Matulanya Mputa
Senior Member
- Aug 14, 2023
- 105
- 203
Taifa lipo katika msiba, huu ni msiba wa kitaifa na nyinyi mnataka maandamano, je mpo sahihi?
Sisi kwa kanuni za kiusalama hampo sahihi na hatuungi mkono uvunjifu wa Amani, na pia hatuwezi ruhusu tarehe 15 mtaniambia nipo hapa.
TUKUTANE MONDULI MIMI NATANGULIA LEO
Pia soma
- Mbowe: Nitaongoza maandamano wakati taifa likiwa kwenye maombolezo
- CHADEMA: Tunaendelea na maandamano, maombolezo yanaisha kesho Februari 14, 2024
Sisi kwa kanuni za kiusalama hampo sahihi na hatuungi mkono uvunjifu wa Amani, na pia hatuwezi ruhusu tarehe 15 mtaniambia nipo hapa.
TUKUTANE MONDULI MIMI NATANGULIA LEO
Pia soma
- Mbowe: Nitaongoza maandamano wakati taifa likiwa kwenye maombolezo
- CHADEMA: Tunaendelea na maandamano, maombolezo yanaisha kesho Februari 14, 2024