Uchaguzi 2020 CHADEMA pumzi imekata, Bernard Membe asakwa

Mkuu pole sana kwa mawazo yako. Nakuomba rejea clip zinazomwonyesha lisu akichangia bungeni kwenye mijadala ya masilahi mapana ya Taifa hili....hapo utaona uwezo wa lisu katika hoja. Pia nakuomba kapeni zikianza shuhudia ufunguzi wake uone anaongea nini .
 
Kwa mjibu wa matonyaji wangu wa karibu, Rafiki yangu wa siku nyingi sana tangu kuzaliwa CHADEMA wamendelea kujipima na kuona namna gani mugombea wao wa Urais amepokelewa na jamii ya watanzania. Kuna mabishano mengi Nyuma ya kapeti kwamba Mgombea wao anachuja mapema sana hata kabla CCM hawajapanda jukwaani.

Moja ya mijadala ni kuangalia jinsi Mugombea wao wa 2020 anavyoshuka chati ukilinganisha na Lowasa aliyekuwa anapanda chati siku hadi siku.

Kwenye mazungumuzo yetu ya simu (recorded ila natunza siri ya mtonyaji wangu) Rafiki huyu amenitonya kwamba sasa CDM wako tayari kuwaachia ACT Wazalendo majimbo yoyote watakayo yataka ili mradi Membe aongeze nguvu hili jahazi linalo zama.

Tangu Mgombea wao achaguliwe hakuna mwanasiasa yeyote maalufu kutoka chama chochote aliyejitokeza na kumuunga mkono tofauti na wafuasi walewale wakati wa Lowasa CCM kilimeguka na hii iliwapa nguvu CHADEMA .

Shida nyingine ni agenda/sera gani mgombea wao atatembea nayo wakati wa kampeni. Hapa ndipo penye shida pia maana CCM wamebeba agenda zote za maendeleo. CHADEMA sasa kimebaki na agenda ya uhuru wa nyombo vya habari na uhuru wa kujieleza.

Kuna shida pia iwapo CHADEMA kinataka kitembee na katiba mpya ambayo CCM wameachana nayo.. hii inawapa shida kidogo maana wakati wa bunge la katiba mpya CHADEMA walijitoa bungeni na kuwaacha CCM peke yao. Je, CCM wakitia doa hii sera itauzika?.

Inaonekana pia CHADEMA hawajafanya uchunguzi kupima nini haswa wananchi wanahitaji kwa sasa. Badala yake wamejikuta Mgombea akija na mahitaji yake binafsi ambayo hayawagusi watanzania hasa kundi la wapiga kura.

N.B. Mjumbe hauawi.
Rudi shule kasome tena unatakiwa kurudia chekechea. ELIMU ELIMU ELIMU. Mataga kwenu shule ni sawa sawa na jela
 
Kwa mjibu wa matonyaji wangu wa karibu, Rafiki yangu wa siku nyingi sana tangu kuzaliwa CHADEMA wamendelea kujipima na kuona namna gani mugombea wao wa Urais amepokelewa na jamii ya watanzania. Kuna mabishano mengi Nyuma ya kapeti kwamba Mgombea wao anachuja mapema sana hata kabla CCM hawajapanda jukwaani.

Moja ya mijadala ni kuangalia jinsi Mugombea wao wa 2020 anavyoshuka chati ukilinganisha na Lowasa aliyekuwa anapanda chati siku hadi siku.

Kwenye mazungumuzo yetu ya simu (recorded ila natunza siri ya mtonyaji wangu) Rafiki huyu amenitonya kwamba sasa CDM wako tayari kuwaachia ACT Wazalendo majimbo yoyote watakayo yataka ili mradi Membe aongeze nguvu hili jahazi linalo zama.

Tangu Mgombea wao achaguliwe hakuna mwanasiasa yeyote maalufu kutoka chama chochote aliyejitokeza na kumuunga mkono tofauti na wafuasi walewale wakati wa Lowasa CCM kilimeguka na hii iliwapa nguvu CHADEMA .

Shida nyingine ni agenda/sera gani mgombea wao atatembea nayo wakati wa kampeni. Hapa ndipo penye shida pia maana CCM wamebeba agenda zote za maendeleo. CHADEMA sasa kimebaki na agenda ya uhuru wa nyombo vya habari na uhuru wa kujieleza.

Kuna shida pia iwapo CHADEMA kinataka kitembee na katiba mpya ambayo CCM wameachana nayo.. hii inawapa shida kidogo maana wakati wa bunge la katiba mpya CHADEMA walijitoa bungeni na kuwaacha CCM peke yao. Je, CCM wakitia doa hii sera itauzika?.

