Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,957
- 20,518
Bernard Membe na jamaa wawili watatu majina kapuni) wote wapo huko kwa kazi maalum.
Mmojawapo yeye kazi yake ni feedback tu, huku payroll yafanya kazi yake.
Unafahamu aliye nyuma ya ACT wazalendo tangu kuanzishwa kwake?
Ukipata haya madini utashangaa sana kabla ya kushangazwa na Polepole.
Polepople kasema tusubiri CCM kushangaza umma wa watanzania.
Mmojawapo yeye kazi yake ni feedback tu, huku payroll yafanya kazi yake.
Unafahamu aliye nyuma ya ACT wazalendo tangu kuanzishwa kwake?
Ukipata haya madini utashangaa sana kabla ya kushangazwa na Polepole.
Polepople kasema tusubiri CCM kushangaza umma wa watanzania.