Chadema kutaka maelezo toka wabunge 10 ambao hawakuja Bungeni wakati wa "walkout'

Status
Not open for further replies.
Uamuzi huu ni mzuri sana,lakini wafanye kwa umakini mkubwa kwa sababu isije ikatokea kama mwaka 1995 ambapo ulizuka mgogoro mkuu baada ya NCCR MAGEUZI baada ya kufukuzwa uanachama kwa Nyakyoma!!!
 
Zitto Kabwe ni chaguo letu kigoma hata mkimtoa atakuwepo.
Ukweli unauma sana.
Hapa ndio unajua Chadema ni chama cha ukoo,na ukabila.
Hata chacha wangwe aliwaeleza ukweli kuhusu ruzuku akafukuzwa na Mbowe na Slaa
 
wanajamvi,nimefurahishwa mno na tamko la tundu lisu hasa kuhusu msisitizo juu ya zitto kabwe.ni wakati muafaka wa kumtimua huyu kibaraka.aondoke mapema ili akamshukuru vizuri jk.viva tundu lisu.itisha hata maandamano sisi vyuo vikuu ametutia kinyaa huyo zito.pia amehujumu chama kigoma.hajawahi kubatilisha kauli yake kumsaidia kafulila.pia ni yeye alikuwa nyuma ya mafanikio ya nccr.huyu ni kansa tukimlea tutakuja kukata mguu mzima

Mkuu ni kweli kuwa Lissu alimtaja Zitto au tu yeye alisema wale wanachama 10 ambao hawakuwa bungeni?
Ni vema watanzania tukawa watu wa facts na kuacha porojo kila siku, hii inashusha hadhi ya jamvi hili ambalo limejijengea heshima kubwa sana huku mitaani.

Zitto mwenyewe alishakuja hapa na akaomba radhi kwa kitendo chake cha kuongea na media baada ya kukataa kuingia bungeni maana hiko ndicho kilichowakasirisha wale wanaompenda ZItto. Wote tunakubali hoja ya Zitto kuwa lazima kuwe na tofauti ya mtizamo katika sera maana hapo ndipo maendeleo yatapatikana kwa watu kutofautiana hoja na baadae kukubaliana katika hoja iliyokubaliwa na wengi.

Hili jambo la CHADEMA kama chama walikubaliana wote hivyo wale ambao hawakuwepo wana kila sababu ya kuulizwa kwa nini hawakuwepo na sio mtoa hoja unavyotaka kufanya watu waamini kuwa kauli ya Lissu ilimlenga Zitto, this is not right mazee!

Ni vema kufatilia vitu kulio kueleza misimamo yetu na ya kupotosha ukweli, unless ukaweka taarifa yote ya Lissu kuthibitisha hilo au binasi nitaendelea kuamini kuwa hya ni mawazo yako na wishes zako kuona Zitto anafukuzwa japo siamnini kama litatokea mazee, sababu hata kama litatokea sio kw kosa hilo na linaweza tokea hata kwa Mbowe mwenyewe na sio Zitto tu ni pale mtu anapokiuka maadili au kukisaliti chama mazee!
 
Zitto Kabwe ni chaguo letu kigoma hata mkimtoa atakuwepo.
Ukweli unauma sana.
Hapa ndio unajua Chadema ni chama cha ukoo,na ukabila.
Hata chacha wangwe aliwaeleza ukweli kuhusu ruzuku akafukuzwa na Mbowe na Slaa
Kigoma sio mazumbukuku hawakubali tuu jambo kwa sababu ya mtu akiwa mjinga muulize Kaborou alibebewa jeneza kwa hiyo tafadhali usiwapake matope watu wakigoma kwamba wanakubaliana na wajinga wasio kuwa na nidhamu
 
wanajamvi,nimefurahishwa mno na tamko la tundu lisu hasa kuhusu msisitizo juu ya zitto kabwe.ni wakati muafaka wa kumtimua huyu kibaraka.aondoke mapema ili akamshukuru vizuri jk.viva tundu lisu.itisha hata maandamano sisi vyuo vikuu ametutia kinyaa huyo zito.pia amehujumu chama kigoma.hajawahi kubatilisha kauli yake kumsaidia kafulila.pia ni yeye alikuwa nyuma ya mafanikio ya nccr.huyu ni kansa tukimlea tutakuja kukata mguu mzima

sitoi hoja hapa.

ninamuheshimu ZK.

Atamalizana na uongozi na nitakuwa tayari kupokea kwa furaha kile ambacho uongozi utaamua juu yake.
 
