MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Chama ambacho kinashika namba 2 kwa kupata ruzuku, kimeshindwa kupata ofisi yenye hadhi katika manispaa ya Temeke. Ofisi ya wilaya ni fedheha tupu ipo mkabala na Kisuma Bar Mwenbe Yanga hivyo inakuwa ni kero kwa wanachama kutembelea ofisi.
CHADEMA badilikeni!! Ruzuku mnapata, mnamalizia katika maandamano??
CHADEMA badilikeni!! Ruzuku mnapata, mnamalizia katika maandamano??