Uchaguzi 2020 CHADEMA pumzi imekata, Bernard Membe asakwa

Bernard Membe na jamaa wawili watatu majina kapuni) wote wapo huko kwa kazi maalum.

Mmojawapo yeye kazi yake ni feedback tu, huku payroll yafanya kazi yake.

Unafahamu aliye nyuma ya ACT wazalendo tangu kuanzishwa kwake?

Ukipata haya madini utashangaa sana kabla ya kushangazwa na Polepole.

Polepople kasema tusubiri CCM kushangaza umma wa watanzania.
 
Sera ni za Chama sio za mgombea. Kama hujui sera mojawapo kama hujui kwa manufaa yako na wajinga wenzako kama wewe naamini kukiita mjinga sio kosa. Chadema ikiingia ikishika dola:

1. Itapunguza % ya urejeshwaji wa pesa ya HSLB toka 15% ya sasa kwa wanufaika ambayo hata shetani hawezitoza. Pia hakutakuwa na faini ukichelewa kulipa kama hujapata ajira.

2. Fao la kujitoa litarejeshwa, mfanyakazi atakuwa huru kuchukua pesa yake mara tu atakapoachishwa kazi tofauti na sasa serikali imegeuza mifuko ya Jamii kuwa SACCOs yake.
Una uhakika na haya? Ama maneno maneno tu?
 
Mwandishi mwenye sensitive information kutoka chama kikuu cha upinzani hawezi andika neno "mugombea" zaidi ya once.
Wewe utakuwa muuza vitunguu umeamua kupumzisha akili ambazo nazo hazina kazi ya kuzichosha.

Hizo akili zenyewe za kupumzisha anazo!!
 
Kwa mjibu wa matonyaji wangu wa karibu, Rafiki yangu wa siku nyingi sana tangu kuzaliwa CHADEMA wamendelea kujipima na kuona namna gani mugombea wao wa Urais amepokelewa na jamii ya watanzania. Kuna mabishano mengi Nyuma ya kapeti kwamba Mgombea wao anachuja mapema sana hata kabla CCM hawajapanda jukwaani.

Moja ya mijadala ni kuangalia jinsi Mugombea wao wa 2020 anavyoshuka chati ukilinganisha na Lowasa aliyekuwa anapanda chati siku hadi siku.

Kwenye mazungumuzo yetu ya simu (recorded ila natunza siri ya mtonyaji wangu) Rafiki huyu amenitonya kwamba sasa CDM wako tayari kuwaachia ACT Wazalendo majimbo yoyote watakayo yataka ili mradi Membe aongeze nguvu hili jahazi linalo zama.

Tangu Mgombea wao achaguliwe hakuna mwanasiasa yeyote maalufu kutoka chama chochote aliyejitokeza na kumuunga mkono tofauti na wafuasi walewale wakati wa Lowasa CCM kilimeguka na hii iliwapa nguvu CHADEMA .

Shida nyingine ni agenda/sera gani mgombea wao atatembea nayo wakati wa kampeni. Hapa ndipo penye shida pia maana CCM wamebeba agenda zote za maendeleo. CHADEMA sasa kimebaki na agenda ya uhuru wa nyombo vya habari na uhuru wa kujieleza.

Kuna shida pia iwapo CHADEMA kinataka kitembee na katiba mpya ambayo CCM wameachana nayo.. hii inawapa shida kidogo maana wakati wa bunge la katiba mpya CHADEMA walijitoa bungeni na kuwaacha CCM peke yao. Je, CCM wakitia doa hii sera itauzika?.

Inaonekana pia CHADEMA hawajafanya uchunguzi kupima nini haswa wananchi wanahitaji kwa sasa. Badala yake wamejikuta Mgombea akija na mahitaji yake binafsi ambayo hayawagusi watanzania hasa kundi la wapiga kura.

N.B. Mjumbe hauawi.

Maalufu ni nini?
 
Kwa mjibu wa matonyaji wangu wa karibu, Rafiki yangu wa siku nyingi sana tangu kuzaliwa CHADEMA wamendelea kujipima na kuona namna gani mugombea wao wa Urais amepokelewa na jamii ya watanzania. Kuna mabishano mengi Nyuma ya kapeti kwamba Mgombea wao anachuja mapema sana hata kabla CCM hawajapanda jukwaani.

Moja ya mijadala ni kuangalia jinsi Mugombea wao wa 2020 anavyoshuka chati ukilinganisha na Lowasa aliyekuwa anapanda chati siku hadi siku.

Kwenye mazungumuzo yetu ya simu (recorded ila natunza siri ya mtonyaji wangu) Rafiki huyu amenitonya kwamba sasa CDM wako tayari kuwaachia ACT Wazalendo majimbo yoyote watakayo yataka ili mradi Membe aongeze nguvu hili jahazi linalo zama.

Tangu Mgombea wao achaguliwe hakuna mwanasiasa yeyote maalufu kutoka chama chochote aliyejitokeza na kumuunga mkono tofauti na wafuasi walewale wakati wa Lowasa CCM kilimeguka na hii iliwapa nguvu CHADEMA .

Shida nyingine ni agenda/sera gani mgombea wao atatembea nayo wakati wa kampeni. Hapa ndipo penye shida pia maana CCM wamebeba agenda zote za maendeleo. CHADEMA sasa kimebaki na agenda ya uhuru wa nyombo vya habari na uhuru wa kujieleza.

