idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
umeona mbali.!!Hii itaishia kama zile harakati za kutokumtambua Rais...
umeona mbali.!!Hii itaishia kama zile harakati za kutokumtambua Rais...
Hiii mitaa ya nyumbani kwangu ilishakufa kitambo tuuuuhivi TBC bado ipo?
Chadema bana kila kitu kususa haya endeleeni kususa lakini mwisho wa siku mtakula.
Ritz babu unaniachaga hoy na hoja zako,lita ngapi ulizokunywa ya maji ya bendera ya ccm?Chadema bana kila kitu kususa haya endeleeni kususa lakini mwisho wa siku mtakula.
Hapo kwenye red. Hilo lilikuwa KOSA KUBWA kuliko kuhudhuria interview yenyewe! Kamati Kuu ya Chama ilishatangaza mgogoro na hicho kituo how comes tena leo hii wawakilishi wa chama eti wana-discuss kama wawe interviewed au la?
Hata kile kitendo cha kukiwaza hicho kituo nje ya utaratibu uliowekwa na chama tayari ni uasi dhidi ya maagizo ya chama. Nimesikitika sana.
wewe pimbichadema wapo kama mwanamke malaya kwa kususa wakati hela ya kula unamtegemea msela, tumeishawazoea, walimkataa jk wakapewa juice ikulu wenyewe wakalegeza!
wewe pimbi
I