Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
- Thread starter
- #21
CCM ni chama dola. Kila uchaguzi ukifika tunashinda. Tunajibadii kama kinyonga kuendana na hali na mazingira. Hamkutaraji kama Magufuli atakuwa Rais Bora kuwahi kutokea hapa Tanzania. Mnaisoma nambaHapa ndo ninapochoka na wewe na kukuona kwamba unalipwa kwa utumbo huu unaoufanya
Nilitegemea sa hvi uwe busy kukishauri chama chako na serikali yake sasa upo busy na CDM