CHADEMA walimponza Tundu Lissu akapoteza haki yake ya matibabu

Ntiley

Senior Member
Oct 23, 2017
196
249
Ndg wana JF habari za weekend?
Baada ya spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Ndugai kufafanua juu ya Bunge kushindwa kugharimia matibabu ya Mhe Tundu Lisu Nje ya Nchi

Ni ukweli sasa Chadema wakubali kubeba lawama kuhusu kumkosesha Mbunge Lisu haki ya kugharimiwa matibabu na Bunge

Nchi na Taasisi yoyote lazima iwe na utaratibu unaoheshimiwa na wanachama wa hiyo Taasisi au kama Nchi,vinginevyo hili la kila mtu kuamka na kujitwalia matakwa yake si sahihi.

Fedha za serikali hutolewa kwa taratibu ,kanuni na sheria zilizotungwa na bunge

Mfano Mzuri ni huu fedha za miradi na zile za OC Zote zona pouch in is he a na bunge ni Kazi ya serikali kuzingatia matakwa yaliwekwa juu ya matumizi ya fedha hizo kwa walioomba na kupewa kuzitumia,wakizitumia kinyume hiyo ni hoja tayari na majibu ya hoja ni kuzirudisha fedha zile zilizotumika kimakosa au kupewa Hati chafu

Bunge kama liliweka utaratibu wa kuwapeleka wabunge wao kwenye matibabu lazima mwongozo au utaratibu huo ufuatwe na usipofuatwa ni hoja kwa mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali.

Hivyo yale maamuzi ya kumpeleka Kenya bila kibali kufuata utaratibu uliowekwa ikiwemo kupitia Hospital ya muhimbili chadema walimponza na kupoteza haki Yake ya kugharimiwa matibabu
 
Ndg wana JF habari za weekend?
Baada ya spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Ndugai kufafanua juu ya Bunge kushindwa kugharimia matibabu ya Mhe Tundu Lisu Nje ya Nchi

Ni ukweli sasa Chadema wakubali kubeba lawama kuhusu kumkosesha Mbunge Lisu haki ya kugharimiwa matibabu na Bunge

Nchi na Taasisi yoyote lazima iwe na utaratibu unaoheshimiwa na wanachama wa hiyo Taasisi au kama Nchi,vinginevyo hili la kila mtu kuamka na kujitwalia matakwa yake si sahihi.

Fedha za serikali hutolewa kwa taratibu ,kanuni na sheria zilizotungwa na bunge

Mfano Mzuri ni huu fedha za miradi na zile za OC Zote zona pouch in is he a na bunge ni Kazi ya serikali kuzingatia matakwa yaliwekwa juu ya matumizi ya fedha hizo kwa walioomba na kupewa kuzitumia,wakizitumia kinyume hiyo ni hoja tayari na majibu ya hoja ni kuzirudisha fedha zile zilizotumika kimakosa au kupewa Hati chafu

Bunge kama liliweka utaratibu wa kuwapeleka wabunge wao kwenye matibabu lazima mwongozo au utaratibu huo ufuatwe na usipofuatwa ni hoja kwa mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali.

Hivyo yale maamuzi ya kumpeleka Kenya bila kibali kufuata utaratibu uliowekwa ikiwemo kupitia Hospital ya muhimbili chadema walimponza na kupoteza haki Yake ya kugharimiwa matibabu


Wewe una akili kweli?

Hela itatoka na fidia juu!

Akirudi kesi inafunguliwa na wanashinda asubuhi saa nne na serikali inatoa fedha zote na fidia juu...

Subiria..

Ndio maana hawana presha..

Mwehu kweli weweeee...

Vibali,siju kwenda Kenya,nk...Zinapanguliwa mahakamani asubuhi saa mbili tu..Na jaji atatoa hukumu ya compensation mabilioni ya kueleweka...
 
Ni bora kupoteza haki ya kutibiwa na ukapona,, kuliko kupata haki ya kutibiwa na ukafa,,,, mtoa mada usijione mjinga mwenyewe,, japo ni kweli wewe ni mjinga,,, unadhani hila za ccm kuongoza kundi la mauaji halijulikani? Kwa taarifa yako Lissu hajapoteza haki Bali amepata haki ya kuishi kwa maamuzi sahihi waliochukua CHADEMA
 
Ndg wana JF habari za weekend?
Baada ya spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Ndugai kufafanua juu ya Bunge kushindwa kugharimia matibabu ya Mhe Tundu Lisu Nje ya Nchi

Ni ukweli sasa Chadema wakubali kubeba lawama kuhusu kumkosesha Mbunge Lisu haki ya kugharimiwa matibabu na Bunge

Nchi na Taasisi yoyote lazima iwe na utaratibu unaoheshimiwa na wanachama wa hiyo Taasisi au kama Nchi,vinginevyo hili la kila mtu kuamka na kujitwalia matakwa yake si sahihi.

Fedha za serikali hutolewa kwa taratibu ,kanuni na sheria zilizotungwa na bunge

Mfano Mzuri ni huu fedha za miradi na zile za OC Zote zona pouch in is he a na bunge ni Kazi ya serikali kuzingatia matakwa yaliwekwa juu ya matumizi ya fedha hizo kwa walioomba na kupewa kuzitumia,wakizitumia kinyume hiyo ni hoja tayari na majibu ya hoja ni kuzirudisha fedha zile zilizotumika kimakosa au kupewa Hati chafu

Bunge kama liliweka utaratibu wa kuwapeleka wabunge wao kwenye matibabu lazima mwongozo au utaratibu huo ufuatwe na usipofuatwa ni hoja kwa mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali.