Inaonekana pia CHADEMA hawajafanya uchunguzi kupima nini haswa wananchi wanahitaji kwa sasa. Badala yake wamejikuta Mgombea akija na mahitaji yake binafsi ambayo hayawagusi watanzania hasa kundi la wapiga kura.

N.B. Mjumbe hauawi.
Mimi natangulia kukufyekelea mbali,

Umejitungia hufai kabisaa
 
Hii ndio wazungu wanaita "Demonstration". Kazi bado na hatutaki risasi, tunataka hoja tu.
 
Jamaa Anataka aonewe huruma apewe nchi!
Hana sera.
Nadhani Mwenyekiti wa Chama keshaona ilo gap!
Sasa pale kijijini anatuonesha nyumbani Kwake anakosema nyumba inamabati chakavu-A mere small family yet he couldn't make it great despite ridhaa aliyopewa na wana Ikungi ndo anataka tumpe nchi???
Cant be serious.
Asiye na sera hawezi kupigwa risasi bwana usitudanganye. Nyie kama mnazo hizo sera kwa nini msizitumie mtumie mtutu. Bure kabisa.
 
Hapana Lissu hajachuja kwani kampeni za Chadema zimeshafunguliwa rasmi? Subiri kipimo kitaanzia pale kwenye ufunguzi mpaka kufunga kampeni uenda anazo nondo za kutosha. Tazama.

LISSU WILL NEVER BE UNDERSTOOD IN THIS COUNTRY FOREVER...HE LOOSE GREAT POINT AT THAT TIME AND NOW THE GAME IS OVER...LET'S MEMBE WITH HIS HYPOCRITICAL MEMES TO SEE.....MWANA KULI-FIND, MWANA KULI-GET........MEMBE NI MNAFIKI NDIYO MAANA ANAONEKANA KUWA NA NGUVU HAKUNA KINGINE, KUNA WATU WA CCM WANAMPA UMBEYA WA KUMMALIZA YEYE MWENYEWE BILA KUJIJUA...UKIWA MROHO UTALISHWA NYAMA YA NGURUWE BILA KUJUA
 
Delete cc
Kwa mjibu wa matonyaji wangu wa karibu, Rafiki yangu wa siku nyingi sana tangu kuzaliwa CHADEMA wamendelea kujipima na kuona namna gani mugombea wao wa Urais amepokelewa na jamii ya watanzania. Kuna mabishano mengi Nyuma ya kapeti kwamba Mgombea wao anachuja mapema sana hata kabla CCM hawajapanda jukwaani.

Moja ya mijadala ni kuangalia jinsi Mugombea wao wa 2020 anavyoshuka chati ukilinganisha na Lowasa aliyekuwa anapanda chati siku hadi siku.

Kwenye mazungumuzo yetu ya simu (recorded ila natunza siri ya mtonyaji wangu) Rafiki huyu amenitonya kwamba sasa CDM wako tayari kuwaachia ACT Wazalendo majimbo yoyote watakayo yataka ili mradi Membe aongeze nguvu hili jahazi linalo zama.

Tangu Mgombea wao achaguliwe hakuna mwanasiasa yeyote maalufu kutoka chama chochote aliyejitokeza na kumuunga mkono tofauti na wafuasi walewale wakati wa Lowasa CCM kilimeguka na hii iliwapa nguvu CHADEMA .

Shida nyingine ni agenda/sera gani mgombea wao atatembea nayo wakati wa kampeni. Hapa ndipo penye shida pia maana CCM wamebeba agenda zote za maendeleo. CHADEMA sasa kimebaki na agenda ya uhuru wa nyombo vya habari na uhuru wa kujieleza.

Kuna shida pia iwapo CHADEMA kinataka kitembee na katiba mpya ambayo CCM wameachana nayo.. hii inawapa shida kidogo maana wakati wa bunge la katiba mpya CHADEMA walijitoa bungeni na kuwaacha CCM peke yao. Je, CCM wakitia doa hii sera itauzika?.

Inaonekana pia CHADEMA hawajafanya uchunguzi kupima nini haswa wananchi wanahitaji kwa sasa. Badala yake wamejikuta Mgombea akija na mahitaji yake binafsi ambayo hayawagusi watanzania hasa kundi la wapiga kura.

