TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
Anasimama na Lissu Mahakamani pembeni kuna Prof.Safari au kuna kitu gani kwa upande wa Chadema ? Na hii ndiyo watanzania watajua kwamba Chadema wako serious sasa .Komesha kuropoka bila ushahidi .Marando am sure hatakosa hapa kuongoza kuutafuta ukweli .
du umenikumbusha juzi jpili kwenye star tv alipandwa na jazba akaanza kuropoka ooo lisu anadanganya aaaa kumbe yupo vile je mahakamani si ndio atakimbia nchi