Kuna shida pia iwapo CHADEMA kinataka kitembee na katiba mpya ambayo CCM wameachana nayo.. hii inawapa shida kidogo maana wakati wa bunge la katiba mpya CHADEMA walijitoa bungeni na kuwaacha CCM peke yao. Je, CCM wakitia doa hii sera itauzika?.

Inaonekana pia CHADEMA hawajafanya uchunguzi kupima nini haswa wananchi wanahitaji kwa sasa. Badala yake wamejikuta Mgombea akija na mahitaji yake binafsi ambayo hayawagusi watanzania hasa kundi la wapiga kura.

N.B. Mjumbe hauawi.
Najua umeleta post lakini unafanya research kawambie walokuagiza kuwa maisha kitaa magumu na watu wapo tayari kuchagua hata kitu kuliko ccm sasa lisu ni zaid ya vitu ndiomaana popote anapopita panafulika kabla hata kampeni kuanza, linganisha na sehem anazopita mhe jpm na lisu utapata majibu,
Pia kawambie kuna watumish wanalaramika maslah yao japo wanaonekana wanaunga ccm lakin ukweli hata nusu yao wanalaramika masrai na wataifanya ccm kama wajumbe walivokifanya wambie ukweri
 
Mwandishi mwenye sensitive information kutoka chama kikuu cha upinzani hawezi andika neno "mugombea" zaidi ya once.
Wewe utakuwa muuza vitunguu umeamua kupumzisha akili ambazo nazo hazina kazi ya kuzichosha.
Atakuwa kafell darasa la saba huyo afu kama sio muha basi ni msukuma kanunua smart kitochi hapo yupo juu ya jiwe milimani ndo katuma hiyo msg
 
Hivi ukiwa CCM ni lazima uwe mpumbavu?Lissu hajaanza kampeni kinachoendelea watu wanataka kumsalimu tu...Ilani ya Chadema ikianza kuunguruma CCM watajificha
 
Sera ni za Chama sio za mgombea. Kama hujui sera mojawapo kama hujui kwa manufaa yako na wajinga wenzako kama wewe naamini kukiita mjinga sio kosa. Chadema ikiingia ikishika dola:

1. Itapunguza % ya urejeshwaji wa pesa ya HSLB toka 15% ya sasa kwa wanufaika ambayo hata shetani hawezitoza. Pia hakutakuwa na faini ukichelewa kulipa kama hujapata ajira.

2. Fao la kujitoa litarejeshwa, mfanyakazi atakuwa huru kuchukua pesa yake mara tu atakapoachishwa kazi tofauti na sasa serikali imegeuza mifuko ya Jamii kuwa SACCOs yake.
Huko walishazoea sera ni za mgombea na sio za chama.CCM ilishajifia siku nyingi tu ni vile watanzania wengi hawajui nyakati. ndio maana kila siku mzee Mkapa alikuwa anamkosoa JPM anaposema serikali ya Magufuli badala ya serikali ya CCM lakini watu hawakumuelewa yule mzee masikini. ukitaka kujua CCM imeshakufa subiri huyu bwana amalize muda wake wa uenyekiti ndio utajua......hapo CCM inaonekana bado ipo kwa mabavu ya JPM na vyombo vyake lakini kwa wanachama tayari ni chama mfu.
 
Kwa mjibu wa matonyaji wangu wa karibu, Rafiki yangu wa siku nyingi sana tangu kuzaliwa CHADEMA wamendelea kujipima na kuona namna gani mugombea wao wa Urais amepokelewa na jamii ya watanzania. Kuna mabishano mengi Nyuma ya kapeti kwamba Mgombea wao anachuja mapema sana hata kabla CCM hawajapanda jukwaani.

Moja ya mijadala ni kuangalia jinsi Mugombea wao wa 2020 anavyoshuka chati ukilinganisha na Lowasa aliyekuwa anapanda chati siku hadi siku.

Kwenye mazungumuzo yetu ya simu (recorded ila natunza siri ya mtonyaji wangu) Rafiki huyu amenitonya kwamba sasa CDM wako tayari kuwaachia ACT Wazalendo majimbo yoyote watakayo yataka ili mradi Membe aongeze nguvu hili jahazi linalo zama.

Tangu Mgombea wao achaguliwe hakuna mwanasiasa yeyote maalufu kutoka chama chochote aliyejitokeza na kumuunga mkono tofauti na wafuasi walewale wakati wa Lowasa CCM kilimeguka na hii iliwapa nguvu CHADEMA .

Shida nyingine ni agenda/sera gani mgombea wao atatembea nayo wakati wa kampeni. Hapa ndipo penye shida pia maana CCM wamebeba agenda zote za maendeleo. CHADEMA sasa kimebaki na agenda ya uhuru wa nyombo vya habari na uhuru wa kujieleza.

Kuna shida pia iwapo CHADEMA kinataka kitembee na katiba mpya ambayo CCM wameachana nayo.. hii inawapa shida kidogo maana wakati wa bunge la katiba mpya CHADEMA walijitoa bungeni na kuwaacha CCM peke yao. Je, CCM wakitia doa hii sera itauzika?.

Inaonekana pia CHADEMA hawajafanya uchunguzi kupima nini haswa wananchi wanahitaji kwa sasa. Badala yake wamejikuta Mgombea akija na mahitaji yake binafsi ambayo hayawagusi watanzania hasa kundi la wapiga kura.

N.B. Mjumbe hauawi.
Umeona sasa umeandika kisomi bila mihemko umetoa mawazo yako bila machuki ni wazi ww ni supporter wa CCM ila unajielewa hata tusioisapport kiivyo umetupinga huku ukiheshimu mitizamo yetu
 
Back
Top Bottom