CHADEMA leaders you have let us down in grooming EALA Candidates, a lot of credit to NCCR MAGEUZI

Kama mnaamini wengi kuwa Mama Prof. ni mzuri na Taifa kwanza ndiyo Slogan ya CHADEMA, sasa mnalia nini?

Au na nyie mnaojifanya mna uchungu sana na Chadema mmeanza kuuguwa ugonjwa wa CCM wa kila kitu sisi?

Kwa kuijua CCM, hata mie ningelikuwa na uwezo kiasi gani, nisingeligombea kwa kupitia CDM.

Ila ukiangalia matokeo, yameleta mwanga kuwa CCM nao wameanza kubadilika na wanaweza kuwapa kura wagombea wa Chadema. Itabidi chaguzi zozote zijazo, lazima awepo mgombea wa kuaminika.

Kama Chadema wameweza kulazimisha na kuwa nafasi mbili za wapinzani, nafikiri ni hatua moja nzuri sana kwenye demokrasia ya kweli kwa taifa letu. Hatua inayofuata ni kulazimisha sasa, bunge lijalo, lazima Naibu Spika watoke kwenye vyama vya Upinzania kulingana na idadi ya wabunge wake.
Kuna nchi ambazo hii system inatumika na kwangu mie ni njia nzuri sana kuwalazimisha chama tawala kugawana madaraka na wapinzani. Kwa hali ilivyo sasa hivi hapa Tanzania, Naibu spika alitakiwa kuwa wa CHADEMA na CUF.

Acha mama atuwakilishe Watanzania na siyo NCCR au Chadema pekee kama wengine wanaojifanya wamekunywa maji ya bendera ya CDM wanavyotaka tuamini ingawa wengi tunawafahamu kuwa ni waongo wa kutupwa.

Ni bunge la EALA na wengi tunaamini mama Prof. atakuwa muwakilishi mzuri. Tuache vyama pembeni sasa na tugange yajayo. Nina imani kuwa baada ya mwaka 2015, CHADEMA watakuwa kwenye position ya kupeleka nusu ya wabunge wa EALA ingawa pia utaratibu utabadilika kwani watakuwa wanapigiwa kura.
 
"mti unaokulia kwenye upepo mwingi ndio huwa mti imara zaidi" napenda tunapokikosoa cdm kinapofanya makosa isipokuwa tu sehemu moja!!! kila wakati kuna upunguani au tuseme akili kuingia vumbi na kusema " uchaga kwenye cdm!!!" huwa inasababishwa na nini? naomba wanamapinduzi wa JF mnijibu kwa kunipa mtir TAHADHARI

Ukiingia chumbani na mpenzi usisahau kuvaa HELMENT usije ukagonga kichwa chini na kupoteza maisha kama the GREAT KANUMBA!

BORA KINGA KULIKO TIBA iriko wa uongozi wa cdm toka mwenyekiti hadi angalau wajumbe japo wasiwe wote! then mniambie wachaga hapo ni wangapi? Mbowe,slaa,zito,lisu, nk wote ni wachaga?
 
jamani nimeingiliwa point zangu ni kama zimechakachuliwa haswa baada ya ku submit nashangaa kuona kitu kingine habari zomejichanganya na za kanumba! sijaelewa kabsaa...
 
Komu was a wrong choice,but hata cdm wangemsimamisha nani, cdm isingeweza kupitishwa mjengoni ukizingatia cdm kwa ccm ni sawa na adui na adui siku zote mwombee njaa.

Mkuu unataka kusema kwamba wabunge wooooote wa CCM wanaichukia CDM? Komu alipataje kura zile 93?
 
kwa hiyo mtu akijieleza vizuri wenzetu mko tayari kumpigia kura kwa sababu kujieleza vizuri = competence?

Mwanakijiji, you should know better mzee, mwanasiasa au mwakilishi yeyote wa wananchi lazima awe na uwezo wa kujenga hoja na kuitetea hoja yake, anavyojileza style na substance lazima vizingatiwe katika siasa za kisasa.

