CHADEMA kusimamisha shughuli kwa ajili ya sensa huku Fiesta Mwanza kuendeleza

Fiesta ya jana nadhani imekusanya watu wengi kuliko hata huo ufunguzi wa matawi ya Chadema, hiyo ni sawa, Ufunguzi wa kampeni za CCM Bubuuu ni sawa, Kurudisha form kwa maandamano na BASTOLA kwa Uchaguzi wa UVCCM na Jumuiyaya
Wazazi CCM ni sawa,
 
Wakuu mi nashangazwa sana na jinsi mambo yanavyoenda hivi sasa. Chaguzi za ccm zinaendelea maeneo mbalimbali ya nchi lakini Chadema baada ya kuzuiwa kufanya mikutano wameamua kufungua matawi tu. Lakini tunaambiwa kuna sensa sensa ndo mduduwasha gan?

Mh nilijua tu hii chuki yenu dhidi ya waislam mpaka mkaunga mkono sensa ili kuwakomoa itawatokea puani.Haya sasa endeleni na uzalendo msubiri sensa iishe si wiki tu jamani.
 
Mh nilijua tu hii chuki yenu dhidi ya waislam mpaka mkaunga mkono sensa ili kuwakomoa itawatokea puani.Haya sasa endeleni na uzalendo msubiri sensa iishe si wiki tu jamani.
Waislam inatokea wapi tena. Mbona chaguzi za ccm hujazigusia mkuu! Ona hata aibu mkubwa
 
Ninashangazwa sana ki hiiserikali yetu Eti wana zuia mikutano ya chadema kisa eti kunakuhesabu watu
hivi hii tamasha la fiesta linanoendelea mikoa kwamkoa lenyewe halina mkusanyiko wawatu ? na je lenyewe hali haribu ishu yakuhesabiwa?

Ni wazi kua chadema kina wasumbua sana akili na wana tumia namna yeyote kuhakikisha kua hakipati nafasi
ukiona utawala wanchi umefika mahali kama hapa ujue tunako elekea sio kuzuri kabisa safari nindefu sana

kwahaya mauaji yanayo tokea kila siku hakuna mahaka ya Afrika tunaweza washitaki ? inaniuma sana kuona haya tena ya watu ambao hawana hatia

nauliza tena Fiesta yenyewe haina mkusanyiko? ama hi amri inagusa vyama vyasiasa tu ?
 
Wadau kuna jambo limekuwa likinishangaza sana na limeanza siku chache kabla ya siku ya sensa kuanza.Serikali imekuwa ikizuia mikutano ya Chadema eti itaharibu shughuli za sensa.Sasa why mikutano ya kisiasa na sio ya kimichezo,harusi,misiba,n.k ?
Pia kama kutokuwepo kwa watu katika makazi yao kwanini serikali haikutoa mapumziko ya wiki nzima ili watu wabaki nyumbani na kushiriki shughuli za sensa ? pia kwani hawakupiga marukufuku watu kusafiri kwa ndege ,meli,mabasi,treni ili kuhakikisha kwamba watu wanashiriki kikamilifu katika zoezi ili muhimu.Inashangaza kwamba mikutano ya kisiasa tu (sio mkusanyiko wa Fiesta ,Twanga Pepeta ,FM Academia,Taarab,etc) ndo ndio inaharibu shughuli za sensa.
 
Labda utawala wa majimbo tayari umeshakuwa - implemented kuwa Iringa ni jimbo lililokuwa na sheria tofauti na majimbo mengine (Just guessing). Hii nchi inateswa na tatizo la watu
(a) kulewa madaraka
(b) Kukosa elimu
(c) Kukosa uzalendo
(d) Ubinafsi
(e) Unyang'au wa kutaka kuonekana wanajua kufanya kazi bila kuwa na ufanisi wowote katika kuwasaidia raia
(f)...
.
.
.

Ili la iringa lukuvi linamuhusu sana!
 
tamasha na mkutano ni vitu tofauti kabisa, tamasha ni kama sherehe na mkutano si sherehe, sema lengine mkuu,
 
Ukweli ni kuwa hakuna anayefaulu vizuri shuleni au chuoni anayeomba kazi ya upolisi.

Kazi ya upolisi inakuja tu baada ya kukosa ajira nzuri.

Mtapinga, ila thats a naked truth!
 
Ninawasikitikia polisi wanaokubali kutumiwa na wanasiasa kwa maslahi yao binafsi, bila ya wao polisi kujielewa kuwa na wao ni raia - tunaishi nao mitaani. La ikiwa wao wanajiona si sehemu ya raia, wakumbuke kuwa wana familia zao: wazazi, wake na watoto na jamaa.

Ni hatari sana inapofika wakati "Chombo ambacho kinatakiwa kiwe cha "Usalama wa Raia" kinageuka kuwa "Adui Nambari Moja wa Raia". Polisi amkeni, mnatumiwa vibaya huku nyinyi wenyewe mkiwa mnanyasika na wanaowatuma. Hamna mishahara mizuri, hamna makazi mazuri, hamna pensheni ya kuwasaidieni mnapostaafu (waangalieni wenzenu waliotangulia walio taafu wanaishi maisha gani), hamna chochote zaidi ya bunduki na mabomu mnayotumwa mnyanyase na muue raia.

Amkeni polisi amkeni kabla hamjachelewa!
 
Ni ishara kwamba CCM imeshikwa pabaya na haina sera za kuwavutia watanzania. Chadema wanakubalika na wananchi walio wengi. Ni hekima CCM kukubali ukweli na kuondoka madarakani ki amani.
 
1). Fiesta Mwanza 2/9/2012
2). Mkutano wa Mbunge ulifanyika huko Mwanza 2/9/2012
3). Ufunguzi wa kampeni jimbo la Bububu huko Zanzibar 2/9/2012
4). Uchaguzi wa UVCCM Dar 2/9/2012
Then kwanini CHADEMA walizuiwa kufungua matawi yao huko Iringa 2/9/2012?

Uchaguzi wa UVCCM TUKUYU 2/9/2012;
MKUTANO MKUBWA WA INJILI MOSHI 4/9/2012.
 
Labda utawala wa majimbo tayari umeshakuwa - implemented kuwa Iringa ni jimbo lililokuwa na sheria tofauti na majimbo mengine (Just guessing). Hii nchi inateswa na tatizo la watu
(a) kulewa madaraka
(b) Kukosa elimu
(c) Kukosa uzalendo
(d) Ubinafsi
(e) Unyang'au wa kutaka kuonekana wanajua kufanya kazi bila kuwa na ufanisi wowote katika kuwasaidia raia
(f)...
.
.
.
kwetu sisi tulioko huku vijijini huwa tunaamini kuwa ukiona giza linazidi ujue alfajiri inakaribia.
Vivyo hivyo ukiona akili ndogo inazidisha viloja ni wazi AKILI KUBWA inakaribia kuchukua majukumu ya kuelekeza ni jinsi gani mambo yaende!
 
Its so sad jamani, ila ipo siku wanayofanya sasa wo CCM watakuja kulalamika, wasidhani wana hati miliki ya kutawala milele
 
Back
Top Bottom