Nashangaa sana ninapoona media zina muendekeza huyu mtu, si lolote si chochote zaidi ya cheap popularity aliyoipata bunge la 9. Simpendi hata kidogo.:redfaces:
 
Sawa Lissu amesema kama muweka nidhamu ktk upinzani lazima waulizwe. Zitto ameshaeleweka kama alivyojieleza mwenyewe hapa JF. Hawezi hata siku moja kuparaganyisha upinzani sahihi kwa ajenda binafsi kama ipo. Ktk post moja tumeelezwa hata jinsi anavyotumiwa na usalama wa taifa etc na jinsi alivyokaribu na Ridhi JK (ingawa hii si muhimu sana kwani siasa si uadui ni ideology) lakini tukumbuke kuwa CDM imekua sasa kuliko ilivyokuwa zamani na sasa wanatakiwa kuwa na mtizamo wenye akili zaidi katika kuchukua maamuzi maana wana maadui wengi pia. Nyongeza ingine ni kuwa sikubaliani na kuwa CDM ni chama cha kindugu kwa sasa ingawa najua wenzetu toka (North wamejitoa mhanga sana kuendeleza upinzani wa kweli Tanzania) ninatarajia kila jambo kuhusu kuendeleza chama litafanyika kwa busara. Je Sugu au Mzee Arfi, Zitto ni Wachaga?
 
Sawa Lissu amesema kama muweka nidhamu ktk upinzani lazima waulizwe. Zitto ameshaeleweka kama alivyojieleza mwenyewe hapa JF. Hawezi hata siku moja kuparaganyisha upinzani sahihi kwa ajenda binafsi kama ipo. Ktk post moja tumeelezwa hata jinsi anavyotumiwa na usalama wa taifa etc na jinsi alivyokaribu na Ridhi JK (ingawa hii si muhimu sana kwani siasa si uadui ni ideology) lakini tukumbuke kuwa CDM imekua sasa kuliko ilivyokuwa zamani na sasa wanatakiwa kuwa na mtizamo wenye akili zaidi katika kuchukua maamuzi maana wana maadui wengi pia. Nyongeza ingine ni kuwa sikubaliani na kuwa CDM ni chama cha kindugu kwa sasa ingawa najua wenzetu toka (North wamejitoa mhanga sana kuendeleza upinzani wa kweli Tanzania) ninatarajia kila jambo kuhusu kuendeleza chama litafanyika kwa busara. Je Sugu au Mzee Arfi, Zitto ni Wachaga?

Inawezekana uko sahihi ila sikubaliani na wewe nitakupa mifano kama umefatilia ishu Wangwe ilikuwa simple misunderstanding between Wangwe na uongozi wa juu. Sasa ukiangalia hii ni hatari kwasababu Chadema inaonekana kama chama chenye mfumo dume kwamba kama hukubaliani na mitazamo ya uongozi wa juu basi wewe sio pamoja nao. Sasa hili sakata linataka kumuangukia Zitto Kabwe maskini na wengine wote ambao hawakubaliani na uongozi wa juu (Mbowe na Slaa). Inaonekana CDM inaendesha kiubabe ubabe sijui mngelichukua nchi ingelikuwaje?
 
Na ni vizuri akafukuzwa mapema kabla ya 2015, asije tumika na chama kingine kama mtaji wa kisiasa. So afukuzwe sasa alafu TUMLEGEZEE WEEEE mpaka 2015, hamna kitu then Kigoma Kaskazini tunaichukua chadema tena.

1.Yeye ndo alikuwa akitetea mitambo ya DOWANS inunuliwe, eti tutakuja kukaa kwenye giza, NANI KALIONA HILO GIZA TOKEA WASEME yeye na Rashidi??

2.Alipoambiwa atulie asigombee uenyekiti, amuache CHIEF IN COMMAND aendelee, akaanza kuwagawanya wanachama, JE Kikwete bila kuambiwa na Nyerere atulie 1995 JIULIZE TZ INGEKUWA WAPI LEO?? so hata zitto baadae akija kuchaguliwa kuiongoza CHADEMA atafanya kama anayofanya Kikwete leo KAMA MNABISHA JARIBUNI, sisi wanaCCM tutafurahia tu.

3.Yeye ndio alioonekana yupo nyumbani kwa Lowasa, Kenyatta Road kesho yake asubuhi asubuhi tu baada ya kutoa hoja ya Buzwagi.

4.Na tukubaliane, CHADEMA bila Zitto inawezekana, kwanza NATAKA WATANZANIA WAJUE, zile hoja zooote alikuwa anapewa na chama akazizungumze, siyo kwamba alikuwa na source yeyote, so akiondoka TUTAMPA MTU MWINGINE azizungumze.

