Umesema vema Le Mutuz amajiumbua huenda kweli wamehack a.c take kwani a navy ovum in vanisha havifanani kabisa.
very nonsensical comparison! Suala la Tulia ni suala la kisheria na kikatiba. Suala la Lowasa na Duni linawezaje kulinganishwa na hilo?
Taja ma Professor wa kwenu waliofika mbali!
- Eti gomu ni nini hasa kwa mfano? hahahahahaha
le Mutuz
ivi inakuwaje mpaka mtu anahack account ya mtu JF??
Le Mutuz inabidi haishtaki JF kwa hii kitu....anachafuliwa CV yake kabisa kwa posts ka hizi.....
Mimi ninachokijuwa kuhusu huyu zuzu ni classmate wa Mizengo Pinda.
- Kwa mfano hasa lusibde ni nini hasa mita 200 za kibanda cha kura or what?? hahahahahahahaha
le Mutuz
CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.
Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.
Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.
Wewe utaendelea kuishi kwa upambe hadi lini? cha msingi siyo Chadema bali wananchi wameupata ukweli na huyo Dr Tuli ameaibika kwa kushindwa kujibu swali moja tu ambalo limejirudia mara mbili, Silinde kammaliza kabisa Tuli wako, ni aibu kubwa kwa ccm.
Na ndio ujijuwe wewe ccm ni kidampa tu zama za familia ya Malecela zimekwisha ndio maana pamoja na kujipendekeza kwako kote hata Udc waliohongwa hadi machangudoa wewe umetoswa, na wenzako kina Tuli wanazidi kupewa ulaji wanatolewa huku wanawekwa huku, wewe utaishia kuwa mkurugenzi wa blog tu. Loser.
Mleta mada najua unajua cheo cha Dr tulia kilikuwa na muhimu gani katika taifa na katiba inasemaje kuwa mtumishi Wa umma autakiwi kujiushisha na siasa sasa huyu Dr aliyejiuzuru unaibu mwanasheria mkuu siku moja na kuchaguliwa kiti maalum na kugombea unaibu spika alijiusisha na ccm lini na kama alikuwa mwanachama kwa nini alikuwa anavunja katiba na yeye ni msomi Wa sheria aliyebobea
Du mutuz na pinda darasa moja. Mwaka 1962 walikuwa form 4 mitaa ya sumbawanga
Kumfananisha Lissu na Dr Tulia ni kutukana taaluma nzima ya sheria. Lissu ni kilaza tu ambae hata Masters hana...ana GPA ya 2.9....Dr Tulia amehitimu chuo na GPA ya 4.6. Hii ndio first class kama umewahi kusikia. Wakati Dr Tulia ni mbobezi wa mambo ya sheria kwa kuwa ana PhD. Huyo Lissu ana kadegree kamoja tu....alikuwa hapati dili za sheria ndio maana kakimbilia siasa huko UKAWA. Wakati Dr Tulia amepiga dili nyingi na kesi rukuki zikiwemo za serikali na ameshinda kesi nyingi sana. Ya mwisho ni ile aliyomgaragaza Kibatala kuhusu mita 200.
Watanzania sijui nani katuloga basi baada ya kumuona mtu kakariri mnamuona wa maana..kakariri hakuna haja kama kuna vyombo kama computer. ..huwez fananisha uwezo wa yule mama wa cuf na Dr tulia
Nyie ndo wale mtu akiongea kingereza mnamuona eti kasomaaaa. ..kukariri vifungu adi watoto wadogo wanafanya
Kwani hakukuwa na mwanamke yeyote wa kushika nafasi ya msaidizi wa spika mpaka awe Tulia ambaye ni miezi miwili tu alikuwa ameteuliwa kwenye nafasi Kubwa pia ya AAG?Na hii nafasi ya AAG inahitaji mwanasheria mbobezi Kama yeye.Mbona Kama wanawake wana Sheria mahili hata kuzidi Tulia ni wengi tu Kama ilikuwa lazima msaidizi awe mwanamke Mwana Sheria mbobezi?Na tangu lini uananaheria ukawa Sifa Kubwa ya uspika hapa TZ wakati mwaka Jana tu Mama makinda alikuwa muhasibu na Job msaidizi hakuwaha Mwana Sheria?Hapa TZ mtu akitaka kubebwa inatengenezwa Sifa aliyo nayo mtu Kisha wanadai ndo kigezo.Awamu iliyopita Sita alikuwa mwanasheria lakini hakikuwa kigezo akachaguliwa Makinda na Sifa wakati huo ilikuwa Kuwa mwanamke.Only in TZ.
Le Mutuz, jamaa wanaisoma namba kisawasawa ati!
Sarakasi wanayochezewa na mzee wa Push Up. hadi wanaona nyota!
Mbaya Zaidi nyani haoni kundule...analicheka la mweziwe!!