Hata mvuto wa mtu binafsi pia unasaidia kuchaguliwa na vigezo vingine kuzingatiwa pia.

Obama was elected kwa sabababu ana uwezo mkubwa wa kuwa inspire wamarekani na he looks presidentials na watu wengine walimpigia kura kwa sababu tu ni handsome! hivyo kuna vitu vingine ni obvious kaka!
 
Mbona Komu amepata kura 90+ na chadema ina wabunge 49 tu? hao wengine waliompigia kura ni kura za maruhani au? hebu tu si justify upumbavu wetu kwa makosa yetu wenyewe tungeweka mgombea bora zaidi ya komu kulikuwa na kila sababu ya kushinda, huwezi kumlinganisha Komu na Mama Kessy au Twaha Taslima? tuwe wazalendo jamani!

CCM WAMCHAGUE CANDIDATE WA CHADEMA! THINK TWICE! OTHERWISE YOU ARE SERIOUSLY LACKING POLITICAL INTELLIGENCE OF CCMvsCHADEMA POLITICS! HATA KWANGEMLETA PRO. SAFARI HAPO ASINGESHINDA. KILA MTU ALIJUA CHADEMA ASINGESHINDA! NA HII NI DHAMBI KUBWA KWA HAMADI RASHID NA MSHIRIKA WAKE KAFULILA WALIVYOCHAKACHUKUA KANUNI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI.
 
Tuache ku-komaa na Komu sasa.Tuangalie Chadema imefanikisha nini.Kama chadema isingepigania mabadiliko ya kanuni basi huyo wa CUF angepita na Madame Kessy(nina uhakika the lady is competent) asingepata fursa kutoka upinzani.Kuna mahali nimetoa comment hii kuhusu hili.Hebu tuangalie hili suala kwenye broad perspective.Kama hawakujitokeza wengi wenye uwezo kuliko yeye kwenye mchujo chadema ingefanyaje?

Hapa ni kwamba:

Chadema imepata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi huu kuliko chama chochote...kupigania nafasi ziongezwe tu ni ushindi mkubwa.Imebidi nilete tena post yangu ya awali unielewe sasa.Tena nilileta hii post kabla hata uchaguzi haujafanyika

Hili suala kama nilivyosema tangu awali tulihitaji kuchukua msimamo mkali juu ya hili.Tulitaka hata member states wa jumuiya ya EAC wajue kwamba Tanzania inayoongozwa na CCM haijawa fully commited katika jumuiya ambayo pre-conditions ni democracy,freedom.liberty and equity.Tulitaka jumuiya ya Afrika mashariki itambue kuna watu wanabaka demokrasia kwa maslahi yao.Tulitaka wajue kwamba muda wote Tanzania imekuwa ikipeleka wawakilishi bila kuzingatia matakwa ya kisheria,mahitaji ya jumuiya,watu wasioitakia mema Tanzania na jumuiya.Ni zao la uhuni na ghiliba.Kinachatikiwa ni decency na maslahi ya Taifa Mbele na maslahi ya jumuiya kwa mapana.

It is not just about winning an election: it is about restoring a sense of decency to our society and Region at large. It is about taking pride in, and respecting,ourselves as human beings and consciously internationalizing democratic values. Unless we do this, development and true freedom will forever elude us and talents will never flower in the land.

But if the answer is democracy, what exactly is the question? The question is: Why are we still not properly practicing it? And that is where CHADEMA comes in—to provide the missing link

kama ingeshindikana basi ingekuwa necessary kujitoa katika mchakato huu halafu tufungue kesi mahakamani.Kufungua kesi mahakamani ni kuwatendea haki watanzania kwani imani itakuwa imebaki katika taasisi za kidemokrasia ambayo Mahakama ni mojawapo
Mimi naona ni aibu chama cha upinzani kinachoenda kuwakilisha upinzani kwenye jumuia ni chama chenye wabunge wanne, au chenye wabunge wawili tanzania bara, hii ni aibu ya kidemocrasia, it doesnt make sense at all! Huu uhuni lazima ukomeshwe!
 
Wewe Mzee hivi unatumia kilevi gani? kama Komu hakuweza kunishawishi mimi ambaye ni Chadema damu, ingekuwaje haweze kumshawishi Mbunge wa CCM?

huwezi kujibu hoja hadi uite watu majina? sasa kama hakuweza kukushawishi wewe labda hushawishiki... au umeshindwa kabisa kuelewa ninachouliza mimi nini. Hivi mtu kukuweza kukushawishi manake ni ana uwezo zaidi? najaribu watu waangalie tu kama wanachosema kiko sahihi - kuzungumza sahihi, kushawishi watu SIYO SAWA na kuwa na uwezo!!
 
I have been watching the election for East African Legislative Assembly today, but it seems CHADEMA was caught unaware, they did not groom very competent candidate to represent the party,Anthony Komu tried his best but according to my opinion NCCR Mageuzi has the best Candidate to represent us in EALA for opposition side.

I always put my country first , Therefore let us take this as a challenge to all members of CHADEMA and our leaders should learn from this mistake.

Why CHADEMA leaders did not motivate and give more information to the general public so that a lot of competent members may have represented THE party, It was really a shame to the party and we deserve answers from party top brass why they did not motivate and groom competent members?

All in all a lot of credit to NCCR-MAGEUZI, I am impressed with their candidate and i hope Madam PERPETUA NDERAKINDO KESSY and Polisya Mwaiseje will be elected.

May God Bless our Country

Hili la CHADEMA kupeleka jina moja tu,nimeshindwa kulielewa imekuwa ngumu sana kuingia akilini mwangu,na pia nadhani siko pekeyangu. Ina maana CHADEMA hawakujua utaratibu wa kuwapata wabunge wa EALA? Ina maana taratibu za upatikanaji wabunge hawa zimekiukwa na bunge letu? Kama ndivyo nini maana yake kwa upotoshaji huo na kwanini pingamizi lisipelekwe mahakama ya Afrika Mashariki? Kama taratibu hazijakiukwa,ndani ya CHADEMA nani waliohusika na hujuma hii na kwa nini CHADEMA kama chama makini kisitoe tamko na kuwachukulia hatua za kinidhamu? Kimsingi naingiwa na hofu kuhusu umakini wa chama changu CHADEMA katika mambo ya uteuzi,kuna harufu mbaya tena mbaya sana hapo. Some people need to be accountable in this vinginevyo mtazidisha hofu kuwa mna yenu na mnataka tu kuwatumia wananchi wa Tanzania kufanikisha azma zenu mbaya. I am terrified!
 
Kati ya waliyojitokeza kugombea kwa CDM,Komu alionekana anafaa na wajumbe wakamchagua, hii ni haki ya kila mwanachama. Hivyo kama kuna aliyejitokeza na anasifa zaidi ya Komu ana haki ya kulalamika.
Kwa ukweli Komu alishindwa kuwashawishi wapigakura kulinganishwa na yule Mama Prof. lakini ndiye wa CDM na ana haki ya kusimama. Hivyo tuache hayo yamepita tujiandae na kinyang'anyiro kingine kwa kujitokeza na si kusubiri kulaumu. Hii ni sawa na chaguzi nyingi watu hawajitokezi kupiga kura lakini wanabaki kulalamika. Tuwe watanzania kweli kwa kutimiza wajibu wetu.
 
Kimbunga,

My concept is,

kama angeshinda Komu wa Chadema uwezo wake usingeonekana bali ukaskazini wake..................Equation number 1 (i)

Ameshinda Kessy wa NCCR-Mageuzi ukaonekana uwezo wake na siyo ukaskazini wake ................ Equation number 2 (ii)

Kokotoa hapo upate jibu kaka!

Nimekokotoa mara mbili mbili................lakini jibu ni moja tu....(MAGAMBA!)
 
