CHADEMA wasusia Interview ya TBC 1

Muda simrefu atajulikana tu aliyeshindwa ktk hii vita!Dalili ndio zinaanza!
 
:rockon::A S-heart-2:Huu ni ushenzi na wendawazimu ambao haukubaliki,ni bayana kila mtu anajua kuwa TiBiC ni shirika la umma na linaendeshwa kwa kodi zetu watanzania ambao tuna vyama na wengine hatuna vyama iweje leo TBC wabague habari za CHADEMA eti kwa vile ni chama kilichoikaba kooni CCM, na hii ni bayana kwa vile wakati wa kampeni za uchaguzi mzee Tido Datsun aliruhusu chombo hicho kiendeshe na kurusha kipindi cha mchakato majimboni ambapo kila mgonmbea aliruhusiwa kunadi sera za chama chake, na ilipobainika magamba wanabanwa sana huko majimboni,watawala na makuhani wa Ikulu ya Magogoni walijenga hoja kuwa eti uwazi na Demokrasia iliyoonyeshwa na TiBiC ya Tido ilihujumu magamba na kupelekea CCM kuyatema eti majimbo zaidi ya 25, huu ni uchuro na kwa sasa lazima TiBiC muelewe watanganyika hatudanywi hizi ni zama zingine kwa Taarifa yenu hata mvuto tena hamnao kwa watanganyika 85%,wengi wa wapenzi tuliowashabikia kipindi cha Tido tumeshahamia vituo vingine ambavyo haviendeshwi kwa rimoti control kutoka state house, endeleeni tu kutapatapa kutafuta mchawi, na bado mtaisoma namba kamwe hatutadanganyika,yaani kila ovu la serikali yetu manalificha hata mauaji ya Mwangosi David mlituficha, kilichobaki endeleeni kupiga propaganda za Magamba,Sasa naanza kuamini TIBIC na Magamba ni majanga ya kitaifa na hayakubaliki,haiwezekani sisi tunamuona kwa macho yetu mfalme na wasaidizi wake wako uchi na nyie huku mnataka tujiapize na kuamini kuwa wamevalia nguo,katu haturubuniki kwa lolote mmechelewa na magamba yenu Tanzania bira SISIEMU inawezekana kabisa siku ccm itakapoacha kuwa kimbilio la wanyonge watanzania watachagua chama kingine-nyerere J.Kambarage..:amen::amen::amen::rockon:
 
Kuangalia TBC ni dhambi hata kwa Mungu.

Huu ni ushenzi na wendawazimu ambao haukubaliki,ni bayana kila mtu anajua kuwa TiBiC ni shirika la umma na linaendeshwa kwa kodi zetu watanzania ambao tuna vyama na wengine hatuna vyama iweje leo TBC wabague habari za CHADEMA eti kwa vile ni chama kilichoikaba kooni CCM, na hii ni bayana kwa vile wakati wa kampeni za uchaguzi mzee Tido Datsun aliruhusu chombo hicho kiendeshe na kurusha kipindi cha mchakato majimboni ambapo kila mgonmbea aliruhusiwa kunadi sera za chama chake, na ilipobainika magamba wanabanwa sana huko majimboni,watawala na makuhani wa Ikulu ya Magogoni walijenga hoja kuwa eti uwazi na Demokrasia iliyoonyeshwa na TiBiC ya Tido ilihujumu magamba na kupelekea CCM kuyatema eti majimbo zaidi ya 25, huu ni uchuro na kwa sasa lazima TiBiC muelewe watanganyika hatudanywi hizi ni zama zingine kwa Taarifa yenu hata mvuto tena hamnao kwa watanganyika 85%,wengi wa wapenzi tuliowashabikia kipindi cha Tido tumeshahamia vituo vingine ambavyo haviendeshwi kwa rimoti control kutoka state house, endeleeni tu kutapatapa kutafuta mchawi, na bado mtaisoma namba kamwe hatutadanganyika,yaani kila ovu la serikali yetu manalificha hata mauaji ya Mwangosi David mlituficha, kilichobaki endeleeni kupiga propaganda za Magamba,Sasa naanza kuamini TIBIC na Magamba ni majanga ya kitaifa na hayakubaliki,haiwezekani sisi tunamuona kwa macho yetu mfalme na wasaidizi wake wako uchi na nyie huku mnataka tujiapize na kuamini kuwa wamevalia nguo,katu haturubuniki kwa lolote mmechelewa na magamba yenu Tanzania bira SISIEMU inawezekana kabisa siku ccm itakapoacha kuwa kimbilio la wanyonge watanzania watachagua chama kingine-nyerere J.Kambarage..
 
Kama inaendeshwa na kodi za wananchi wote,basi cha muhimu ni kuhakikisha inafanya kazi zake bila influence ya chama tawala.

Tatizo ni kwamba tuko kwenye ubepari na multiparty,lakini kwa vitendo ni kinyume chake.Ni tawala za kidikteta peke yake ndizo zenye kuwa na tv sation ya serikali yenye kueneza propaganda zke.Hilo ni la kutizama.Sijui haya matatizo tutayafix vipi?Hopefully kwa kutumia katiba mpya.
 
:rockon::A S-heart-2:Huu ni ushenzi na wendawazimu ambao haukubaliki,ni bayana kila mtu anajua kuwa TiBiC ni shirika la umma na linaendeshwa kwa kodi zetu watanzania ambao tuna vyama na wengine hatuna vyama iweje leo TBC wabague habari za CHADEMA eti kwa vile ni chama kilichoikaba kooni CCM, na hii ni bayana kwa vile wakati wa kampeni za uchaguzi mzee Tido Datsun aliruhusu chombo hicho kiendeshe na kurusha kipindi cha mchakato majimboni ambapo kila mgonmbea aliruhusiwa kunadi sera za chama chake, na ilipobainika magamba wanabanwa sana huko majimboni,watawala na makuhani wa Ikulu ya Magogoni walijenga hoja kuwa eti uwazi na Demokrasia iliyoonyeshwa na TiBiC ya Tido ilihujumu magamba na kupelekea CCM kuyatema eti majimbo zaidi ya 25, huu ni uchuro na kwa sasa lazima TiBiC muelewe watanganyika hatudanywi hizi ni zama zingine kwa Taarifa yenu hata mvuto tena hamnao kwa watanganyika 85%,wengi wa wapenzi tuliowashabikia kipindi cha Tido tumeshahamia vituo vingine ambavyo haviendeshwi kwa rimoti control kutoka state house, endeleeni tu kutapatapa kutafuta mchawi, na bado mtaisoma namba kamwe hatutadanganyika,yaani kila ovu la serikali yetu manalificha hata mauaji ya Mwangosi David mlituficha, kilichobaki endeleeni kupiga propaganda za Magamba,Sasa naanza kuamini TIBIC na Magamba ni majanga ya kitaifa na hayakubaliki,haiwezekani sisi tunamuona kwa macho yetu mfalme na wasaidizi wake wako uchi na nyie huku mnataka tujiapize na kuamini kuwa wamevalia nguo,katu haturubuniki kwa lolote mmechelewa na magamba yenu Tanzania bira SISIEMU inawezekana kabisa siku ccm itakapoacha kuwa kimbilio la wanyonge watanzania watachagua chama kingine-nyerere J.Kambarage..:amen::amen::amen::rockon:

Utaumia mpaka upasuke, lakini TBC itaendelea kufanya shughuli zake kama kawaida.

Mitanzania mingine sijui ikoje, hoja za kipuuzi puuzi na malalamiko ya kipumbavu.
 
Kuna vyama vingi vya siasa wapo CCJ, UDP, CUF, UPDPD, TLP, mbona wapo kimya vinafanya shughuli zao kama kawaidi bila kulalamika, Chadema peke yao ndio wanalia lia kila kukicha.

Chadema tumeishawazoe kwa kususa, subirini 2015 msusie vizuri matokeo ya uchaguzi mkuu.
 
chama cha kike hakijiamini kinaogopa kili kitu police, mahakama, vyombo vya habari na kadharika nafikiri ni umaskini wa mawazo
 
Kuna vyama vingi vya siasa wapo CCJ, UDP, CUF, UPDPD, TLP, mbona wapo kimya vinafanya shughuli zao kama kawaidi bila kulalamika, Chadema peke yao ndio wanalia lia kila kukicha.

Chadema tumeishawazoe kwa kususa, subirini 2015 msusie vizuri matokeo ya uchaguzi mkuu.

wanalalamika kulko wale wazee wa kuandamana ijumaa na kulalamikia mfumo kristo
 
Sidhani kama kuna haja ya kuwaweka mezani kuwasuluhisha matendo ya TBC ndio yatakayorudisha imani ya CDM kwani waliyoyafanya kipindi cha kampeni na baada yanawafanya wadeserve wanachofanyiwa na CDM. Ila pia sio vizuri kushindana na mjinga nafikiri kunaitajika tafakari hapo.
 
