Hakuna haja ya kutengeneza story.,CCM haijaanza Siasa jana ina nusu karne katika hili.,chadomo ndo wanaoangaika kutafuta namna ya kutoka...!
Majungu bhana,mbona sioni uthibitisho?
Mpaka hivi sasa viongozi wa kitaifa bado hawajaingia wameingia watatu tu na jua linazama. Idadi ya watu ni ndogo na wengi wakiwa ni watoto wadogo ambao walikuwa wakikimbiza gari la P.A ambalo lilikuwa linazunguka mitaani tangu asubuhi. Picha HIZi Hapa.
kama mnabisha pigeni simu muulize.,au ngoja nizi-upload picha nyinge ingawa mtandao unasumbua kidogo...!
Lema anaonekana amekata tamaa anaelekea upande wenye parking.,nafikiri anataka kutimka...!
Katika mkutano ambao utaacha historia mbaya katika mikutano ya CHADEMA basi mkutano wa leo mtwara utaongoza. IKUMBUKENI siku hii.
Huyu mtu ni MWONGO...! Mambo ni mazuri sana wanaJF Msihofu wakuu. Nitakuja na hitimisho..!
unahadiwa kupewa kadi bure, unapewa 5,000/= ya kwenda mkutanoni, kwanini wasichangamkie vya bure ivo??yalikuwa maelfu ya wana_Makambako aliuza kadi kama njugu haziesabiki wana cdm karibu wote walirejea ccm. kwe kwe kwe kwe! teh teh teh teh auuuuuuuuuuuuuuuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii imekula kwenu M4c imekuwa Movement no change, LOWASA HOYEEEEE!
the horse mdogo wangu, do you how ridiculous this sounds?...NAPE, the one man army...wa CCM au wa serikali? Sasa kama yeye ni ONE MAN ARMY huko anazurura akiimarisha kitu gani? Anakagua utendaji wa nini? Je, anawakilisha wanaCCM na kama jibu ni ndiyo, ni lini walimchagua! Je anawakilisha serikali na kama jibu ni ndiyo, kama nani serikalini? Okay tukubali ni ONE MAN ARMY, hapa unathibitisha kuwa Nape ndiye CCM na CCM ni Nape na ndio maana kwa akili yake CCM haifi hata kama atabaki peke yake, CCMM - Chama Cha Mtu Moja!lengo lake ni kuimarisha chama na kukagua utendaji wa chama na serikali katika maeneo hayo lakini pia jamaa ni ONE MAN ARMY ni kiongozi anaonyesha njia wengine watafata, hiyo ni juu ya aliyoongozana nao lakini tunaomfuata ni wengi....,
Dakika ishirini zilizopita, Kuna thread ya "uongo" juu ya ziara ya Nape makambako leo na kudai kuwa alizomewa katika ziara hiyo,
UKWELI NI HUU;
Mimi nilikuwepo katika mkutano huo na ili linalozungumzwa halikutokea na kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukubali kuwa Nape anaweza kutukana wananchi hadharani (ambao wengi ni wanaCCM).
Uhalisia ni kuwa jamaa aliwashika pabaya chadema hii leo na kuwaeleza kuwa movement for change ni namna ya kutengeneza pesa kwani haina mashiko kwa kuwa haijielezi ni "cheji" ipi wanaitaka, na nape alitoa mifano kuwa ulaya hivi sasa wanayo movement for "democratic change" lakini hii ya chadema haijielewi ipoipo tu.
pili aliongelea juu ya waliohama kuwa ni sawa na oil chafu ambayo haina madhara ikipungua na hata kutolewa kabisa kwa kuwa haifai tena kwenye gari hilo.
na pia akasisitiza kuwa mapato ya stendi ya makambako isomwe hadharani na kubandikwa ili wananchi waelewe.
pia alieleza juu ya muungano na kueleza kwa mifano, alitoa mfano kuwa si busara kwa watu ambao wamekuwa katika ndoa kwa miaka 50 kuanza kujadili uhalali wa ndoa hiyo bali wanaweza kujadili namna ya kuongeza mapenzi kwa nia ya kudumisha ndoa hiyo
aliendelea kwa kufafanua juu ya suala la mgombea binafsi na kuweka wazi kuwa CCM haina shida na suala hili isipokuwa ni wazi kuwa suala hili litawaumiza upinzani zaidi kwani iko wazi kuwa leo hii katiba ikilipitisha hili kuna watu siku hiyo hiyo wanatangaza kuhama chadema na kusimama wao kama wenyewe, watu ambao wana-majority kwenye chadema"
Nape aliendela kusisitiza juu ya suala la maadili ya viongozi na kueleza kuwa inalazimika sasa suala hili liingie katika katiba mpya ili lipate nguvu zaidi.
haya na mengine mengi yalifanya hata wale waliokuja kwenye mkutano na kombati waanze kushangilia na picha naipandisha kwa ushahidi.
Magwanda lazima muishiwe damu mwaka huu, jamaa anawapiga pande zote. Imagine ule umati ulivyojaa...!
walisema kuna viongozi wakuu wa chadema wanahamia Chadomo- watu wakawa attention na baadae kimyaaaaa
walisema CCM inaua wanachama wao na baada ya uchunguzi wa watu waliokufa, ikagundulika si wana CDM na wala hawakuuwawa na CCM...
walisema hata wakivua magamba nyoka bado sumu ni ile ile leo wanakumbatia oil chafu..nao wanachafuka..,hurumaaaa...
wanasema Nape anatukana mikutanoni na kila kukicha anapandishwa thread inayomtaja kumdiscourage, jamaa huyoooo anawaumiza tuu,,
anaandaa ziara kwenda lindi.,mtwara na ruvuma kwenda kuwafuta wananchi mabaki ya oil chafu, inaanza mwezi wa saba...
lengo lake ni kuimarisha chama na kukagua utendaji wa chama na serikali katika maeneo hayo lakini pia jamaa ni ONE MAN ARMY ni kiongozi anaonyesha njia wengine watafata, hiyo ni juu ya aliyoongozana nao lakini tunaomfuata ni wengi....,
hakuna haja ya kutengeneza story.,ccm haijaanza siasa jana ina nusu karne katika hili.,chadomo ndo wanaoangaika kutafuta namna ya kutoka...!
lengo lake ni kuimarisha chama na kukagua utendaji wa chama na serikali katika maeneo hayo lakini pia jamaa ni ONE MAN ARMY ni kiongozi anaonyesha njia wengine watafata, hiyo ni juu ya aliyoongozana nao lakini tunaomfuata ni wengi....,
kaulize kule kenya kanu iko wapi?