I have been watching the election for East African Legislative Assembly today, but it seems CHADEMA was caught unaware, they did not groom very competent candidate to represent the party,Anthony Komu tried his best but according to my opinion NCCR Mageuzi has the best Candidate to represent us in EALA for opposition side.

I always put my country first , Therefore let us take this as a challenge to all members of CHADEMA and our leaders should learn from this mistake.

Why CHADEMA leaders did not motivate and give more information to the general public so that a lot of competent members may have represented THE party, It was really a shame to the party and we deserve answers from party top brass why they did not motivate and groom competent members?

All in all a lot of credit to NCCR-MAGEUZI, I am impressed with their candidate and i hope Madam PERPETUA NDERAKINDO KESSY and Polisya Mwaiseje will be elected.

May God Bless our Country

Hili la CHADEMA kupeleka jina moja tu,nimeshindwa kulielewa imekuwa ngumu sana kuingia akilini mwangu,na pia nadhani siko pekeyangu. Ina maana CHADEMA hawakujua utaratibu wa kuwapata wabunge wa EALA? Ina maana taratibu za upatikanaji wabunge hawa zimekiukwa na bunge letu? Kama ndivyo nini maana yake kwa upotoshaji huo na kwanini pingamizi lisipelekwe mahakama ya Afrika Mashariki? Kama taratibu hazijakiukwa,ndani ya CHADEMA nani waliohusika na hujuma hii na kwa nini CHADEMA kama chama makini kisitoe tamko na kuwachukulia hatua za kinidhamu? Kimsingi naingiwa na hofu kuhusu umakini wa chama changu CHADEMA katika mambo ya uteuzi,kuna harufu mbaya tena mbaya sana hapo. Some people need to be accountable in this vinginevyo mtazidisha hofu kuwa mna yenu na mnataka tu kuwatumia wananchi wa Tanzania kufanikisha azma zenu mbaya. I am terrified!
 
its true my people, Madam Nderiko is good, For my side i would vote for Madam and Komu, but chadema we need to change.

Tunapofanya upembuzi kwa ushabiki kuna hatari ya kufikia maamuzi/hitimisho zisizo sahihi. Huyu mama aliulizwa swali moja la msingi sana..."Ukiwa na PHD ya Hesabu, na kwa kutambua kuwa hesabu ni ugonjwa wa taifa, ya nini uamue kugombea ubunge na si kutumia elimu yako kutibu ugonjwa huu wa taifa? She ended up talking about being the daughter of mkulima and how her mom raised them in difficulties which forced them to have reverence to the LORD"....wataalamu wetu wanatumikaje kwa maslahi ya taifa? Is this not akin to BRAIN DRAIN?
 
..mimi naona bora tu walivyopeleka huyo mmoja kuliko wangepeleka wengi halafu wakaishia kuhujumiana wenyewe kwa wenyewe.

..kupeleka mgombea mmoja maana yake unakuwa na uhakika kwamba atapewa kura zote za wabunge wa CDM, na kazi inakuwa moja tu kutafuta kura toka vyama vingine.

..kama kuna kitu CDM wanapaswa kujifunza basi ni kuwa na nidhani wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.

..tabia za wanachama wa CDM kuja kutukanana hapa JF mara baada ya kila mchakato wa uchaguzi ni "kidonda" linalopaswa kushughulikiwa kabla ya kuwa "donda ndugu."
 
huwezi kujibu hoja hadi uite watu majina? sasa kama hakuweza kukushawishi wewe labda hushawishiki... au umeshindwa kabisa kuelewa ninachouliza mimi nini. Hivi mtu kukuweza kukushawishi manake ni ana uwezo zaidi? najaribu watu waangalie tu kama wanachosema kiko sahihi - kuzungumza sahihi, kushawishi watu SIYO SAWA na kuwa na uwezo!!

