CHADEMA leaders you have let us down in grooming EALA Candidates, a lot of credit to NCCR MAGEUZI

Katika hili Lazima ukae ana pointi. CHADEMA tusiwaone viongozi wetu kama miungu. Mbowe hapa amechemka. Msaidieni Mbowe kujenga chama na si kumsifia hata katika ujinga.
 
Uchaguzi wa EALA umekwisha,ninaomba kusema hili kama maoni yangu kama mwananchi wa kawaida(common mwananchi).lakini pia kama mwana Chadema halisi.mbali ya kuwa pia mwana JF

Kikubwa hapa ni kwamba CDM ni chama ambacho wananchi wengi nikiwemo mimi, tumetokea kuwa na imani nacho kwa hali ya juu sana.hili halikutokea kama ajali la hasha!,ni kutokana na imani tuliyonayo kwa chama kulingana na ujengaji hoja wa wapiganaji wake katika ulingo wa siasa za nchi hii,na kutupa imani wananchi kwamba ni chama cha ukombozi wa wananchi dhidi ya dhuluma na ufisadi wa CCM.

Hii imetokana pia na uteuzi wake makini wagombea ambao ni wasomi,shupavu na wenye kujua kiundani matatizo ya mwananchi wa Tanzania.na hilo halina ubishi kwani muda si mrefu kama si hizi kasoro ambazo zinaelekea kujitokeza basi CCM wajiandae kuwa wapinzani hivi karibuni na dalili ziko wazi. Hata ndani ya bunge dalili ziko wazi kwamba wabunge wa ccm hawafikirii zaidi hoja makini za maendeleo bali wanakaa stand by kusubiri nini chadema wataibua leo ili waanze utetezi na hila ili kufunika..

Nimesikitika na jinsi uteuzi wa wana CDM walivyopitia mchujo wao na hadi kutuletea Bw komu,ilhali nina imani CDM kuna vichwa makini na product za kweli ambao miongoni mwao angepatikana chaguo halali na la kweli ili kutupa karata yake kugombea EALA leo ndani ya bunge,Hapo awali niliona thred ya malalamiko ya uteuzi humu JF lakini niliipuuzia.

Nilichokishuhudia leo kupitia luninga live bungeni nadririki kusema ilikuwa ni fedheha kwani maelezo na muonekano wa Bw Komu hakika haikustahili kuwa product ya CDM ndani ya kusaka Uwakilishi EALA,hakika tulifunikwa na NCCR mageuzi kwa asilimia kubwa sana na haikuwa ajabu yule mama mhadhiri wa hesabu udsm kushinda.binafsi nilikuona mheshimiwa mbowe ulinyong'onyea wakati Bw komu akijieleza na kubabaika kujibu maswali huku akisema "ze east africa"na "zis house".

USHAURI WANGU.nawaomba enyi viongozi wetu wa juu muelewe kwamba sasa chama ni cha kitaifa zaidi na si cha kitabaka fulani.tunaomba maamuzi yote yanayohusu mustakabali wa chama na nchi muwaachi walio wengi watowe maamuzi yaliyo halali na ya kidemokrasia ya wengi wape,mkiendeleza tabia hii ya kwamba kuna maamuzi ya watu fulani hayapingwi mtatufanya tukose imani na hii taasisi yetu muhimu ya ukombozi.

Chama ambacho kinajiandaa kuchukuwa dola kilipaswa kuwa makini na uteuzi wea mtu anayekwenda kutuwakilisha nje kama balozi wetu na taswira ya CDM nje ya nchi na nina imani walikuwa wengi waliojitokeza sijui ni nini kilichotokea,lakini majibu tumeyaona.ni vema kama inatokea hatuna product nzuri ya kutosheleza mahitaji iliyojitokeza basi tukubali kumuunga mkono mgombera mwingine toka upinzani ambaye tutaridhika na product yake.Na hii itatupatia heshima kama chama cha demokrasia na maendeleo na pia itatujengea mahusiano na wenzetu wa upinzani hata mbele ya safari katika chaguzi mbalimbali.kuliko kuffanya haya yaliyotokea.

