Mchana huu nilikuwa napita pale sinza vatican bondeni nikakuta msafara wa magari ya CDM wakiwa na Aikael. Sikuweza kusimama ila nimeona pickup zikiwa na mizigo ya vyakula kwa ajili wa wahanga wa mafuriko maeneo yale
Usikurupuke acha hasira jamaa wapo so strategic hope muda si mrefu utona taarifa but pia si kila taarifa itolewe na kurugenzi ya habari acha watu nao waone waseme' kama maafa huwezi tangaza umetoa msaada this is just like a sadaka.KUB vipi habari za CDM kulipotiwa na mpita njia si tuna Kurungezi ya Habari na anakinga salary nzuri tu. K wa nini wapita njia watuhabarishe hisia tu, kama vipi piga chini graduates tupo mitaani Kiongozi. Hata kama mtu wako lakini kazi hafanyi achana nae, hafai kuingia nae Ikulu.
Mchana huu nilikuwa napita pale sinza vatican bondeni nikakuta msafara wa magari ya CDM wakiwa na Aikael. Sikuweza kusimama ila nimeona pickup zikiwa na mizigo ya vyakula kwa ajili wa wahanga wa mafuriko maeneo yale
people's power. Nape hajapeleka bado mbona?
Mwenyekiti wake wa taifa jana alipita akiwachungulia waathirika kwa kutumia chopa, wanasema alikuwa anakagua uharibifu huku akiwa ndani ya chopa! Kazi kwelikweli.people's power. Nape hajapeleka bado mbona?