menyidyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 1,339
- 194
Chadema sasa mnataka kutoa msimamo gani tena wakati juzi mmekutana na rais ikulu mkanywa chai pamoja mkampa mapendekezo yenu!
Mapendekezo yamefanyiwa kazi? au hoja zimejibiwa kwa mantiki?
Chadema sasa mnataka kutoa msimamo gani tena wakati juzi mmekutana na rais ikulu mkanywa chai pamoja mkampa mapendekezo yenu!
Nyie ndio mtakuwa wa kwanza kukimbilia Ulaya kama wakimbizi.Mimi nawapongeza CDM. Wamejaribu kufuata njia ya mazungumzo. Si ndio tunasisitiza kila siku? Watu wamalize njia zote za mazungumzo, ikishindikana kisago ndio njia pekee inayobaki. Kwa hiyo CDM hongereni sana. Mmedhihirisha hakuna Afrika katiba ya wananchi mpaka tuchinjane kwanza kama ilivyokuwa Rwanda na Kenya. Na hii itakuja tu, hata kama sote tulio hai leo tutakuwa tumekufa. Vizazi vyetu vijavyo watachapana tu ndio waheshimiane.
If it is controversial? so what are your suggestions, watu mnashangaa mlitaka Chadema wamshikie bunduki rais asisaini they have played their part so play yours as mwananchi, are these jokes stands for your part?After Chadema's apparent failure to dissuade JK from endorsing the controversial Constitution Bill, people's faith in the party's elite has eventually started to shrink. Everyone was made to believe that Chadema delegation was capable of preventing the Bill from being signed but the outcome was disappointing. That Chadema has failed to take an advantage of a rare Presidential meeting to convince him not approve the Bill means that its leaders do not have postulated abilities necessary for a political leader.
If it is controversial? so what are your suggestions, watu mnashangaa mlitaka Chadema wamshikie bunduki rais asisaini they have played their part so play yours as mwananchi, are these jokes stands for your part?
Tatizo ni kufikiria kila siku ni leo. Ndio tatizo la viongozi wetu na baadhi yetu. Tumekuwa wachoyo sana kufikiria vizazi vyetu vijavyo kiasi kwamba 'we do not care anymore'! Sawa tunayo haki ya kufanya hivyo ila historia itatuhukumu.Nyie ndio mtakuwa wa kwanza kukimbilia Ulaya kama wakimbizi.
Na kwa akili yako hao watakao uana ni kina nani na nani?
Hakuna ushauri ambao CDM huwa wanauchukua toka kwa wanachama wake...in other words CDM haina tofauti na Kikwete wa CCM!! kila kitu usanii.....ona sasa aibu hii!
Mkuu Waberayo me nadhani ungeweka hoja hapa ya ushauri wako kwa chadema kuliko kutoka povu kwa hasira! Je unatakaje? waungane na Cuf,tlp na ccm kupinga au waungane na jukwaa la katiba kuomboleza siku 9? Hebu tusubili hilo Tamko la cdm later then tujadili.
kaka unatutisha na misimamo yako ya kuyumbayumba...unakuwa kama 'Cameron' anayekula na kuliwa papohapo...! Haya bana...naona Nape amekushikilia kwenye ukuta kwelikweli!After Chadema's apparent failure to dissuade JK from endorsing the controversial Constitution Bill, people's faith in the party's elite has eventually started to shrink. Everyone was made to believe that Chadema delegation was capable of preventing the Bill from being signed but the outcome was disappointing. That Chadema has failed to take an advantage of a rare Presidential meeting to convince him not approve the Bill means that its leaders do not have postulated abilities necessary for a political leader.
Habari zenu wana JF;
Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo tarehe 30/11/2011 kinatarajia kutoa msimamo mzito baada ya Rais kusaini muswada wa upatikanaji wa katiba mpya.
M/kiti wa CDM Mbowe "Tulimuomba Rais Kikwete asisaini muswada huu mpaka makubaliano yetu yatekelezwe"
Kaimu Katibu mkuu wa CDM, Mnyika "Chama kitatoa msimamo mzito leo, tulimshauri Raisi Kikwete asisaini muswada huu mpaka kwanza tuliyokubaliana yatimizwe"
Wakuu mwenye taharifa zaidi atujuze.
Nawasilisha.
Mapendekezo yamefanyiwa kazi? au hoja zimejibiwa kwa mantiki?
Kuna watu wanashangilia furaha ya leo rais kusaini bila kutafakari madhara yake miaka 10 ijayo, tena haya madhara yatakuja kuirudi CCM yenyewe. But what is needed ni kusonga mbele na watu hawa hata nchi iwe nzuri kiasi gani huwa hawakosekani tumejionea Libya mtu analipiwa hadi kodi ya nyumba lakini still wameona hayo hayatoshi. Chadema tenda wema usingoje shukrani ya wachache ama wengi hamuwezi kupongezwa na wote.wengi waliochangia kwa kuwaponda chedema na kumshangilia JK nimewashangaa sana tena sana, ni muhimu kutumia hekima kwa haya mambo yanayotuhusu na kutulenga kila mmoja wetu, hiyo sheria iliyopitishwa itatunyonya wote na kutukandamiza zaidi kiuchumi na tutabaki maskini kila siku! tena tutazidi kuwa walalahoi wakati watu wachache sana wakinufaika kimaisha. mimi sina chama chochote ila napenda kuwashauri wenzangu tuwe makini maana inatulenga kila mmoja,Chadema imefanya sehemu yake katika jitihada za kusaidia sheria irekebishwe ili kumnufaisha mwananchi ambae ni mimi na wewe, leo hii mtu anaongea vibaya na kushangilia kile kinachofanywa. natamani sana mngejua tunakoelekea ni kubaya zaidi, msingenena mliyonena wale mnaoshangilia, kaeni chini na kutafakari,yatakuwaje maisha yenu,watoto wenu na hata wajukuu zenu. ndio Tanzania tunayoitaka hiyo??? tujadili kihekima zaidi.
kaka unatutisha na misimamo yako ya kuyumbayumba...unakuwa kama 'Cameron' anayekula na kuliwa papohapo...! Haya bana...naona Nape amekushikilia kwenye ukuta kwelikweli!
kaka unatutisha na misimamo yako ya kuyumbayumba...unakuwa kama 'Cameron' anayekula na kuliwa papohapo...! Haya bana...naona Nape amekushikilia kwenye ukuta kwelikweli!
Fafanua matusi yako wapi?Huwezi kutumia lugha za kiungwana mpaka utumie lugha za matusi ndio tukuone mjanja?