CHADEMA, tumsamehe Zitto tusonge mbele; awe mtu asiye na madhara kama Shibuda!

Tumekuwa na mihemko na hasira muda mrefu na vitu vilivyokkuwa vikitoke kwenye chama chetu, sasa naona ni muda muafaka kumsamehe huyu bwana na tusonge mbele. Shibuda huwa tunakuwa tumemsamehe kabla hata hajasema kitu wala hajafanya kitu, mimi kwa mapendekezo yagu naona hata Zitto asamehewe hata kabla hajawaza kitu!

Tumsamehe tuu pamoja na kauwa sidhani kama atakuwa tayari kuomba msamaha, Tumsamehe na tujenge chama kwa upya kwa spidi isiyo ya kawaida.

Zitto asameheki!
 
Tumekuwa na mihemko na hasira muda mrefu na vitu vilivyokkuwa vikitoke kwenye chama chetu, sasa naona ni muda muafaka kumsamehe huyu bwana na tusonge mbele. Shibuda huwa tunakuwa tumemsamehe kabla hata hajasema kitu wala hajafanya kitu, mimi kwa mapendekezo yagu naona hata Zitto asamehewe hata kabla hajawaza kitu!

Tumsamehe tuu pamoja na kauwa sidhani kama atakuwa tayari kuomba msamaha, Tumsamehe na tujenge chama kwa upya kwa spidi isiyo ya kawaida.

Mimi ni mara yangu ya kwanza kuchangia hapa JF, ila huwa nasoma sana post za hapa JF. Na pia mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha kisiasa. Nimesoma mara nyingi sana hapa JF kwamba Zitto asamehewe. Nijuavyo mimi popote duniani kosa la usaliti la aina ya Zitto halisemeheki. Nitatoa mfano moja: Mke wangu akirudi nyumbani saa 6 usiku bila sababu ya maana ya kumfanya achelewe naweza kumsamehe, Hata akirudi asubuhi bado naweza kumsamehe akiomba msamaha. Na hata nikimfumania na mwanamme mwingine kwenye kitanda chetu tunacholalia naweza pia kumsamehe akiomba msamaha wa dhati kabisa. Lakini akinipa sumu tuseme kwenye chakula na kwa bahati nikagundua ni sumu na nikawahi matibabu nikanusurika kufa, HAKIKA SITAMSAMEHE KAMWE, na ndoa itavunjika hapohapo. Na mtu yeyote akimsamehe mke wa aina hiyo ajue kifo kinamuita.
 
Tumekuwa na mihemko na hasira muda mrefu na vitu vilivyokkuwa vikitoke kwenye chama chetu, sasa naona ni muda muafaka kumsamehe huyu bwana na tusonge mbele. Shibuda huwa tunakuwa tumemsamehe kabla hata hajasema kitu wala hajafanya kitu, mimi kwa mapendekezo yagu naona hata Zitto asamehewe hata kabla hajawaza kitu!

Tumsamehe tuu pamoja na kauwa sidhani kama atakuwa tayari kuomba msamaha, Tumsamehe na tujenge chama kwa upya kwa spidi isiyo ya kawaida.

Hivi nyoka amengia nyumbani mwako utamwaacha! Zito hatakiwi CDM, Zito ni tatizo CDM, Zito hapaswi kuaminiwa tena. na Madhara ya kumsamehe kutaponza wengi hawa watu wanaopenda makundi hawakawii kujipanga na kuvuruga kilakitu. Ubinafsi hukaa moyoni huyo tamaa ya madaraka imevuka mipaka. aende chaumma
 
Wewe kuna vitu huelewi na havijawekwa wazi kwa manufaa ya chama, usiwe mshabiki kipofu kama hivyo!

1. Kuchukua hela toka kwa mahasimu
2. Kuwa na mashabiki wa kutoka yanga wakati wewe uko simba
3. Kuandaliwa vikao na viongozi wa Yanga wakati wewe uko simba
4. Kuchukua vijisenti toka taasisi ambazo inabidi uzisimamie n.k

Mbona hujajibu swali langu?
 
Usaliti sii dhambi ndogo hata kidogo! Zito ni mzigo kwa CDM, lazima atoswe, atupwe nje, kelele zinazo sikika kwa sasa toka kwa Zito na wenzake ni sawa na kuku anapo nchinjwa, lazima arushe mbawa, hii ni nguvu ya kuondokea, ukitaka unaweza kuiita nguvu ya kufa. Mgonjwa yeyote hata kama ametafunwa na ukimwi kiasi kikubwa, ikifika saa ya kufa lazima atatafuta nguvu ya kuondokea, wengine huenda haja kubwa kama ishara ya kuondoka, hakuna njia nyingine kwa waasi, lazima aondoke.
 
Nionavyo mimi ni kwamba kama Zitto Zuberi Kabwe hatanyang'anywa uanachama kwa makosa aliyoyafanya na anayoendelea kufanya kwa lengo la kuiangusha CHADEMA basi sioni kama kutakuwa na mwanachama yeyote atakayestahili kufukuzwa.Na ikitokea mwanachama mwingine akafukuzwa atakuwa ameonewa.
 
....Ni lazima afukuzwe ili kurudisha heshima ya chama iliyoharibiwa na huyu msaliti na pia kurudisha mshikamano. Natumaini maamuzi ya kumfukuza kama mwanachama yatafanywa haraka iwezekanavyo.
 
Nimejitahidi kusoma katikati ya mistari ya uzi wako lakini sikupata ujumbe uliokusudia kufikisha.it's too short to effect the contract.
 
zitto mnafiki lazma afukuzwe kwa maana chadema tumechoka kulea wasaliti watumwa wa ccm
 
Tatizo ni uenyekiti, sio zitto. Yaliyojificha chini ya kapeti huwezi kuyajua ww, u mchanga mno
 
Ujumbe Umefika,.
Ni lazima afukuzwe ili aonyeshe njeuri yake kama ambavyo wasiolewa ishu hii wanavyotafsir.
Fukuza huyo.
Kama kamati kuu ilivyoagiza kuvuliwa kaimu kiongozi Upinzani na Ikafanyika na Uanachama pia Atafukuzwa, Ndio hapo tujue kama Mbunge huwa juu ya Chama chake au Chama ndicho huwa juu.
 
zitto mnafiki lazma afukuzwe kwa maana chadema tumechoka kulea wasaliti watumwa wa ccm
Zitto amefanya makubwa mno ndani ya hii saccos. Ndiye aliyeandika write up ya ufadhili wa chama cha cdu cha ujerumani kwa chadema kupewa mabilioni kuanzisha radio,tv na gazeti lakini mbowe akaanzisha freemedia km kampuni binafsi. Zitto akihoji ndo anakuwa msaliti. Hamjui kitu nyie wajinga sana
 
Back
Top Bottom