Mbelwa Germano
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 789
- 289
Yamezungumzwa mengi kuhusu Mkoa wa Tanga na Kukubalika kwa CHADEMA. Zimejengwa propaganda nyingi dhidi ya CHADEMA kuwa ni chama cha WAKRISTO,WACHAGA na Kanda ya Kaskazini (Tanga Excluded). Baadhi yakaenda mbali zaidi kukiita chama cha Kigaidi. Haya yote nimakuzi ya chama kuelekea kupewa mamlaka kamili ya kuongoza Watanzania.
Tarehe 24.03.2013 kulikuwa na Uchaguzi wa na Vijiji Wilaya ya Lushoto yenye majimbo matatu: Lushoto, Mlalo na Bumbuli. Baadhi ya watu wanaweza wakaona uchaguzi huu hauna maana sana lakini ukweli ni kwamba uchaguzi huu ni ISHARA ya kukubalika kwa CHADEMA katika ngazi ya chini kabisa ya chama (ngazi ya msingi).
Kwa mara ya Kwanza Wasambaa,Wapare, Wambugu n.k. wakadhibitisha kwamba CHADEMA sio chama cha WAKRISTO, WACHAGA na Kanda ya Kaskazini (Tanga Excluded), BALI ni Chama Cha Watanzania. Kwa mara ya Kwanza wakathuibitisha sio Mitaji ya Chama cha Mapinduzi. Mapinduzi: Kutumia nguvu kukitoa kitu Halali na kuweka kitu kisicho halali.
Yafutayo ni matokeo ya Uchaguzi wa tarehe 24.03.2013:
Jimbo la Lushoto:
Jimbo la Mlalo:
CCM-137
CDM-115
Haribika - 7
Jumla: 259
Jumla ya kura zilizopigwa ni 310
310-259=51
Jimbo la Bumbuli
Nitaendelea kuwahabarisha, kwenye maeneo mengine.
Jumla ya vijiji vilivyokuwa na uchaguzi wa marudio ni 23
Mtendaji wa kijiji amemuengua Mgombea wa CHADEMA bila kutoa taarifa rasmi ya kimaandishi na kufuata kanuni na taratibu za uchaguzi.
Mavumbi, Kwadoe, Kisiwani......
CUF haikusimamisha Wagombea toka vijiji vyote ambavyo kumefanyika uchaguzi
Tarehe 24.03.2013 kulikuwa na Uchaguzi wa na Vijiji Wilaya ya Lushoto yenye majimbo matatu: Lushoto, Mlalo na Bumbuli. Baadhi ya watu wanaweza wakaona uchaguzi huu hauna maana sana lakini ukweli ni kwamba uchaguzi huu ni ISHARA ya kukubalika kwa CHADEMA katika ngazi ya chini kabisa ya chama (ngazi ya msingi).
Kwa mara ya Kwanza Wasambaa,Wapare, Wambugu n.k. wakadhibitisha kwamba CHADEMA sio chama cha WAKRISTO, WACHAGA na Kanda ya Kaskazini (Tanga Excluded), BALI ni Chama Cha Watanzania. Kwa mara ya Kwanza wakathuibitisha sio Mitaji ya Chama cha Mapinduzi. Mapinduzi: Kutumia nguvu kukitoa kitu Halali na kuweka kitu kisicho halali.
Yafutayo ni matokeo ya Uchaguzi wa tarehe 24.03.2013:
Jimbo la Lushoto:
- Milungui: CCM-60 CDM-140
- Kongei: CCM Imeshinda
- Masange:CCM-99 CDM-66
Jimbo la Mlalo:
- Nywelo: CCM-172 CDM-198
- Mkunki: CHADEMA imeshinda
-
Tema: Uchaguzi umevurugika
CCM-137
CDM-115
Haribika - 7
Jumla: 259
Jumla ya kura zilizopigwa ni 310
310-259=51
Jimbo la Bumbuli
- Kiluai: CCM-106 CDM-96
- Tamota: CCM-115 CDM-71
- Kwekitui: CDM imeshinda, uchaguzi umevurugwa, Kurudiwa tarehe 31.03.2013
- Wanga: CCM-88 CDM-159
- Kwemisambia: CCM-141 CDM-33
Nitaendelea kuwahabarisha, kwenye maeneo mengine.
Jumla ya vijiji vilivyokuwa na uchaguzi wa marudio ni 23
Kijiji cha Kiviricha,jimbo la Bumbuli
Mtendaji wa kijiji amemuengua Mgombea wa CHADEMA bila kutoa taarifa rasmi ya kimaandishi na kufuata kanuni na taratibu za uchaguzi.
Mavumbi, Kwadoe, Kisiwani......
CUF haikusimamisha Wagombea toka vijiji vyote ambavyo kumefanyika uchaguzi
Sasa ukombozi unaanza kuonekana ,mara kwa mara huwa nasema ukombozi wa Taifa hili utaanzia Mkoani Tanga,
CHADEMA kimeshinda vijiji ambavyo havijawahi kushinda upinzani tangu upinzani uanze na CUF kuwepo maeneo hayo ya Wilaya ya LUSHOTO TANGA,kipindi hicho chote.
Mwaka 2015 ndio mwaka wa ukombozi wa Taifa hili.
Vijiji vi-4 na cha tano tunachukua muda si mrefu na vingine uchaguzi utarudiwa ni Mbio za ukombozi wa Taifa hili, Chaguzi za wenyeviti wa Vijiji
ulofanyika ni ishara sasa hata huku Tanga Wananchi wameanza kutambua haki zao za msingi, Taifa CHADEMA ongezeni nguvu
Vijijini ili 2015 ushindi uwe wa kimbunga.
Hakika mabadiliko yanakuja.