JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Ni wiki mbili tuu za M4C, imagine mpaka 2014 itakuaje? Naamini Hata JK atavaa gwanda Kama hajarudisha kadi basi atakuwa apolo India...
Hapo kwenye RED unazungumzia nini? sijakupata yakhe!Nafikiri mwandishi wa hili Gazeti la Tanzania Daima ni mshabiki tu.
Nafikiri anahitaji kujua Si wanachama wote wana utashi wa kupiga kura. Lakin vile vile Tanzania sio kosa kisharia mtu kuwa na Kadi za vyama vya siasa zaidi ya moja.
Na akumbuke kuwa sharia za Tanzania zinaruhusu hata mtu asie mwanachama wa chama chochote cha siasa kuweza kupiga kura kwenyye uchaguzi mkuu.
Cha muhimu ni kueneza ilmu ya Uraia kwa wananchi ili waone umuhimu wa kupiga kura na kuchagua kile wakitakacho.
Huo ni msaada wangu kwa mwandishi huyo ambaye ni mshabiki.
Hivi hali ipi? hiyo ya kujazana majobless kwenye mikutano? nyie jitahidini sana, lakini bado. Hamna uongozi, ngoja uone watakavyoanza kutoana macho kwa fedha huko, ndio utaniambia. Josephine kisha anza kumtumia mzee kukopa.
Mimi nasema hawataingia Ikulu, si 2015 si 2020.
Safi sana! Anayetaka kutokwa Na Matapishi nimletee Ndoo
Zomba at work, kalale nalo la Igunga kwanza
Hivi hali ipi? hiyo ya kujazana majobless kwenye mikutano? nyie jitahidini sana, lakini bado. Hamna uongozi, ngoja uone watakavyoanza kutoana macho kwa fedha huko, ndio utaniambia. Josephine kisha anza kumtumia mzee kukopa.
kwani kwenye slogan ya ari mpya kasi mpya hawa majobless si kulikuwa na kazi milioni moja kwa ajili yao au magamba wamesahau?
Mbona kazi ni zaidi ya hizo millioni moja zilizoibuliwa, tena zaidi sana kupita kiasi hicho kwa mara 3.
Ukipenda chongo utaona kengeza, wala sikulaumu kwa hilo.
MWIGULU NCHEMBA aka MZINZISumu tena? wakati CCM tupo madarakani na nyinyi ndio wapinzani? kwi kwi kwi teh teh teh! Sijui huwa mnakuja na hangover?
Igunga haki imetendeka? lakini Arusha haki haikutendeka. Au haki ni pale tu unaposhinda na si unaposhindwa pia?
Haswaaa magamba kwa misamiati bwana.Ukipenda chongo utaona kengeza, wala sikulaumu kwa hilo.