Bahati mbaya kwa tbccm ni kwamba kadri wanavyojitahidi kuitukana Chadema ndivyo watu wanavyozidi kuiunga mkono, na baada ya kamati kuu kutoa tamko la kuisusia sasahivi tbccm imeendelea kutazamwa na watu wachache kwahiyo kujaribu kufanya mahojiano na Chadema ingekuwa ni ushindi kwao.

wewe ndio huangalii tbc,usitusemee,tbc ndio tv station pekee inayotoa habari za kweli tupu na uhakika,
 
Leo katika semina ya siku Moja iliyoitishwa na TCD, TBC 1 Ilikuja kwa lengo la kufanya coverage ya kikao. Baada ya hotuba za ufunguzi waliwaita viongozi aw CCM na wa CHADEMA nje kwa ajili ya mahojiano zaidi. Mwakilishi wa CCM alitoka haraka haraka na kuanza kuhojiwa. Lakini Yule wa CHADEMA aliwaita wenzake na kujadiliana kama ingekuwa afya kwa chama chao kama angehojiwa hasa baada ya chama kutangaza mgogoro na TBC 1. Kwa pamoja walikubaliana kutoshiriki mahojiano hayo na hivyo kuwaacha TBC waking'aa macho.

Waliohudhuria semina hiyo kuiwakilisha CHADEMA ni
1. Mhe. Naomi Kaihura
2. Mwita Marwa Mwikabe
3. Tumaini Makene
4. Basil Lema.

Inaonyesha kuwa mgogoro aw CDM na TBC ni real. Labda atafutwe mtu awasuluhishe!

kwani chadema ni nani hapa duniani hadi wabembelezwe.ni kuwapuuza tu.
 
Leo katika semina ya siku Moja iliyoitishwa na TCD, TBC 1 Ilikuja kwa lengo la kufanya coverage ya kikao. Baada ya hotuba za ufunguzi waliwaita viongozi aw CCM na wa CHADEMA nje kwa ajili ya mahojiano zaidi. Mwakilishi wa CCM alitoka haraka haraka na kuanza kuhojiwa. Lakini Yule wa CHADEMA aliwaita wenzake na kujadiliana kama ingekuwa afya kwa chama chao kama angehojiwa hasa baada ya chama kutangaza mgogoro na TBC 1. Kwa pamoja walikubaliana kutoshiriki mahojiano hayo na hivyo kuwaacha TBC waking'aa macho.

Waliohudhuria semina hiyo kuiwakilisha CHADEMA ni
1. Mhe. Naomi Kaihura
2. Mwita Marwa Mwikabe
3. Tumaini Makene
4. Basil Lema.

Inaonyesha kuwa mgogoro aw CDM na TBC ni real. Labda atafutwe mtu awasuluhishe!

cdm haiihitaji tbccm kuimarika,
 
Ikumbukwe kuwa, kwa kuwa TBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania, hawatakiwi kuwa biased! Lakini, ningefurahi kuona upinzani unachukua nchi halafu tuone jinsi watakavyoendesha vyombo vya umma!.
 
Ukitaka kuwaelewa vizuri wasikilize wanavyosoma vichwa vya habari katika magazeti, na kama ni lunina utaona sehemu nyingine amazo wanaona hazina mshiko kwa mwajiri wao wanaziruka hata kama zina maslahi kwa taifa.
 
Kwa maneno yako mepesi unaweza kudhani hili jambo la kususiwa ni jepesi hivyo. TBC ni chombo cha taifa na sio cha chama fulani cha siasa, ni kitendo cha kutuhumiwa tu kuwa kinaegemea upande mmoja hilo ni doa kubwa sana kwa umma na wapenda haki, sio Tanzania tu bali hata kuvuka mipaka ya nchi.

Ni wajibu wa viongozi waandamizi wa shirika hili la taifa kukaa na kujihoji ni wapi mambo yalikoanzia kuharibika, na wafanye nini ili kujirejeshea hadhi yake iliyokuwa juu sana haswa wakati wa Tido.

Vinginevyo watajikuta wakijiendesha kama gazeti la uhuru, kwani kama sio kupitia magazetini kunako rushwa na radio au TV mbalimbali, mauzo ya hili gazeti ni chini sana.
Kama visio ya TBC ni kufanana na uhuru, waendelee, ila nadhani muda hauko upande wao.
 
Back
Top Bottom