NAIPENDA CCM, lakini sipendi UONGOZI WA CCM.................... NAIPENDA CHADEMA lakini NAUPENDA NA UONGOZI WA CHADEMA ukiwa BILA ZITTO

Kwanini sasa hivi hatuko katika giza au huoni mgao usio na kichwa wala miguu unaondelea Tanzania?
 
wanajamvi,nimefurahishwa mno na tamko la tundu lisu hasa kuhusu msisitizo juu ya zitto kabwe.ni wakati muafaka wa kumtimua huyu kibaraka.aondoke mapema ili akamshukuru vizuri jk.viva tundu lisu.itisha hata maandamano sisi vyuo vikuu ametutia kinyaa huyo zito.pia amehujumu chama kigoma.hajawahi kubatilisha kauli yake kumsaidia kafulila.pia ni yeye alikuwa nyuma ya mafanikio ya nccr.huyu ni kansa tukimlea tutakuja kukata mguu mzima

keshafukuzwa huyo kidudu mtu angalia taarifa ya habari leo jioni
 
Hivi wana jf wengi ni wana cdm?

Tuko wengine hatuna chama kwani Chadema kumejaa wabaguzi na watu wenye mtazamo hasi dhidi watu fulani. CCM imejaa mafisadi , CUF imejikita zaidi zanzibar itakuwa nguvu ndogo sana Tanzania Bara sijui labda hapo baadae. Bora tuwe hatuna chama
 
sitoi hoja hapa.

ninamuheshimu ZK.

Atamalizana na uongozi na nitakuwa tayari kupokea kwa furaha kile ambacho uongozi utaamua juu yake.

onyesha msimamo kama unamtaka zitoo au chadema,MIMI SITAKI KUMUONA ZITTO CHADEMA KAMA AMBAVYO SITAKI KUIONA CCM IKITUONGOZA
 
umaarufu upi mbele ya mnyika,mdee,silinde, wenje,nyerere,na lisu! Anamzidi kamanda wa anga mbowe umaarufu? Au anamzidi dr slaa? Sasa ajue kuwa si lolote.atemwe aondoke.aende akanyonye kwa rostamu,yeye na mbatia.
Umakini umtumke, kila siku ni jumatano.
 
umaarufu upi mbele ya mnyika,mdee,silinde, wenje,nyerere,na lisu! Anamzidi kamanda wa anga mbowe umaarufu? Au anamzidi dr slaa? Sasa ajue kuwa si lolote.atemwe aondoke.aende akanyonye kwa rostamu,yeye na mbatia.
Silinde, Wenje, Nyerere washakuwa maarufu tayari, basi nao wajiangalie vile vile kama mwenzao Mzito
 
Haka kajama katimuliwe tu hakana maana kabisa ,na CDM wakizidi kukalea itawa cost sana siku si nyingi .
 
Mi nionavyo njia ya mheshimiwa zitto iko hivi"sasa yupo cdm,baada ya cdm atakua nccr then ccm baada ya ccm ataunda chama chake"lakini kwa kuwa safari hii kasemwa sana anaweza akajifanya kuwanyenyekea viongozi.siku wa kimuudhi tu anahama kwa kisingizio cdm wanamuonea.kila mgogoro unaotokea cdm mala nyingi huyu jamaa utakuta yumo.mara anatakauenyekiti,wenzake wanafanya kampeni yeye anaenda sehemu nyingine ili watu waseme cdm inatenga waisilimu..akibanwa sana eti nilikua na kazi nyingine mpanda.siku zote mgema akisifiwa....Amekaa bungeni lakini ameshindwa kuongeza wabunge toka kigoma kwa kuwasaidia kupiga kampeni ili watu waseme cdm chama cha ukabila.asitoke akae tu chadema kwani adui ukishamjua si adui tena.haiwezekani usifie kitanda champinzani wako.unamheshimu mwenyekiti wa ccm unamdharau wa cdm.huo no unafiki.mi namuomba ajirekebishe vilevile aombe msamaha viongozi wake.anawaumiza vichwa sema tu wanamvumilia.chama kina mambo mengi ya kufanya hatutaki kila siku iwe zitto tu.mi ananiudhi....
 
Tatizo la Zitto ni lile lile la MISIFA. Anataka aongeze umaarufu lakini kutokana na CHADEMA kuingiza bungeni vichwa machachari ambavyo yeye anaona vinatishia umaarufu wake ndio inamfanya kutapatapa huku akizua ya udini, ukabila etc just like what Mwl. Nyerere said. Anyway, I think CHADEMA should be very careful about him just to ignore him in various hot issues hadi akate tama mwenyewe aondoke then yamkute kama yale ya Hiza, kifo cha kisiasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom