gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,254
- 5,850
Kuna mjinga zaidi yako?.Jitu zima kazi kujikomba kwa binadamu wenzako alafu unajiona una akili.Unatakiwa ujue hakuna taasisi yoyote nje ya serikali inayolazimishwa kusaidia majanga yoyote,Watu watafanya kwakujitolea kwasababu nimajanga dhidi ya binadamu.Sasa wewe ni chawa gani wakuisemea chadema kwenye jambo ambalo hujui mipango yake inaendaje.Unajua ni wanachadema wangapi wametoa hiyo misaada hadi sasa?..Sio kila kitu lazima kitanguliwe na mbwembwe mbele ya kamera.Serikali yenyewe yenye ofisi ya maafa na kodi ambazo ziko stand by walichelewa kupeleka msaada alafu unawakurupukia chadema.Jinga kabisa wewe.Haya turudi kwenye mada. Chadema haziwezi peleka hata kiroba cha sukari watu wanywe chai wakati mkiendelea kutoa hizo lawama?
Mbona uwa mnalaumu uku mnachangishana hela za join the chain za kuwawwzesha viongozi wenu?
Wajinga sana nyie watu.