CHADEMA visima vya Sabodo viliwashinda Bwawa la Umeme wangeliwezaje?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,990
142,007
Kiukweli mradi wa Bwawa la Umeme huko Rufiji unaendelea vizuri na binafsi nililiridhishwa na maelezo niliyopewa katika banda la Tanesco pale maonesho ya 7 7.

Nawashangaa sana Chadema wanavyotilia shaka mradi ule ilhali wao visima vya Sabodo viliwashinda japo walipewa Fedha zote za mradi.

Watanzania tuwe Wavumilivu mambo mazuri hayataki papara!
 
Kiukweli mradi wa Bwawa la Umeme huko Rufiji unaendelea vizuri na binafsi nililiridhishwa na maelezo niliyopewa katika banda la Tanesco pale maonesho ya 7 7

Nawashangaa sana Chadema wanavyotilia shaka mradi ule ilhali wao visima vya Sabodo viliwashinda japo walipewa Fedha zote za mradi

Watanzania tuwe Wavumilivu mambo mazuri hayataki papara!
Maelezo uliyopewa 77 wewe kama nani??una impact gani kwenye Nchi hii zaidi ya UHARO na MASHUZI uliyojaza matakoni kwak??
 
Nawashangaa sana Chadema wanavyotilia shaka mradi ule ilhali wao visima vya Sabodo viliwashinda japo walipewa Fedha zote za mradi
Bwashee ebu toa ufafanuzi hapo.
Una maana walipewa pesa ya visima wakaitafuna au? Mi mbona sielewi!
Mil 100 ya kujenga makao makuu ya chama, wakatafuna; na pesa ya mradi wa visima wakamanga ?! Kama ndiyo hivi, hakyanani tutafika tumechoka sana
 
Sidhani kama umeangalia kwa umakini.Ni CCM wenzako hasa humu JF ndiyo ambao wanapinga kila kitu cha awamu ya Mama Samia kwa sasa.Wafuatilie.
Sio CCM wenzake tu,bali watanzania wote wenye uelewa mpana wa mambo ya nchi hii,hususan kwenye Siasa hizi za majitaka.

Ni ukweli usiopingika kwamba Mradi wa Bwawa la Umeme la Nyerere.
Unafanyiwa mbinu chafu ili kuchelewesha ukamilishaji wake.

Lengo kuu likiwa ni kwanza mradi wa gesi upate wawekezaji na kuanza kabla ya Bwawa.

Sababu kuu zikiwa ni mbili.

1 - Kundi Msoga na Januari Makamba,wao wanajua kule ndiko kwenye 10% yao isiyo na Utata.tofauti na kwenye bwawa ambako mikataba yote ilikwisha sainiwa.
Pia wanataka kusubiri ukamilikaji wa mikataba na miradi mingine wenye hisa nayo kama vile mradi wa Umeme wa upepo.
Ili ikamilike kwanza.

2 - Kundi mama na msoga pia linaogopa Legacy ya JPM, na hivyo kulikamilisha bwawa on time.
Wanaona kama itampaisha JPM na wafuasi wake kisiasa kuelekea 2025.

Huo ndio ukweli halisi uliopo na haya mingine ni maigizo ya Bongo tu.

Ogopa DJ's

View attachment 2293581
 
Sio CCM wenzake tu,bali watanzania wote wenye uelewa mpana wa mambo ya nchi hii,hususan kwenye Siasa hizi za majitaka.

Ni ukweli usiopingika kwamba Mradi wa Bwawa la Umeme la Nyerere.
Unafanyiwa mbinu chafu ili kuchelewesha ukamilishaji wake.

Lengo kuu likiwa ni kwanza mradi wa gesi upate wawekezaji na kuanza kabla ya Bwawa.

Sababu kuu zikiwa ni mbili.

1 - Kundi Msoga na Januari Makamba,wao wanajua kule ndiko kwenye 10% yao isiyo na Utata.tofauti na kwenye bwawa ambako mikataba yote ilikwisha sainiwa.
Pia wanataka kusubiri ukamilikaji wa mikataba na miradi mingine wenye hisa nayo kama vile mradi wa Umeme wa upepo.
Ili ikamilike kwanza.

2 - Kundi mama na msoga pia linaogopa Legacy ya JPM, na hivyo kulikamilisha bwawa on time.
Wanaona kama itampaisha JPM na wafuasi wake kisiasa kuelekea 2025.

Huo ndio ukweli halisi uliopo na haya mingine ni maigizo ya Bongo tu.

Ogopa DJ's

View attachment 2293581
Kama uliyoyaandika yana ukweli,nasisitiza kama yana ukweli,hilo genge watakuwa wapumbavu waliovuka viwango.Kuogopa legacy ndiyo uitese nchi?Ajabu!
 
Kiukweli mradi wa Bwawa la Umeme huko Rufiji unaendelea vizuri na binafsi nililiridhishwa na maelezo niliyopewa katika banda la Tanesco pale maonesho ya 7 7

Nawashangaa sana Chadema wanavyotilia shaka mradi ule ilhali wao visima vya Sabodo viliwashinda japo walipewa Fedha zote za mradi

Watanzania tuwe Wavumilivu mambo mazuri hayataki papara!
Huwa kuna wakati unawehuka ee
 
Kiukweli mradi wa Bwawa la Umeme huko Rufiji unaendelea vizuri na binafsi nililiridhishwa na maelezo niliyopewa katika banda la Tanesco pale maonesho ya 7 7

Nawashangaa sana Chadema wanavyotilia shaka mradi ule ilhali wao visima vya Sabodo viliwashinda japo walipewa Fedha zote za mradi

Watanzania tuwe Wavumilivu mambo mazuri hayataki papara!
Uchawa ukizidi,watu hawatumii Tena akili na bongo,ni makamasi tu!!sasa wewe kwani bwawa la Nyerere linajengwa kwa pesa ya ccm na michango ya wanachsma wake!au kwa pesa ya Kodi ya wananchi!!?
Tupo watu milioni 60,wanachsma wa ccm hawazidi milioni 10!!Eti chama pendwa?!!!
 
Kiukweli mradi wa Bwawa la Umeme huko Rufiji unaendelea vizuri na binafsi nililiridhishwa na maelezo niliyopewa katika banda la Tanesco pale maonesho ya 7 7

Nawashangaa sana Chadema wanavyotilia shaka mradi ule ilhali wao visima vya Sabodo viliwashinda japo walipewa Fedha zote za mradi

Watanzania tuwe Wavumilivu mambo mazuri hayataki papara!
Kujenga tu hata vyumba viwili vya ofisi ya makao makuu wameshindwa kwa miaka 26 huku wakiwa na Ruzuku ya serikali+michango ya wafadhili+michango ya wanachama+michango ya wabunge.
 
Nyie endeleni kuwakalia cdm cdm
Wenzenu wanakulaaa huko juu

Ova
 
Back
Top Bottom