mwafrika daima
Member
- Aug 8, 2012
- 24
- 0
kufuatia kufukuzwa kwa kundi zima la mameya wa chadema ( mameya 6 yaani 100% ya mameya wao wote) kwa tuhuma za wizi, rushwa na ubaradhuli wao. vijana wa CCM waendelea kung'ara. huyu ni mmoja wa vijana ndg. John Deya (wa kwanza kulia) walioamua kujitosa kwenye uchaguzi wa makamu m/kiti UVCCM Taifa.
v
v