Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Supposedly Lazaro Nyalandu si hatakiwi kwenda Marekani....sasa iweje hivi sasa yupo District of Columbia?
Supposedly Lazaro Nyalandu si hatakiwi kwenda Marekani....sasa iweje hivi sasa yupo District of Columbia?
Kumbe ni Jk tu ndiye hatakiwi kusafiri
Nilidhani wako Bungeni kipindi hiki, au? Kiongozi wa upinzani bungeni anakwenda Marekani wakati bunge linaanza?
Agenda inayompeleka ni ushoga au!!!!!!!!!!!!!!
Dr. Barubaru,
Acha uwongo ndugu yangu. Leticia kisharudi Tanzania siku nyingi. Mara ya mwisho nimemuona hapa ilikuwa kwenye mkutano wa DICOTA. Anyways, that is not the issue, nataka kuwathibitishia kuwa makamanda wetu Freeman Mbowe na Wenje wamewasili salama
hapa Washington D.C
Wamekaribishwa na senators wa Marekani na kesho wanashiriki kwenye prayer breakfast ambapo wabunge wa Marekani hualika wabunge wa nchi mbalimbali. Pamoja na makamanda wetu yupo pia Lazaro Nyalandu, naibu waziri wa viwanda na kazi.
Rais Obama atakuwepo kwenye prayer breakfast lakini kwa sasa hakuna hakika kwamba atakutana na wageni wetu. Kilichonishangaza ni kwamba ubalozi wetu haukuwa na habari za kuwasili kwa wageni hawa na waziri Nyalandu amelazimika kujitegemea mwenyewe alipowasili Dulles Airport.
Kuhusu mkutano na Watanzania Kamanda Wenje ana shauku kubwa kukutana nao, tunajaribu kuandaa kikao jumamosi na kwa kuwa hii ni mara yake ya kwanza hapa Marekani itakuwa vizuri kama Watanzania watapata fursa za kukutana na wabunge wetu.
Kama kutakuwepo na lolote jipya nitawaarifu kesho kama saa hizi.
Kuna tetesi kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Mbowe anaingia leo mjini Washington DC pamoja na ujumbe wake ili pamoja na mambo mengine, azungumea na Watanzania walnaoishi huko Marekani na kupokea maswali mbalimbali yanayohusu nchi yetu. Aliye na taarifa zaidi atujulishe ili tupeleke makamanda wetu huko Washington DC.
Msafara wake unA Watu wangapi ?