig:
 
Mi nawakubali sana pro chadema jinsi mnavyo imani kali lakini mtalia. Next election
 
Kila ukiandika uongo pua inazidi kuwa ndefu.

CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!
 
wakati vuguvugu za mageuzi zilipopamba moto.....huku chuo kikuu cha dar es salaam kikiongoza kuwabeba na kusukuma magari ya wanamageuzi...nchi ikitaharuki na wengi kusema mwisho wa CCM umefika....mwanafalsafa mmoja ambaye sasa hatunaye duniani hakustuka na alisema...
"MNASHANGAZWA NA WATU KUBEBWA?? MBONA HATA MAITI HUBEBWA!!!"
 
CDM bado kaz ni nzito sana...
Endeleeni tu kujibaraguza hapa JF cuz huu ndio uwanja wenu pamoja na gazeti lenu la TZ Daima. CCM inajua inachokifanya. Hawafanyi mambo kwa kurupuka kama CDM wala hawaitaji kujitangaza humu kila siku.

Aliyoyafanya Mangufuli Chato sidhani kama ana mpinzani yoyote anaweza kuyafanya. Kwa kifupi Chato hapaingiliki.

Ushauri wangu kwenu CDM, endelee kujiimarisha Arusha, Moshi mjini, Mbeya mjini na Iringa. Tumieni resources zenu kidogo mlizo nazo kutoka kwa Sabodo kufanya mikutano huko. Huko kwingine hampawezi!!!!

Ha ha ha haaaa hapo kwenye redi pamenifurahisha sana,issue ya Dr.Ulimboka je hawajakurupuka?
 
Back
Top Bottom