- Thread starter
- #81
Pamoja na kuhaha usiku kucha jana, kumleta Zitto, Msigwa na wale Oil chafu( kina millya), ili kuhujumu mkutano wa dogo Nape Iringa Mjini Chadema wameishia kuabika kwa ajabu sana!! Baada ya kupima na kuona kuwa hawatafanikiwa kushawishi watu wasihudhurie mkutano huo wa CCM Cdm waliamua kuwasihi wana Iringa waende huku wakilia na kushika vichwa, jambo ambalo wamelipuuza wana Iringa maana kila Nape alipozungumza walimshangilia na mwisho katoka uwanjani pale sokoni anasukumwa na vijana mbalimbali tena wasiokuwa na nguo za CCM. Wengi wa hao vijana wakati Nape anafika uwanjani hapo walikuwa wakinyoosha vidole viwili juu.
Hebu angalia hapa kipande cha mkutano
Hebu angalia hapa kipande cha mkutano