sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,896
- 5,302
Chadema haifanyi mambo kwa mkurupuko,kila mwaka munaibuka na hoja dhaifu.........mulisema kitakufa kabla ya uchaguzi ulioisha, uchaguzi umeisha na waliotabiri chadema itakufa ndio na ubunge wamekosa......we subiri utasikia kishindo cha katibu mkuu na mgombea hiyo 2020