sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.
Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.
Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.
Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.
Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.
Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.
Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.
Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.
Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.
Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63