TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,892
- 11,289
............nishaanguka kabisa mkuu, nimeamshwa kwa maji ya bridi hapa cornerMkuu shughuli yenyewe ndiyo kwanza inaanza, mbona kizunguzungu mapema?
............nishaanguka kabisa mkuu, nimeamshwa kwa maji ya bridi hapa cornerMkuu shughuli yenyewe ndiyo kwanza inaanza, mbona kizunguzungu mapema?
After Chadema's apparent failure to dissuade JK from endorsing the controversial Constitution Bill, people's faith in the party's elite has eventually started to shrink. Everyone was made to believe that Chadema delegation was capable of preventing the Bill from being signed but the outcome was disappointing. That Chadema has failed to take an advantage of a rare Presidential meeting to convince him not approve the Bill means that its leaders do not have postulated abilities necessary for a political leader.
Kuna watu wanashangilia furaha ya leo rais kusaini bila kutafakari madhara yake miaka 10 ijayo, tena haya madhara yatakuja kuirudi CCM yenyewe. But what is needed ni kusonga mbele na watu hawa hata nchi iwe nzuri kiasi gani huwa hawakosekani tumejionea Libya mtu analipiwa hadi kodi ya nyumba lakini still wameona hayo hayatoshi. Chadema tenda wema usingoje shukrani ya wachache ama wengi hamuwezi kupongezwa na wote.
Unajuwa angeenda Zitto mambo yangekuwa tofauti kabisa, hii ndio faida ya kupekleka walevi wakajadili jambo la muhimu kama Katiba.
Hasira ya nini kijana? Kama ni vipi na wewe pia unaweza kwenda kuonana na mkuu ukapata juice.Fafanua matusi yako wapi?
Wanashangilia bila kujua wanachoshangilia ni upuuzi ukiwauliza sababu wanasema rais kasaini na Chadema walienda kunywa chai, it is riduculous indeed tukiambiwa watanzania ni wajinga tutabisha sana na mapovu juu.Mkuu Waberayo me nadhani ungeweka hoja hapa ya ushauri wako kwa chadema kuliko kutoka povu kwa hasira! Je unatakaje? waungane na Cuf,tlp na ccm kupinga au waungane na jukwaa la katiba kuomboleza siku 9? Hebu tusubili hilo Tamko la cdm later then tujadili.
Fafanua matusi yako wapi?
Huo msimamo mlishindwa kuutoa mlipoenda ikulu mnataka muutoe leo. Hatutaki ngonjera zenu hapa za maandamano. Watu mmepewa heshima ya kuongea na Mkulu Ikulu mkaishia kukenua meno na kushangaa tausi wake tu. Mnataka mpewe nafasi gani zaidi ya hiyo?
nani mlevi kati ya walioenda?
Wanashangilia bila kujua wanachoshangilia ni upuuzi ukiwauliza sababu wanasema rais kasaini na Chadema walienda kunywa chai, it is riduculous indeed tukiambiwa watanzania ni wajinga tutabisha sana na mapovu juu.
Hata Nape mmemponza kwa njia hii hii ya kushangilia komenti zake za kipuuzi, leo mmemkimbia hatuoni mkiongelea kwisha habari yake kaiacha Chadema, hata hili la katiba siku likimgeuka aliyesaini ambaye ni hero leo mtakimbia kwa sababu mko kwa ajili ya komenti ya siku husika mfurahishane hamkomenti huku mkifikiria kuna kesho kujibu.Huku ni kujifariji na kujiliwaza hakuna kitu, katiba ni mali ya watanzania sio mali ya Chadema..
Kama mmetoka bungeni wakati wa vikao halafu mnakimbilia ikulu kuonana na rais msiomtambua mnapa mapendekezo yenu sijui mnategemea nini
Mimi nawapongeza CDM. Wamejaribu kufuata njia ya mazungumzo. Si ndio tunasisitiza kila siku? Watu wamalize njia zote za mazungumzo, ikishindikana kisago ndio njia pekee inayobaki. Kwa hiyo CDM hongereni sana. Mmedhihirisha hakuna Afrika katiba ya wananchi mpaka tuchinjane kwanza kama ilivyokuwa Rwanda na Kenya. Na hii itakuja tu, hata kama sote tulio hai leo tutakuwa tumekufa. Vizazi vyetu vijavyo watachapana tu ndio waheshimiane.
Wewe subiri utangaziwe majina ya wajumbe huna haja hata ya kujipanga.Jamani, tujipange na mapendekezo yetu kwa hatua inayofuata. Uundwaji wa TUME. Haya mengine tusubiri Bunge lijalo la January.