CHADEMA, watu wa Hanang wanahitaji misaada sio lawama zenu

sinza pazuri

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
2,525
7,377
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.

Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
Mkuu kuna mambo na nyakati ambazo hazihitaji hisia za chama, udini au ukabila, moja wapo ni maafa ya asili kama haya mafuriko ya Hanang.

Mosi, weka ushahidi hapa kuwa kweli wananchi wanachama wa Chadema waliopo maeneo hayo hawajaadhirika?

Pili, weka ushahidi bayana hapa kuwa kweli wananchi wanachama wa Chadema walio salimika hawaja saidia majirani zao waliodhurika kwa namna yoyote. Au wamewasaidia kwa ubaguzi wa itikadi ya kichama.

Tatu, weka ushahidi wazi hapa kuwa kweli wananchi viongozi wa Chadema wa mashina, vitongoji, vijiji/mitaa, kata, wilaya, mkoa na kanda mmoja mmoja au kwa Makundi yao hawaja dhurika? Au kweli hawaja shiriki kusaidia kutoa msaada kwa waadhirika? Au kweli hawajashirikiana na wananchi wengine kwenye zoezi zima la uokoaji hapo Hanang?

Nne, kwa uwazi ainisha hapa kuwa kwa mujibu wa sheria ni nani mwenye wajibu wa kushughulika na maafa kifedha na kitaalam? Au Kisheria ni nani aliyetengewa fedha ya kushughulika na masfa ya asili?Je, ni vyama vya siasa? Au serikali?

Tano, je watu kutoa maoni yao, kukumbusha waokoaji na kwa ujumla kushauri jinsi zoezi la uokoaji linavyoendelea huko Hanang kupitia hapa mitandaoni ni jambo baya?

Je hata wewe ulivyo toa maoni yako hapa mtandaoni unafikiri umefanya vibaya?
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
Na hata wasingeongea bado mngesema mbona wako kimya.
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
Kofia ya boss ilionekana?
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
Naunga mkono hoja, kwenye majanga ya Kitaifa, lets stand united as one, kushikana mikono kusaidia na kusaidiana!.
P
 
Mkuu kuna mambo na nyakati ambazo haya hitaji hisia za chama, udini au ukabila. Moja wapo ni maafa ya asili kama haya mafuriko ya Hanang.

Mosi, weka ushahidi hapa kuwa wananchi wanachama wa Chadema waliopo maeneo hayo hawajaadhirika?

Pili, weka ushahidi kuwa wananchi wanachama wa Chadema walio salimika hawajambo saidia majirani zoo waliodhurika. Au wamewasaidia kwa ubaguzi wa kichama.

Tatu, weka ushahidi kuwa wananchi viongozi wa Chadema wa mashina, vitongoji, vijiji/mitaa, kata, wilaya, mkoa na kanda mmoja mmoja au kwa makundi hawaja dhurika? hawaja shiriki kusaidia kutoa msaada? Na hawajashirikiana na wananchi wengine kwenye zoezi Zima la uokoaji?

Nne, ainisha kuwa kwa mujibu wa sheria ni nani mwenye wajibu wa kushughulika na maafa kifedha na kitaalum? Kisheria aliyetengewa fedha ya kushughulika na masfa ya asili?
Je, ni vyama vya siasa? Au serikali?

Tano, je watu kutoa maoni, kukumbusha na ushauri jinsi zoezi la uokoaji linavyoendelea kupitia hapa mitandaoni ni jambo baya? Hata wewe ulivyo toa maoni yako hapa mtandaoni unafikiri umefanya vibaya?
@Pascal Mayalla...
Soma tena
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
hawa wahuni pia ni wale wale kama ccm tu,kutumia ujinga wa wananchi kama mtaji.

eneo kama lile ukiwahoji mbona hamjafika hata na mabox ya sukari,utasikia hiyo ni kazi ya serikali

ila kuitisha press za katiba mpya hiyo ni kazi yao,wanasahau uongozi ni mfano.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
Siyo kazi ya vyama vya upinzani kufanya kazi za Serikali.
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
Wewe pimbi Chadema wanakusanya kodi? Jee CCM mnaopata mabilioni ya ruzuku kila mwezi mumechangia nini?
 
Naunga mkono hoja, kwenye majanga ya Kitaifa, lets stand united as one, kushikana mikono kusaidia!.
P
Subiri uje kusikia sifa zitakazo mwagwa kwa mtu aliye fupisha ziara yake kwa sababu ya mafuriko hayo kama vile kafanya hayo kwa hisani kuu.
Utasikia "huyu ndio mwenye utu, mitano tena" au "hakika amejaa huruma na upendo".
Usanii mtupu bila hata aibu.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
Chadema ndio wanakusanya kodi pale kariakoo?

Chadema ndio wanakusanya tozo za wananchi?