MUNGU IBARIKI AFRIKA NA TANZANIA YETU,TUEPUSHE CDM NA FITNA NA WABAYA WETU,AMEN.!
 
Na komu kama ni mwana JF,
Apewe ban ya milele ikiwezekana na mac adress yake ifungiwe kabisa!
Ban ya nn faza kwenye ukweli tuseme mama hana uwezo yule kama sioi vile......lazima tuoji ni kwnn apelekwe yy peke yake while kuna watu walionyesha nia....
 
kama kweli lengo ni ukaskazini its a big mistake,japokuwa ukweli utabaki kuwa ndiyo huo.CCM wana chuki na CDM ukizingatia wao ndiyo wengi,na hata hizo nafasi mbili ni shinikizo la CDM ulitegemea nini.Adui siku zote muombe njaa.
 
Mkuu Ben mimi naukibali kabisa ushindi wa CDM kwenye kupata viti zaidi kwa wapinzani. Lakini naona waliangalia upande mmoja tu wa kupata viti viwili kwa wapinzani ila wao kama chama kikuu cha upinzani kikashindwa kuwa na strategy ya kuchukua japo kiti kimoja. NCCR wakawa wajanja. Imeonekana suala la kugawa kura kwa kusimamisha wagombea wengi si issue ingekuwa issue NCCR wangekuwa waathirika wakuu lakini wamekuwa washindi. Wao waliona opportunity wakaamua kupeleka wengi, Polisya amekosa Kessy amepata. Mle ndani ilifika wakati watu wanaona nani amekong nyoyo zao; Polisya na wenzake hawakukonga Kessy akakonga akapata. Vivyo hivyo CDM wangeweza kupeleka Wawili Komu akashindwa kukonga kichwa kingine kingekonga huends kingepata. Tumeona Makongoro, Kizigha na Mwinyi wakichaguliwa kwa sababu wamejieleza vizuri na kujua wanatakiwa kwenda kufanya nini.

Sasa mtu umeshindwa kujieleza tufanyeje sasa. Huko ndio kutetea lisiloweza kutetewa! Hata Le Bahari mimi nilikuwa namuunga mkono lakini kwenye kujieleza alikuwa nyuma ya matarajio yangu.
Well said mkuu. Chadema wajifunze kusimamisha watu competent. Na analosema Tuntemeke pamoja na Lazima ukae yana uhalisia mkubwa sana. Kuna foul zilichezwa katika kupitisha jina la Komu, sina uhakika kabisa kama wanachadema wote walikubaliana kwamba Komu ndiye mwakilishi mzuri ilihali wanajua kabisa hana hata uwezo wa kujieleza.
 
Chama langu CDM nakulilia wewe sasa kama niliyosikia juu ya mapokezi ya Millya eti kuandaliwa kifalme basi sina chama inabidi nianze kutafuta chama maana sasa tutakuwa wote hatuna maana..... yaani katika watu wote wa kupokelewa kifalme na milya yumo??????????!!!!!!??????!!!! Mbowe unatupeleka wapi???? Hivi ni kwasababu ya zile pesa alizokupa fisadi EL wakati wa birthday ayko au???? Mbowe hapana unatuchanganya sasa... mazungumzo yako na Milya yote yako barabarani juu ya ujio wa fisadi mzoefu EL ndani ya chama chetu nawe unachekelea, sasa wamwandalia mapokezi ya kifalme mpambe wake, mbowe kwa hili nasema pig NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Mkuu unapoteza mda wako bure kwa chuki za ajabu,hivi we ulitaka nani angeshinda na nani angeshindwa?kwenye mashindano yote lazima kuna mshindi na anayeshindwa.Jipange mkuu acha unafki
 
Kukosa elimu ya kuweza kupambanua mambo kwa usahihi na wakati muafaka ni ugonjwa mbaya sana.Naona baazi ya magreat thinkerz wanajadili hoja bila kuwa na uelewa wa mambo.Je Komu angeshinda mngeleta haya mnayotaka kuwaaminisha watu? Je CDM ilipopeleka jina la Prof. Baregu kipindi cha awali na kushindwa mbona hilo haliongelewi ?

