Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,995
This is a clear proof that you know nothing about these pple u r tryin' to criticise. Unaoperate kwa hisia na few may be one personality unayoijua. Makosa dhahiri kama haya yanaondoa uzito wote wa hoja na kuonekana ni uzushi period.
Kwahiyo mbunge wa Iremela ni mwanamke? kwa mujibu wa huyu JUHA alianzisha hii thread? ngoja niangalie thread za maana huyu anawatafutia watu ban mpuuzi huyu hana lolote.