Hivyo yale maamuzi ya kumpeleka Kenya bila kibali kufuata utaratibu uliowekwa ikiwemo kupitia Hospital ya muhimbili chadema walimponza na kupoteza haki Yake ya kugharimiwa matibabu
Nyo'anokho!
 
wewe kumbe hujui siasa ni nn....
Wewe na akili zako hapo kosa Lao lipo wapi kutoa huduma ya kwanza Ndio kosa au? Taratibu zao kuna mtu kazizuia? Au kwani hakuumia? Hebu taratbu zao zianze Leo
Assume lisu amepigwa risasi Leo haya hebu taratbu zao zianze upya tuone what next
Tuweni makini na Maneno ya wanasiasa aiseee tusije ondoana kwnye mstari niliopo
 
Unawashwa na Nini?

Bunge halikumtibu ila Wananchi Wa kawaida na Chama chake wamemtibu na Mungu Wetu muaminifu kamponya na kumuepusha na lengo mlilokusudia.


Endeleeni kuweweseka!
 
Ndg wana JF habari za weekend?
Baada ya spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Ndugai kufafanua juu ya Bunge kushindwa kugharimia matibabu ya Mhe Tundu Lisu Nje ya Nchi

Ni ukweli sasa Chadema wakubali kubeba lawama kuhusu kumkosesha Mbunge Lisu haki ya kugharimiwa matibabu na Bunge

Nchi na Taasisi yoyote lazima iwe na utaratibu unaoheshimiwa na wanachama wa hiyo Taasisi au kama Nchi,vinginevyo hili la kila mtu kuamka na kujitwalia matakwa yake si sahihi.

Fedha za serikali hutolewa kwa taratibu ,kanuni na sheria zilizotungwa na bunge

Mfano Mzuri ni huu fedha za miradi na zile za OC Zote zona pouch in is he a na bunge ni Kazi ya serikali kuzingatia matakwa yaliwekwa juu ya matumizi ya fedha hizo kwa walioomba na kupewa kuzitumia,wakizitumia kinyume hiyo ni hoja tayari na majibu ya hoja ni kuzirudisha fedha zile zilizotumika kimakosa au kupewa Hati chafu

Bunge kama liliweka utaratibu wa kuwapeleka wabunge wao kwenye matibabu lazima mwongozo au utaratibu huo ufuatwe na usipofuatwa ni hoja kwa mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali.

Hivyo yale maamuzi ya kumpeleka Kenya bila kibali kufuata utaratibu uliowekwa ikiwemo kupitia Hospital ya muhimbili chadema walimponza na kupoteza haki Yake ya kugharimiwa matibabu
Duh, umeandika upoyoyo sana. Kwahiyo walimpiga risasi iliafuate taratibu za kumtibia? Walijua hata asipokufa kwenye tukio atakufa wakati wanafuatilia rufaa ya kupelekwa nje. Mungu kweli wa ajabu, akampa Mbowe maamuzi ya haraka ili TAL apone mpelekeni Kenya. Sasa aibu zinawakuta wanadai hakufuata taratibu.
Ebu niambie wewe, huyo Job Ndugai alifuata taratibu gani za kupelekwa India?
 
wewe kumbe hujui siasa ni nn....
Wewe na akili zako hapo kosa Lao lipo wapi kutoa huduma ya kwanza Ndio kosa au? Taratibu zao kuna mtu kazizuia? Au kwani hakuumia? Hebu taratbu zao zianze Leo
Assume lisu amepigwa risasi Leo haya hebu taratbu zao zianze upya tuone what next
Tuweni makini na Maneno ya wanasiasa aiseee tusije ondoana kwnye mstari niliopo
Waziri alisisitiza apitie Muhimbili mkampuuza...ofisi ya bunge ilikaa kikao na familia Pale karemjee lakini mkaweka kauzibe
 
Ndg wana JF habari za weekend?
Baada ya spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Ndugai kufafanua juu ya Bunge kushindwa kugharimia matibabu ya Mhe Tundu Lisu Nje ya Nchi

Ni ukweli sasa Chadema wakubali kubeba lawama kuhusu kumkosesha Mbunge Lisu haki ya kugharimiwa matibabu na Bunge

Nchi na Taasisi yoyote lazima iwe na utaratibu unaoheshimiwa na wanachama wa hiyo Taasisi au kama Nchi,vinginevyo hili la kila mtu kuamka na kujitwalia matakwa yake si sahihi.

Fedha za serikali hutolewa kwa taratibu ,kanuni na sheria zilizotungwa na bunge

Mfano Mzuri ni huu fedha za miradi na zile za OC Zote zona pouch in is he a na bunge ni Kazi ya serikali kuzingatia matakwa yaliwekwa juu ya matumizi ya fedha hizo kwa walioomba na kupewa kuzitumia,wakizitumia kinyume hiyo ni hoja tayari na majibu ya hoja ni kuzirudisha fedha zile zilizotumika kimakosa au kupewa Hati chafu

Bunge kama liliweka utaratibu wa kuwapeleka wabunge wao kwenye matibabu lazima mwongozo au utaratibu huo ufuatwe na usipofuatwa ni hoja kwa mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali.

Hivyo yale maamuzi ya kumpeleka Kenya bila kibali kufuata utaratibu uliowekwa ikiwemo kupitia Hospital ya muhimbili chadema walimponza na kupoteza haki Yake ya kugharimiwa matibabu
kweli akili ni nywele yan had huku jf kuna mapopoma kama haya et apelekwe muhimbil ili wamkate

uhai muhim kuliko kutak pesa izo za bunge huku unahatarisha uhai wako
 
Waziri alisisitiza apitie Muhimbili mkampuuza...ofisi ya bunge ilikaa kikao na familia Pale karemjee lakini mkaweka kauzibe
Chadema bado uelewa wenu uko chini mno hili nalo na usomi wenu liliwashindaje
 
Back
Top Bottom