Uvivu wa kufikiri huambatana na hisia hasi zenye ushabiki zaidi ya ukweli.Kujadili hoja kwa misingi ya ukaskazini ni ulemavu wa kimawazo.Je CDM wangepeleka jina la Mwita wa kanda ya Ziwa na akashindwa kujieleza! Bila shaka mngekuja na hoja ya Ukristo.

Hata hao wa magamba baadhi yao wameshindwa kujieleza hapo na wakashindwa ila ndio walikuwa na CV nzuri za kwenda kushindana kwa hoja na waganda / wakenya.Hoja zilizoko kwenye jumuiya ya Afrika mashariki nyingi zinahitaji kuchambuliwa kisomi na kufanyiwa tathmini yakinifu sio kupeleka watu wenye maneno mengi ya kisasa yasio na tija.
 
Naona wimbi kubwa la wachangiaji wakihubiri ukanda na ukabila siku hizi humu. Kuanzia mleta thread mpaka wachangiaji walio weng hoja kwa cdm na komu ni ukanda. Ila yule madam Kessy ni uwezo. Ktk hali siasa iliyopo unategemea magamba yaipigie cdm? Labda uwe hutoki tz na siasa za nchi hii zimekupita kando.
 
Mimi ni mwana CDM ila nimefurahi sana ANTHONY KOMU kushindwa.... nakula whisky tartiiiibu nikijipongeza kwa hili.:heh:
 
Nafikiri hapa kuna kitu kilipikwa mapema. Chadema kwa kuelewa kuwa CCM hawatakubali mgombea wao kupita kwa vyovyote vile hata kama akiwa Malaika, waliamua kuwafunga goli la tobo CCM.

Unakumbuka mkutano wa siri wa Chadema na NCCR kuhusu jimbo la Kawe na hasa kesi ya Mbatia Vs Halima Mdee? Ukiangalia lugha za Halima Mdee, alikuwa kwenye position nzuri sana ya kushindwa kama unaweza kusema hivyo.
Sintashangaa kuwa deal ilikuwa kwamba, Mbatia na chama chake wafute kesi na Chadema wampe kura zao mgombea wa NCCR. Ili kuvunga, Chadema wameleta mgombea ambaye walijua hatakuwa na mvuto kabisa ili isije ikaonekana kuna kitu kilipikwa mapema kwa wapinzani.

Ndiyo maana hata kukawa na makubaliano ya ushirikiano kati ya Chadema na NCCR. CCM walivyo wabovu na wazembe hawakuliona hilo na wakakaa na hasira ya kumkomoa Komu na kumpa Mama Prof. na hapo malengo ya upinzani yakawa yametimia. Yaani CHADEMA na NCCR hapa wamecheza sana kwa sababu mwisho wa siku, Halima Mdee ni Mbunge na Mama Prof. ni Mbunge wa EALA. HONGERA SANA CHADEMA na NCCR kwa hilo goli la kisigino kwa CCM.
 
Nafikiri hapa kuna kitu kilipikwa mapema. Chadema kwa kuelewa kuwa CCM hawatakubali mgombea wao kupita kwa vyovyote vile hata kama akiwa Malaika, waliamua kuwafunga goli la tobo CCM.

Unakumbuka mkutano wa siri wa Chadema na NCCR kuhusu jimbo la Kawe na hasa kesi ya Mbatia Vs Halima Mdee? Ukiangalia lugha za Halima Mdee, alikuwa kwenye position nzuri sana ya kushindwa kama unaweza kusema hivyo.
Sintashangaa kuwa deal ilikuwa kwamba, Mbatia na chama chake wafute kesi na Chadema wampe kura zao mgombea wa NCCR. Ili kuvunga, Chadema wameleta mgombea ambaye walijua hatakuwa na mvuto kabisa ili isije ikaonekana kuna kitu kilipikwa mapema kwa wapinzani.

