Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,272
Uzuri wajamvi hili halichagui itikadi! Muanzisha mada upime mweyewe kama wenye akili timamu na maono ya mbali wanaungana na ubambucha wako uliotumwa au la!
Naomi A. Kaihula (Jamii jinsia na watoto) Highness Kiwia (Maji)...hizi wizara zote zimekuwa kwenye misuko sukomingi tangu Cabinet mpya ichaguliwe lakini hawa wa Chadema wamekuwa kimya hakuna aliyekuja na alternative policy paper yoyote kutuambia what's wrong with policies za CCM. It can be argued kuwa Freeman kujaza wanawake wasio na uwezo ni sawa na feminisation of Chadema, which to my mind is a good thing because it is going to get screwed from now on mpaka watakapo amka na kuja with proper lineup.
Nakumbuka mshauri mmoja wa Rais wa nchi "fulani" ni mdada mmoja mdogomdogo wengine wanadai kuwa ni "bomba"; na nchi kiuchumi inapaaa!
Perhaps Freeman's political adviser will be Halima Mdee? It has become a parody for shadow male Politicians. The only things we can expect from Freeman are parrot phases, from someone pulling his strings. The question who exactly is this unknown person?
Ukitaka kupima uwezo wa kuongoza kwa kuangalia CV nani anashinda CV ya Balali au ya Chenge? Nani anaweza kuweka ushindani na CV ya Msolla? As a matter of fact , I would argue that hakuna wasomi wa hali ya juu kama wana CCM! at least tukiangalia maelezo yao wanapoomba kura! Sidhani kama CV inatosha kufanya uone nchi inakwenda wapi? Kwa mfano, kuna taasisi za umma ambazo zinaongozwa na Ma Dr. So and so na ukiona madudu huko utashangaa! Ila CV zao tu.. well zinapendeza!Kama mnabisha waambieni walete C,V za hiyo Shadow Cabinet ndio mtaelewa kuwa these jokers. For this, its fair to say kuwa never in the field of human conflict in the land of Kilimanjaro...has so much damage, been inflicted on so many people, by so few...muppets!
"It is the mark of an educated mind to be able to entertain a thought without accepting it." Aristotle.
CDM supporters humu JF have to learn to suck up Constructive Criticism. It is how great institutions or those with such potential become greater!
Mwambie pia Pr mnstr Pinda hajui pia kwa nini Watanzania ni masikini!Wewe ndiyo kati ya wale mlioajiriwa kuinua image ya CCM iliyodorora -- na mnafikiri mtafanikiwa kwa kuiponda CDM. La hasha! CCM itaokolewa kwa kuwatimua mafisadi waliojazana ngazi zote ikianzia baraza lake la mawaziri.
Mfano, huyo head wenu Pinda hajiu hata kama kuna ubadhirifu katika serikali yake na wala hajui ripoti ya CAG imesema nini.
Mkuu unajua kuna raha ya kuandika na kushutumu watu kama umekusudia kupaka tope lakini nimekusoma na kwa bahati mbaya nimeshuku zaidi upeo wako ktk maswala ya bunge..Kama mnabisha waambieni walete C,V za hiyo Shadow Cabinet ndio mtaelewa kuwa these jokers. For this, its fair to say kuwa never in the field of human conflict in the land of Kilimanjaro...has so much damage, been inflicted on so many people, by so few...muppets!
One might say kuwa ohhh Freeman didn't have enough time time to vet his the RIGHT cabinet, well, It`s an oxymoron. Or in Chadema's case, just a bunch of morons wamejazwa mle na hawana lolote (Kielimu na kimawazo) mfano mzuri ni this dude under the name of Ezekia D. Wenje ambaye ni Shadow Foreign Minister, alikuwa kajificha kwenye Facebook ana update status zake kila dakika na kuwa poke wenzie wakati waTanzania wamekwama Libya na Japan. Baada ya kujua what he has been up nikasema its not his fault kwani kutegemea statement from him is like asking a plumber to do a heart bypass operation!
Then kuna Wizara ambazo Freeman alimua kujaza bila kuzingatia uwezo wao kama akina Regia Mtema (Kazi na ajira), Lucy Owenya (Wizara ya Viwanda na Biashara)
Naomi A. Kaihula (Jamii jinsia na watoto) Highness Kiwia (Maji)...hizi wizara zote zimekuwa kwenye misuko sukomingi tangu Cabinet mpya ichaguliwe lakini hawa wa Chadema wamekuwa kimya hakuna aliyekuja na alternative policy paper yoyote kutuambia what's wrong with policies za CCM. It can be argued kuwa Freeman kujaza wanawake wasio na uwezo ni sawa na feminisation of Chadema, which to my mind is a good thing because it is going to get screwed from now on mpaka watakapo amka na kuja with proper lineup.
