Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Leo Chama cha Chadema jimbo la Bukoba mjini lilikutanisha viongozi wake ili kuwapa elimu ya sheria mpya za uchaguzi na mambo mengine yahusuyo uchaguzi. Ikiwa ni maandalizi kwa ajili ya uchaguzi utakaokuwapo mwezi wa october 2010.
Afisa wa Takukuru alihusika kutoa elimu hiyo. Alipata shida na kigugumizi sana katika kujibu maswali ya washiriki.
Picha hizo zaonyesha mambo yaliyokuwa yakiendelea.