MAN OF CHANGES
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 507
- 191
leo cdm wanazindua kampeni zao Arumeru,nw wapo maeneo ya USA krb na chuo kikuu Tumaini Makumira,FFU kila kona ya USA,vijana wa chadema wamejipanga kila kona yani ni chamrachamra za kutosha,kwa mbali naona helkopta ya chadema inapita juu,toyo zote zimeamia cdm,kwa mbali naona gari ya wazi yenye bendera ya cdm imebeba WAZUNGU nao wapo kwenye kampeni. Kwenye daladala wakina mama wanasema hawawezi chagua mtu aliyewekwa kwa maslai ya wengine.Tutazidi kujuzana zaidi bse nipo hapa chuo ila nw naelekea twn.haujambo?MUNGU ATUKUZWE,hbr ya uzima wako?wewe ni mzma kbs?