Hongera CDM kwa msaada mnono kwa huyo mlemavu ila naomba kuuliza. Hivi Bukoba kuna mlemavu mmoja tu?? na kama ni mmoja sawa ila ninavyokumbuka yule mdada albino aliyekatwa mikono yote yuko hai na yuko hapo hapo bukoba mbona hajapewa msaada? au huyo ni ndugu yake shemeji????
yupi uyo mkuu? Bukoba au biharamulo? Mkuu albino yupi uyo?tuweke wazi basi!!
MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI
Rais Kikwete Ampatia Mlemavu Bajaj
Rais Jakaya Kikwete akikabidhi usafiri aina ya Bajaji kwa mwanamke ambaye ni mlemavu anaefahamika kwa jina la Sara Mageni Sanga aliyekaa chini katika kijiji cha Lupalilo, Wilayani Makete, mkoa wa Iringa jana jioni. Pembeni ya Rais kwa upande wa kulia ni mkuu wa mkoa wa Iringa Bwana Mohamed Abdulaziz
Source: Rais Kikwete Ampatia Mlemavu Bajaj « MTAA KWA MTAA