Perhaps Freeman's political adviser will be Halima Mdee? It has become a parody for shadow male Politicians. The only things we can expect from Freeman are parrot phases, from someone pulling his strings. The question who exactly is this unknown person?
Kama mnabisha waambieni walete C,V za hiyo Shadow Cabinet ndio mtaelewa kuwa these jokers. For this, its fair to say kuwa never in the field of human conflict in the land of Kilimanjaro...has so much damage, been inflicted on so many people, by so few...muppets!
Napenda independent thinking ya GT; hajalishi atapigwa vipi mawe lakini anaanika anachoona kinastahili kuangaliwa. Sasa watu wekeni unazi pembeni, chambueni hoja yake, anaweza kuwa na makosa sehemu kadhaa (kama ninavyoona) lakini ana hoja...!
Katika CV tunaangalia mambo kama elimu na uzoefu(experience). Wabunge wengi wa CCM kwa viwango vya elimu ni PhD, masters n.k. Wengi wamekuwa katika kazi na experience zao ni zaidi ya miaka 10-15 bungeni. Kama elimu na uzoefu ndivyo vigezo muhimu tu, basi tungetegemea mambo makubwa kwao. Lakini wanaitwa na kuambiwa wakae kimya hadi tunahoji wingi wao ni kuzuia upinzani au kujenga hoja za kulisaidia taifa? Wakati tunaangalia CV za Chadema tuangalie pia zile nyingi za CCM zinatusaidiaje!'Constructive criticism' Yes! But it should not be personalized or entails character attack. The contents of the thread may have some important challenges, unfortunate the red meat is masked by overtone and rhetoric.
Wewe unaropoka tu wala sidhani kama huwa unafuatilia mambo. Leo nimebahatuika kuangalia bunge na sikuamini jinsi ambavyo wabunge wako wa ccm wanavyo kunja uso mbunge wa CDM anapokuwa anaongea. Nikajiuliza kwa nini inakuwa hivyo?
Kumbe kwa sababu wabunge wako wa CCM huwa hawana muda wa kujiandaa kufuatilia mijadara ya bunge hivyo roho zinakuwa zinawauma pale wanapoona wenzao wanapokuwa wako on top of isues. Then wewe looser unapokuja na hizi topic naishia tu kukuonea huruma sana.
Sliding roof,
In your Opinion JF does better job of Shadow cabinet...while una confess most of them are JF members!
Hiyo facebook hata JK anapost kila siku akiuza sura..besides ndio dunia ya leo mkuu wangu kama wewe huna jaribu kubadilika,nenda na wakati..
Mkuu kila waziri ataifanya kazi yake kwa wakati wake, hawajadili kama JF hata hapa huanzishi mada ili kujipinga mwenyewe utakupa punguani.
Labda nikukumbushe tu kwamba Muswada wa katiba mpya ulipotoka, wabunge wote wa CCM waliufurahia na kuupenda pamoja na elimu zao lakini ni hawa hawa wabunge unawaponda ndio walisimama na kuupinga kabla hata haujafika kwa wasomi kama nyie..Hivi mwanzo mlikuwa mkishangilia kitu gani haswa?
So far from what Ive seen Chadema Shadow cabinet has absolutely 'no intelligence, no talent,no education no patriotism, no responsibility, no sense of duty, no sense of loyalty, either to country, or countrymen, and have no principles, no morals whatsoever, other than to 'serve themselves' and few ruzukus here and there.
In fact, in many people's opinions, there is only one place the CCM bunch should be right now; THE SLAMMER!In fact with this lot, there is only one place they could end up, and that is exactly where they are right now, in the 'dustbin of political history & irrelevance', and from there, there is 'no return'!
Wizara ya Maji------------Highness S. Kiwia (her previous Facebook page used to call her self Miss Cleo.....i rest my case)
.
But for a double take, I would have thought you were talking about CCM and it's government because they embody those qualities to a tee. But instead you are ranting and raving about CHADEMA's shadow cabinet. You can't be serious.
In fact, in many people's opinions, there is only one place the CCM bunch should be right now; THE SLAMMER!