abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
|
| |
|
|
| |
|
[TR]
[TD]Kwa upande wake Joseph Haule amesema watafanya kila jitihada kuhakikisha wale walioshutumiwa wote wanawajibishwa kwa kufikishwa katika mikono ya sheria ili iwe mfano kwa mawaziri wengine waliochaguliwa.
Kuwaweka pembeni mawaziri walioshutumiwa kwa kujenga majumba na uchafu wowote walioufanya haitoshi, hiyo ni sawa na kuwaambia haya sasa mko huru hamna mtu wa kuwahoji wala kuwaangalia nendeni mkatafune fedha mlizochukua.
Hilo halitakubalika, tutakomaa mpaka tuhakikisha wale walioshutumiwa wanafikishwa kwenye mikono ya sheria na wachukuliwe hatua kali za kisheria ili iwe mfano kwa mawaziri wengine walichaguliwa, alisema Mbilinyi.
Wakati huohuo CHADEMA imeahidi kufuatilia majengo mbalimbali yanayoaminika kumilikiwa na viongozi wa juu akiwemo Rais Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ili kujua vyanzo gani vya fedha vilivyowawezesha kujenga na kununua majengo yenye gharama kubwa namna hiyo.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
KASI YA MABADILIKO NCHINI NA DHARAU ZILIZOWAPONZA MAFISADI HUKO CCM:
Tulipoanza walitubeza (vyama vya uchaguzi / msimu) na sasa wanapozama wanatukaba (mauaji ya kutishia umma)!!
Ukombo mbeeeeeeeeeeeele kama tai; ewe mama ewe baba nawe kijana hapo, Vua gamba leo hii hii na uvae gwanda la ukombozi ili taifa letu lipate tena hueni kuondokana na MAFISADI WA huko ndani ya CCM.