N.B. Mjumbe hauawi.
Delete ccm Oct 28
 
Kwa mjibu wa matonyaji wangu wa karibu, Rafiki yangu wa siku nyingi sana tangu kuzaliwa CHADEMA wamendelea kujipima na kuona namna gani mugombea wao wa Urais amepokelewa na jamii ya watanzania. Kuna mabishano mengi Nyuma ya kapeti kwamba Mgombea wao anachuja mapema sana hata kabla CCM hawajapanda jukwaani.

Moja ya mijadala ni kuangalia jinsi Mugombea wao wa 2020 anavyoshuka chati ukilinganisha na Lowasa aliyekuwa anapanda chati siku hadi siku.

Kwenye mazungumuzo yetu ya simu (recorded ila natunza siri ya mtonyaji wangu) Rafiki huyu amenitonya kwamba sasa CDM wako tayari kuwaachia ACT Wazalendo majimbo yoyote watakayo yataka ili mradi Membe aongeze nguvu hili jahazi linalo zama.

Tangu Mgombea wao achaguliwe hakuna mwanasiasa yeyote maalufu kutoka chama chochote aliyejitokeza na kumuunga mkono tofauti na wafuasi walewale wakati wa Lowasa CCM kilimeguka na hii iliwapa nguvu CHADEMA .

Shida nyingine ni agenda/sera gani mgombea wao atatembea nayo wakati wa kampeni. Hapa ndipo penye shida pia maana CCM wamebeba agenda zote za maendeleo. CHADEMA sasa kimebaki na agenda ya uhuru wa nyombo vya habari na uhuru wa kujieleza.

Kuna shida pia iwapo CHADEMA kinataka kitembee na katiba mpya ambayo CCM wameachana nayo.. hii inawapa shida kidogo maana wakati wa bunge la katiba mpya CHADEMA walijitoa bungeni na kuwaacha CCM peke yao. Je, CCM wakitia doa hii sera itauzika?.

Inaonekana pia CHADEMA hawajafanya uchunguzi kupima nini haswa wananchi wanahitaji kwa sasa. Badala yake wamejikuta Mgombea akija na mahitaji yake binafsi ambayo hayawagusi watanzania hasa kundi la wapiga kura.

N.B. Mjumbe hauawi.
Sera kubwa atakayoinadi na kukubalika na mabeberu ni ushoga
 
Kwa mjibu wa matonyaji wangu wa karibu, Rafiki yangu wa siku nyingi sana tangu kuzaliwa CHADEMA wamendelea kujipima na kuona namna gani mugombea wao wa Urais amepokelewa na jamii ya watanzania. Kuna mabishano mengi Nyuma ya kapeti kwamba Mgombea wao anachuja mapema sana hata kabla CCM hawajapanda jukwaani.

Moja ya mijadala ni kuangalia jinsi Mugombea wao wa 2020 anavyoshuka chati ukilinganisha na Lowasa aliyekuwa anapanda chati siku hadi siku.

Kwenye mazungumuzo yetu ya simu (recorded ila natunza siri ya mtonyaji wangu) Rafiki huyu amenitonya kwamba sasa CDM wako tayari kuwaachia ACT Wazalendo majimbo yoyote watakayo yataka ili mradi Membe aongeze nguvu hili jahazi linalo zama.

Tangu Mgombea wao achaguliwe hakuna mwanasiasa yeyote maalufu kutoka chama chochote aliyejitokeza na kumuunga mkono tofauti na wafuasi walewale wakati wa Lowasa CCM kilimeguka na hii iliwapa nguvu CHADEMA .

Shida nyingine ni agenda/sera gani mgombea wao atatembea nayo wakati wa kampeni. Hapa ndipo penye shida pia maana CCM wamebeba agenda zote za maendeleo. CHADEMA sasa kimebaki na agenda ya uhuru wa nyombo vya habari na uhuru wa kujieleza.

Kuna shida pia iwapo CHADEMA kinataka kitembee na katiba mpya ambayo CCM wameachana nayo.. hii inawapa shida kidogo maana wakati wa bunge la katiba mpya CHADEMA walijitoa bungeni na kuwaacha CCM peke yao. Je, CCM wakitia doa hii sera itauzika?.

Inaonekana pia CHADEMA hawajafanya uchunguzi kupima nini haswa wananchi wanahitaji kwa sasa. Badala yake wamejikuta Mgombea akija na mahitaji yake binafsi ambayo hayawagusi watanzania hasa kundi la wapiga kura.

N.B. Mjumbe hauawi.
Kusoma haujui hata picha huoni mzee,Tukuletee maandishi yenye nukta nundu?? NI YEYE
 
Back
Top Bottom