zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
wacha we....muambie michuzi acheze na photoshop tena watu waonekane wamejaaa...mmebanwa kabari hamuhemi..mtajamba sana mwaka huu
Wingi wa makamasi si ukubwa wa pua.
wacha we....muambie michuzi acheze na photoshop tena watu waonekane wamejaaa...mmebanwa kabari hamuhemi..mtajamba sana mwaka huu
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.
Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.
Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa
Nape kiboko yao.
Mnyalukolo wilonga nyoni sana!
Vayago visika ukombozi veve wileta uudala kangi!
Hii ndiyo hali halisi ya CHADEMA Iringa.
View attachment 56570
View attachment 56571
View attachment 56572
Halafu eti bado kuwe kuna sababu ya kuhujumu mkutano wa Vuvuzela??!!! Unachekesha wewe.
Hivi kweli ukiwa na akili ambazo ni timamu unaweza ukafananisha uwezo wa akili na uwezo wa kujenga hoja wa Nape na kamanda yoyote wa CHADEMA? Nape akajipime uwezo na CCM B aka CUF na CCM C aka NCCR mageuzi hao ndio saizi yake. CHADEMA ni next level, ni sawa ushindanishe MAN U na JK RUVU....
Asante mkuu kwa uthibitisho huo uanajua ukitaka kukamata nzi tega kinyesi
Mnyalukolo wilonga nyoni sana!
Vayago visika ukombozi veve wileta uudala kangi!
Mnyalukolo wilonga nyoni sana!
Vayago visika ukombozi veve wileta uudala kangi!
tunamwachia nape awape za mbavu, sisi tukija ni za uso tu. Mmesahau jangwani? Kwi kwi kwi teh teh teh!
Ovyooooo!Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.
Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.
Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa