babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,244
Hakika kutoka nchi ya watu waoga mpaka nchi ya watu wataka mabadiliko si kazi nyepesi. Elimu hiyo hutolewa na watu makini wasioogopa vitisho.
Mabadiliko yana changamoto zake hivo kuhitaji CHAMA CHA RUFAA CHA SIASA. Taka usitake sasa CHADEMA kimekuwa si chama kikuu cha upinzani bali CHAMA SIASA CHA RUFAA TANZANIA.
Hii ni kwa sababu wanachama wa vyama vingine pamoja na CCM wameungana na wananchi kuijenga CDM kimkakati na mawazo ya kuikomboa TANZANIA.
Hatua kwa hatua pamoja na vikwazo vingi lakini bado chama kimedumu na kujipatia nafasi kubwa katika duru za siasa Tanzania.
Kupanda kwa CHADEMA kumesababisha ama kufa au kudumaa kwa vyama vingne vya siasa hususani kutishia mustakabali wa CCM kwa siku za usoni kama si sasa. Hii hupelekea CDM kuwa kimbilio la majeruhi wa kiuchumi, kifikra, haki za watu kukandamizwa na sheria mbovu.
Hii yote ni sababu ya siasa za maji taka zilizoasisiwa na CCM kwa manufaa yao wenyewe. Wito wangu ni kwamba tuiunge mkono CDM kwa mawazo mema na tuwashauri pale wanapokosea.
Hakika mabingwa wa siasa wapo CDM na wengine wanaiga kwao.
KUINUKA CHADEMA NI ANGUKO KWA CCM NA MATAWI YAKE.
Mabadiliko yana changamoto zake hivo kuhitaji CHAMA CHA RUFAA CHA SIASA. Taka usitake sasa CHADEMA kimekuwa si chama kikuu cha upinzani bali CHAMA SIASA CHA RUFAA TANZANIA.
Hii ni kwa sababu wanachama wa vyama vingine pamoja na CCM wameungana na wananchi kuijenga CDM kimkakati na mawazo ya kuikomboa TANZANIA.
Hatua kwa hatua pamoja na vikwazo vingi lakini bado chama kimedumu na kujipatia nafasi kubwa katika duru za siasa Tanzania.
Kupanda kwa CHADEMA kumesababisha ama kufa au kudumaa kwa vyama vingne vya siasa hususani kutishia mustakabali wa CCM kwa siku za usoni kama si sasa. Hii hupelekea CDM kuwa kimbilio la majeruhi wa kiuchumi, kifikra, haki za watu kukandamizwa na sheria mbovu.
Hii yote ni sababu ya siasa za maji taka zilizoasisiwa na CCM kwa manufaa yao wenyewe. Wito wangu ni kwamba tuiunge mkono CDM kwa mawazo mema na tuwashauri pale wanapokosea.
Hakika mabingwa wa siasa wapo CDM na wengine wanaiga kwao.
KUINUKA CHADEMA NI ANGUKO KWA CCM NA MATAWI YAKE.