Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Akili ya CCM haichanganyiki hata na akili ya Nguruwe...Zoezi limefanikiwa kwa asilimia 95.....bado asilimia 5 tu
Hiyo asilimia 5 ya wasiohesabiwa wapo Iringa peke ake
kama 1 week = 95% perfomance, kwa nini unaongeza another 1 week kwa ajili ya 5%??
Kama mimi ndo boss wake huyo mama Amina, ningemrudisha shule akasome upya.
Upuuzi mtupu.