Hapo ndo ninapoona dalili zote za umwagaji damu mwaka huu. Kikwete amejitahidi kuwa mtu honesty katika mambo ya kujali haki na usawa wa watanzania. Ninawasiwasi kwamba atajiharibia record yake nzuri aliyoiweka katika muda wa miaka mitano kwa kuiacha nchi iingie vitani. Nina wasiwasi kwamba Kikwete atatengeneza historia mbaya kwa kuwa Rais pekee aliyeiingiza Tanzania katika machafuko. Naogopa kwamba Tanzania inaweza kujikuta inaingia katika kundi la nchi ambazo ni politically unstable na kuharibu sifa zote za kuwa kisiwa cha amani.
Kwa wale mlio karibu na Kikwete hebu jaribuni kumshauri ili awaachie watanzania waamue ni nani wa kuwaongoza, na aache kulazimisha mambo yasiyowezekana.
HAWATAWEZA KWANI NI ISHU KUBWA NAWASIWASI KUNA HATARI YA MTU KUACHA ROHO MAANA HATA HIZO CAMERA ZITAVUNJWA
cONQUEST-MWAKA HUU LAWAMA ZITAKUWA TELE ILA CCM DAIMA
Nimependa namna unavyowasilisha hoja. hizo bold zina maana kubwa ktk uelewa wanguHAWEZI MKUU MAISHA YAKE YATAKUWA HATARINI MAANA WANAHASIRA SANA CCM MWAKA HUU WANATUMIA MIJIHELA MINGI ILI KUFANIKISHA YAO SASA NANI ATAKUBALI ILE KWAKE.
cONQUEST-MWAMBIE WILLY GAMABA ATUONE SIE WAKEREKETWA TUMPE ISHU
Kwa sasa chadema wanatakiwa wachangamke wasikubali kuzubaishwa kwa majini ya sheikh yahaya nasikia katuma majini kwa kila kiongozi .Tafadhali litumieni kubwa kuliko majina yote kusamabaratisha ma-pepo mtashinda wote tunasali sana kwa jina mungu baba mueza yote ili tushinde