Wapeleke kodi zetu huko hao ccm

Wauze gari za V8 mia moja tu kwa milioni 120 tu kwa watanzania wapate pesa za kupeleka huko katesh
 
Naitazama hii Gideon.
Huyu Mama Melania mkazi wa Gendavi anasema,
"Ni maporomoko yaliyotokea yaliyosababisha 'mahafali' hii."
(the wonderful lady actually said ' mahafali')

"Mwanzo wa maporomoko ni MOTO na MWANGA fulani uliotoka huko juu ulioporomoka kuja chini. Sasa watu wamefukiwa kwenye matope,wengine wamejeruhiwa "

Halafu inaelekea kama vile mchungaji mmoja wa Kanisa la ECG,Jesus Nation Church Tanzania alitabiri gilo tukio la Manyara.
Ipo katika video. Mchungaji huyu , Mtalimwa Jonis anasema,
"Leo ni Jumapili,September,2023 ,Sasa ni 14:12 hours. Anatoa utabiri saa nane mchana. Note the date. Huu ni utabiri wa mwezi wa Tisa(September) kwa jambo ambalo litatokea Desemba.

"Nimeona tetemeko Manyara,watu wanalia,tuiombee Manyara."

And now I (Andrew) am going to say something very controversial.
It just occurs to me just now,kwamba Makongoro aliondoka kule akamuachia Queen Sendiga.
Makongoro aliondoka kule under somewhat unusual circumstances,kama vile amefukuzwa.
Kwa hiyo I was asking in my schizophrenic mind,haya maafa yangetokea kule kama Makongoro angekuwepo?
Unajua nilikuwa kijijini juzi na hawa jamaa wawili wasomi walikuwa wanadiscuss.
"Yule Makongoro anapata vyeo kwa upendeleo. Ana uwezo gani yule wa kuwa Mkuu wa Mkoa?(Yaani hawa watu wanaoongea hivi ni wenyeji au residents wa kijiji chke Makongoro ,"Wakurya wenzake")Eti sasa yupo Manyara kama Mkuu wa Mkoa( hawa jamaa apparently hawajui Makongoro ameshahamia Rukwa)
Halafu mwenzake anamjibu ipo sababu maalum kwa nini Makongoro kapelekwa Manyara hivi sasa. Ni kwa sababu yule mke wake, Jaji,ni Mmbulu,anatoka Manyara.
Kama Jaji Aisha anatoka Manyara,I wouldn't know that. Nadhani Jaji Aisha anatoka Moshi.

Halafu jambo lingine linanishangaza ni jinsi Rais Samia anavyotanga maafa ya Manyara apologetically as if they were caused by herself. Anashindwa kuelewa kwamba it a natural disaster.

Anyway,tunapoa pole kwa wafiwa.
TUNATOA POLE KWA WALIOKUFA.
Tunaomba Mungu awasamehe dhambi zozote walizotenda na awskaribishe katika MAKAZI YAKE.
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
Kwa hiyo uzembe wa serikali usizungumzwe?

Kila muhula majanga yale yale yanajirudia na kinachoendelea ni kupiga selfie za viongozi katikati ya majanga
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.

Hapo Katesh Wana ubia mkubwa na CCM wacha wafu wabebane
 
Mkuu kuna mambo na nyakati ambazo haya hitaji hisia za chama, udini au ukabila. Moja wapo ni maafa ya asili kama haya mafuriko ya Hanang.

Mosi, weka ushahidi hapa kuwa wananchi wanachama wa Chadema waliopo maeneo hayo hawajaadhirika?

Pili, weka ushahidi kuwa wananchi wanachama wa Chadema walio salimika hawajambo saidia majirani zoo waliodhurika. Au wamewasaidia kwa ubaguzi wa kichama.

Tatu, weka ushahidi kuwa wananchi viongozi wa Chadema wa mashina, vitongoji, vijiji/mitaa, kata, wilaya, mkoa na kanda mmoja mmoja au kwa makundi hawaja dhurika? hawaja shiriki kusaidia kutoa msaada? Na hawajashirikiana na wananchi wengine kwenye zoezi Zima la uokoaji?

Nne, ainisha kuwa kwa mujibu wa sheria ni nani mwenye wajibu wa kushughulika na maafa kifedha na kitaalum? Kisheria aliyetengewa fedha ya kushughulika na masfa ya asili?
Je, ni vyama vya siasa? Au serikali?

Tano, je watu kutoa maoni, kukumbusha na ushauri jinsi zoezi la uokoaji linavyoendelea kupitia hapa mitandaoni ni jambo baya? Hata wewe ulivyo toa maoni yako hapa mtandaoni unafikiri umefanya vibaya?
Maviongozi ya ccm yamekimbilia Hanang kufanya show zaidi ya kumshughulikia janga.
 
Kwa hiyo uzembe wa serikali usizungumzwe?

Kila muhula majanga yale yale yanajirudia na kinachoendelea ni kupiga selfie za viongozi katikati ya majanga
Wanataka kuzungumzia sifa tuu. Nawaambia subirini sifa kemkem zitakazotolewa kwa kukatiza ziara ya Ughaibuni utadhani kafanya hisani. Kuna watu hata uwapige nyundo ya kichwa hawawezi kuzinduka akili zao

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.
Serikari ndiyo inakusanya kodi na tozo.
 
Back
Top Bottom