Sumu tena? wakati CCM tupo madarakani na nyinyi ndio wapinzani? kwi kwi kwi teh teh teh! Sijui huwa mnakuja na hangover?
Hayo ndio maneno,safi sana.Lakini wana JF walioko morogoro hamkututendea haki,
hamkutupia picha humu JF tukaona ccm walivyoshikiwa chini.
wewe bado unalala, au unajitia ujinga tu, tutawaona after 2015 mtasema nini.
Mimi nasema hawataingia Ikulu, si 2015 si 2020.
Mimi nasema hawataingia Ikulu, si 2015 si 2020.
Kwa sababu CCM imeandikiwa iitawale Tanzania milele toka kwenye vitabu vitakatifu vya MwenyeziMungu?????/
A biggest man you had ever seen was once a baby. Wanaingia ikulu, nakwambia.View attachment 62518 Cominng coming coming from the cold!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hapana, sio sababu hiyo, CCM haitatawala milele na hakuna ataetawala dunia hii milele. Walishindwa kina Firauni na Caesar na Mapapa itakuwa CCM, lakini chadema bado ni chama hafifu na hakina muelekeo, waongo, hawana sera, siasa zao chafu, wasusaji, wachochezi na Watanzania walio wengi hawawakubali, hatuwezi kuwapa kura za kuwafanya muongoze nchi, nyie mbaki na porojo za upinzani tu.
Kama chadema itakuja itawale basi si ya kina Mbowe na Slaa na Lema, wako very low kimaadili na kiufahamu.
Tulizana mpaka 2015, umuombe mungu wako akufikishe ushuhudie.
Kwanza mpate japo kiti kimoja cha ubunge visiwa vya Zanzibar.
Wote tuombe uzima, mbona hali halisi inaonekana kabisa mkuu, hili vuguvugu joto lake wewe hulipati au ndo gamba linazuia, ccm huwa wanategema kuchakachua lakini next time itakuwa kazi maana tofauti itakuwa kubwa sana.