Ndiyo maana hata kukawa na makubaliano ya ushirikiano kati ya Chadema na NCCR. CCM walivyo wabovu na wazembe hawakuliona hilo na wakakaa na hasira ya kumkomoa Komu na kumpa Mama Prof. na hapo malengo ya upinzani yakawa yametimia. Yaani CHADEMA na NCCR hapa wamecheza sana kwa sababu mwisho wa siku, Halima Mdee ni Mbunge na Mama Prof. ni Mbunge wa EALA. HONGERA SANA CHADEMA na NCCR kwa hilo goli la kisigino kwa CCM.
Tehe tee tee!
Sasa kwanini walitaka kujitoa?
 
Naona wimbi kubwa la wachangiaji wakihubiri ukanda na ukabila siku hizi humu. Kuanzia mleta thread mpaka wachangiaji walio weng hoja kwa cdm na komu ni ukanda. Ila yule madam Kessy ni uwezo. Ktk hali siasa iliyopo unategemea magamba yaipigie cdm? Labda uwe hutoki tz na siasa za nchi hii zimekupita kando.
Kura 97?... lazima kuna za CCM hapo!
Almost 50, more than what Willy got!..... jipange upya!
 
Naona wimbi kubwa la wachangiaji wakihubiri ukanda na ukabila siku hizi humu. Kuanzia mleta thread mpaka wachangiaji walio weng hoja kwa cdm na komu ni ukanda. Ila yule madam Kessy ni uwezo. Ktk hali siasa iliyopo unategemea magamba yaipigie cdm? Labda uwe hutoki tz na siasa za nchi hii zimekupita kando.

Rumanyika naomba unitake radhi kamanda, unaelewa kingereza au huelewi ni kupe tafasiri ya kiswahili? rejea maada yangu hapo juu then niambie wapi nimeongelea swala la ukanda? pls soma kwa makini kama huelewi uliza
 
Kukosa elimu ya kuweza kupambanua mambo kwa usahihi na wakati muafaka ni ugonjwa mbaya sana.Naona baazi ya magreat thinkerz wanajadili hoja bila kuwa na uelewa wa mambo.Je Komu angeshinda mngeleta haya mnayotaka kuwaaminisha watu? Je CDM ilipopeleka jina la Prof. Baregu kipindi cha awali na kushindwa mbona hilo haliongelewi ?

Uvivu wa kufikiri huambatana na hisia hasi zenye ushabiki zaidi ya ukweli.Kujadili hoja kwa misingi ya ukaskazini ni ulemavu wa kimawazo.Je CDM wangepeleka jina la Mwita wa kanda ya Ziwa na akashindwa kujieleza! Bila shaka mngekuja na hoja ya Ukristo.

Hata hao wa magamba baadhi yao wameshindwa kujieleza hapo na wakashindwa ila ndio walikuwa na CV nzuri za kwenda kushindana kwa hoja na waganda / wakenya.Hoja zilizoko kwenye jumuiya ya Afrika mashariki nyingi zinahitaji kuchambuliwa kisomi na kufanyiwa tathmini yakinifu sio kupeleka watu wenye maneno mengi ya kisasa yasio na tija.

Unaweza kunua kitabu lakini huwezi nunua elimu,
*Unaweza nunua nyumba lakini huwezi nunua familia,
*Unaweza nunua mwanamke lakini huwezi nunua penzi lake, ,
*Unaweza nunua cheo lakini huwezi nunua heshima,
*Unaweza nunua godoro lakini huwezi nunua usingizi,
Umeomba kazi ukapata kazi,usione kazi kufanya kazi, ukiona kazi kufanya kazi basi acha kazi uone kazi!%?
 
Naona wimbi kubwa la wachangiaji wakihubiri ukanda na ukabila siku hizi humu. Kuanzia mleta thread mpaka wachangiaji walio weng hoja kwa cdm na komu ni ukanda. Ila yule madam Kessy ni uwezo. Ktk hali siasa iliyopo unategemea magamba yaipigie cdm? Labda uwe hutoki tz na siasa za nchi hii zimekupita kando.

You must be too funny,because even with serious issues you still believes in "chagarismotic"and you call youself rumanyika???
 
Back
Top Bottom