CHADEMA na tishio la Tendwa kukifuta Chama kisa Maandamano/M4C

Nadhani hamja muelewa the so called Tendwa.... as usual serikali yetu ni ya kufundisha uoga wananchi wake through people like Tendwa... Am sure kunawatu wame back off just after saying that.... mapinduzi hayaogopiiiii kumbukeni hivyooo.. thank you
 
....aache unafiki huyo! ukweli utabaki kuwa ukweli! the guy wants them to decorate the truth!
whenever there is light, darkness will automatically disappear!
 
siku zote huwa nasema Tendwa ni mwanachama mwaminifu wa ccm, japo anajifanya yuko balanced, ni kimeo kabisa huyu mzee. kwa hakika anastahili kutolewa pale, kawekwa kwa maslahi ya chama kuliko ya taifa. siku zote amekuwa msemaji wa ccm kama vile yeye ni Tambwe Hiza au makamba. sipendi kabisa mwenendo wa kazee haka hakatufai kabisa
mbona huo ni uwazi usiopingika kabisa,
Tendwa kachaguliwa na huyo rais sasa unatengemea atashindwa kumtetea??
ulitegemea kuwa Tendwa ni CDM?
Tafakari
 
kuna source mbadala?
hata kuwe na sorce kipindi hiki hatudanganyiki
Tendwa anayajua sana madudu aliyoyafanya na alijua kila kitu kimeshakwisha kumbe hajui bomu alilolitengeneza ndani ya ofisi yake sasa ni wakati wa kulipuka.
Atajuta kutuchakachulia, anadhania tulifurahia
Labda cha kumwambia ni kwamba akiondoka huyo rafiki yake basi na yeye ajiandae pa kwenda akatafute safe heaven ila sio Tanzania
 
Kwamba mwanaharakati wa LHRC alisema jambo na kukataa jina lake kutajwa? Naamini ni uongo mkubwa kuliko ule wa Pinda bungeni kuhusu issue za arusha. Sijamuona mwanaharaka wa LHRC muoga hivyo na aliyepwaya hivyo.
Ahsante kwa kulielewa hilo,
Hii habari itakuwa imepikwa tu baada ya kuona moto umeanza kuwaka
wanataka kuzima nguvu ya ummma?? hakika hawataweza
 
Huo ni uongo mtakatifu kabisa, hakuna mwanaharakati yeyote hapo
hiyo habari imepikwa ndani ya ofisi yao
na watakoma mwaka huu maana natumaini hawalali kwa pressure
Na hapo ni kama huyo Mwanaharakati ameisoma. Anaogopa nini kutajwa jina kama anaamini anachokisema?
 
Pole sana kwa kutokujua unaloliongea na unaloliandika,
Ila nakuombea tu kadiri siku zinavyokwenda utazinduka na kuwa mastari wa mbele katika ukombozi.
Mikwala ya DOG hiyo hivi kuna mtu anae iogopa Chadema?! Mbona Arusha mlitulia tu na hakuna mlichofanikiwa!
 
Nimeshangaa sana kauli hii kutoka kwa Tendwa kuchelewa namna hii, biliv me or not isingekuwa hii homa ya maandamano Egypt, Tunisia na sasa Libya ungewasikia woote akina Werema, Makamba, Tambwe singing the same tune!

These guys are just out of time, Out of touch na Hawarekebishiki wala kujirekebisha! wamegota hawajui kinachoendelea wala wanachofanya wao ni kumfurahisha JK tu!
they are all the part of that corrupted system, na kwasasa matumbo yanawawasha sana sijui hata kama wanapata usingizi
 
Kama Tendwa anaheshimu utawala wa sheria kwanini alimuongezea JK muda wa kampeni? Viongozi wetu ni wanafiki sana. Ikifikia kipindi maisha magumu kila kona watu hawataelewa utawala wa sheria.
 
Tendwa anakipi kikubwa zaidi ya alichoongea Mubarak au Gadaff!? lakini wako waapi! mwache aendelee kuchezesha nyusi zake tu kama mpuliza moto!
 
Soma source MKUU; Daily News, kumbuka iliandika nini wakati wa uchaguzi; hao hata huwa siwasomi jamani magazeti ya chama cha mapinduzi unategemea nini?
 
Nimepapenda hapo kwenye red, activist tena kutoka LHRC ataki atajwe jina???, ufanywe utafiti labda daily news wamekutana na mfagizi wa LHRC.

Hahahaaaa, Daily News wanataka kuwafurahisha watawala na hawawezi kuhoji comment za yeyote atakaye jitambulisha kama Mhadhiri Mwandamizi kutoka Havard cha msingi uongee point za ku-support serikali.

Hao ndio waandishi wetu mahiri!
 
Huo ni uongo mtakatifu kabisa, hakuna mwanaharakati yeyote hapo
hiyo habari imepikwa ndani ya ofisi yao
na watakoma mwaka huu maana natumaini hawalali kwa pressure

Very true Mallaba,

Toka lini mtu afanye uhaini halafu aandikwe gazetini tu badala kumkamata na kutia lupango tena bila dhamana!
Au wanajua any slight move itawasha moto nchi?
 
Kama Tendwa anaheshimu utawala wa sheria kwanini alimuongezea JK muda wa kampeni? Viongozi wetu ni wanafiki sana. Ikifikia kipindi maisha magumu kila kona watu hawataelewa utawala wa sheria.

Kwao utawala wa sheria ni pale inapowabana wapinzani lakini kama inahusu CCM sheria hukaa kimya.

CCM ndio chama pekee kinachotajwa kwa jina kwenye sheria ya Msajili wa vyama.

".......Chama Cha Mapinduzi also known by the acronym CCM, which was, immediately before this Act, the sole political party for the whole of the URT shall,on the coming into effect of this Act, and without further requirement, be deemed to have been fully registered as a political party and shall be issued with a certificate of registration in accordance with this Act." (7 sec. 2)
 
Back
Top Bottom