Mkuu kushawishi kunatokana na kujenga hoja. Hoja inajengwa kwa uelewa wa mambo na uwezo wa kuyaeleza hayo mambo kwa ufasaha/usahihi na mpangilio. Pia kujibu maswali vyema ni sehemu ya ushawishi. Kwenye interview ya kuomba kazi huwa wanatumia mambo hayo kupima uwezo wa mtu. Kisha mtu hupewa kazi na kuendelea kupimwa. Ni vigumu kumpa kazi mtu ambaye alishindwa kukushawishi kwenye interview kwa mategemeo kwamba akipewa kazi atakuwa na uwezo wa kuifanya. Kwa kuwa watu walijeleza ili kupima uwezo wao wa ushawishi huko waendako basi kujieleza vizuri na kwa mpangilio na kuonyesha kujua mambo ilikuwa ushawishi tosha.

Watu wengi wameshangilia watu ambao wana unguli wa kuijua lugha ya malkia. Hili la kujua lugha ni moja lakini kuitumia hiyo lugha kuelezea mambo ni jambo la pili. Hivyo lugha hapa ilikuwa muhimu kwani bila kujua lugha utaelezea ulichonacho moyoni? Usipojua lugha vizuri unakosa confidence. Huko waendako wanatakiwa wawe na ushawishi wa kujenga hoja na hoja zenyewe zinajengwa kwa lugha ya malikia si lugha ya Nyerere.
 
Kati ya waliyojitokeza kugombea kwa CDM,Komu alionekana anafaa na wajumbe wakamchagua, hii ni haki ya kila mwanachama. Hivyo kama kuna aliyejitokeza na anasifa zaidi ya Komu ana haki ya kulalamika.
Kwa ukweli Komu alishindwa kuwashawishi wapigakura kulinganishwa na yule Mama Prof. lakini ndiye wa CDM na ana haki ya kusimama. Hivyo tuache hayo yamepita tujiandae na kinyang'anyiro kingine kwa kujitokeza na si kusubiri kulaumu. Hii ni sawa na chaguzi nyingi watu hawajitokezi kupiga kura lakini wanabaki kulalamika. Tuwe watanzania kweli kwa kutimiza wajibu wetu.
Kwanini hawakupeleka mgombea upande wa wanawake?
Au upande wa Zanzibar?
 
Hivi uzuri wa mtu ni kuongea au utendaji wake wa kazi? Je ni nani aliyetuloga na kufikiri kwamba bila kiingereza nchi hii haiwezi kuendelea? Waulizeni wachina kama wanaweza kufanya upumbavu unaofanyika leo pale. Je wachina wanaweza kuanza kuhojiana kwa Kiswahili kwenye bunge lao? Je Wafaransa wanaweza kufanya yale yanayofanywa na bunge la Tanzania? Na Waingereza wenyewe wanaweza kufanya hivyo? Kimsingi ni mpumbavu tu ndiye anayeweza kumuhoji mtu kwa lugha asiyoijua. Huu ndiyo hasa ukoloni!
Lugha rasmi katika bunge hilo ni kiingereza. sasa kama unamchagua mwakilisha asiye jua lugha inayotumika atawasilishaje hoja na kuitetea mbele ya wenzake.
 
CCM WAMCHAGUE CANDIDATE WA CHADEMA! THINK TWICE! OTHERWISE YOU ARE SERIOUSLY LACKING POLITICAL INTELLIGENCE OF CCMvsCHADEMA POLITICS! HATA KWANGEMLETA PRO. SAFARI HAPO ASINGESHINDA. KILA MTU ALIJUA CHADEMA ASINGESHINDA! NA HII NI DHAMBI KUBWA KWA HAMADI RASHID NA MSHIRIKA WAKE KAFULILA WALIVYOCHAKACHUKUA KANUNI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI.
Rejea nyuma kidogo. Mh Zitto ni M/kiti wa kamati ya fedha za mashirika ya umma. kura nyingi alizipata kutoka ccm. yeye mwenyewe alikuwa haamini lakini wabunge wa ccm walikubaliana kwa pamoja wampe zitto nafasi hiyo. hivyo si kweli kwamba ukiwa CDM na unaonekana kufaa wana CCM hawakupi kura that is simple justification.
 
Back
Top Bottom