Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
Shuka kama unaelewa unachofanya, Mi mwanaCDM hai sio shabiki kama wewe na hapa najaribu kuweka mambo sawa kama mwanachama, ila kwa wewe mpiga porojo endelea. Nipo kwa ajili ya kujenga chama sio kukishabikia kama wewe.
Japo si mwanaCDM imemjibu vizuri sana na kwa busara ya hali ya juu japo bado naamini hatakuelewa si tu kwa sababu labda ya uelewa mdogo bali kwa kuwa kwanza hajajua hoja vizuri na hata kama hajajua kashindws kupambanua na hata kama kaweza au kashindwa ushabiki hautampa afikie lengo.
Kuna watu wengine Mungu awarehemu tu manake they are just waiting to praised hawataki kabisa kusikia kasoro sasa binadamu au Chama kisicho na kasoro ni kipi hicho
na kasoro hizo zisiposemwa watu watajirekebisha vipi! Ulofa mbaya sana' pole sana kaka
ila toa mawazo yako achana na watu wa vijiweni.....