Nasikia harufu Kali ya gongo hapa nafikiri ni wewe!!!!!! Please nenda kaoge na kuswaki ndio urudi hapa jamvinUnajua CDM siku hizi inakwenda kichwa kichwa ,walizani watu wote ni mambutwai ,yaliyowakuta Kusini ni aibu tupu.
Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.
Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.
Tuwalambe tusiwalambeeeeeeeeeeeeee?,ukipanda mahindi yanaota na rangi ganiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii? kudadadadekiiiiiiiiiiiii,ccm hoyeeeeeeeeeeeeeee!!!!!Yani hata wakisemaje,haibadilishi ukweli kwamba ccm na jk ni dhaifu.wanafanya vitu kwa mazoea ndo maana tz ni maskini
Hawajakusikia omba dk 45 ITV na wassira mkawashawishi watu wenye maisha ya kuungaunga nahisi matokeo unayajua.Chadema wacheni kujiunganisha na migomo ya madaktari na walimu ,udhaifu wenu wa kukubalika mnawaharibia na kuwachafulia wengine.
Madaktari na walimu na taasisi zingine msikubali CDM iwemo katika kudai mambo yenu ,waogopeni na kuwatenga kama wenye marazi ya ukoma.
Chadema wacheni kujiunganisha na migomo ya madaktari na walimu ,udhaifu wenu wa kukubalika mnawaharibia na kuwachafulia wengine.
Madaktari na walimu na taasisi zingine msikubali CDM iwemo katika kudai mambo yenu ,waogopeni na kuwatenga kama wenye marazi ya ukoma.
Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.
Subiri 2015 utaona udhaifu wake, JK na Pinda watakapofika the Hague.
Day dreams ! CDM hawana mshiko ,wapo wapo tu !
Duh! Afadhali umetufumbua macho! Kumbe Mbowe was absolutely right kama mtu mwenyewe ndiye huyo hapo kwenye green. In short halikuwa gari bali NYUMBA YA MAPEPO. Wale jamaa wa kile kisiwa hawafai. Mbowe alifanya uungwana sana kwa kumlindia heshima kisiasa; sijui mnacholalamika ni nini.