Huu ni ushauri wa bure kwenu kama mdau.
Niliwahi kuandika uzi huu pia:
Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM
Humo pia kitengo cha Habari na Propaganda kiliangaziwa ambayo haya yaliwekwa wazi:
Kulikoni kuwaendekeza watu hawa ambao kwa sasa wanapigania utengano, badala ya mashirikiano au mapambano kamili dhidi ya adui?
Kulikoni watu hawa kuachwa kuandika wakijinasibu kwa niaba ya chama huku chama kikiwa kimya?
Watu hawa ni mzigo wasiokuwa na msaada wowote kwa chama wala ukombozi wa nchi hii.
Niliwahi kuandika uzi huu pia:
Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM
Humo pia kitengo cha Habari na Propaganda kiliangaziwa ambayo haya yaliwekwa wazi:
Kulikoni kuwaendekeza watu hawa ambao kwa sasa wanapigania utengano, badala ya mashirikiano au mapambano kamili dhidi ya adui?
Kulikoni watu hawa kuachwa kuandika wakijinasibu kwa niaba ya chama huku chama kikiwa kimya?
Watu hawa ni mzigo wasiokuwa na msaada wowote kwa chama wala ukombozi wa nchi hii.