Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
sasa hapa unamaanisha kwamba CHADEMA wapo sawa na migambo OK goodLilipita kundi la Chadema hapa nilifikiri mgambo wamekosea njia ,wakisema kuwa watu wameanza kuwashitukia ! Kwa kweli sikujua jambo gani kwani spidi yao ilikuwa kali.
Wezi lazima wawakimbie mgambo, ila raia wema hawana sababu ya kuwakimbia na badala yake wanajiunga na harakati chini ya;
- M4C
- VUA GAMBA VAA GWANDA
- VUA UKADA VAA UKAMANDA
- OPERATION SANGARA ili tukamate wezi wote