commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Kulingana na kauli na wito alioutoa Rais kikwete,leo wakati akihutubia wana ccm katika maadhimisho ya miaka 35 ya uhai wa ccm.Amewataka wana ccm kujiandaa kulikomboa jimbo la Ilemela na Nyamagana,kutoka kwa chama cha cdm..
Ni vema na wakati muafaka kwa chadema sasa kufikiria wazo la kufanya sherehe mbadala na hizi,ikiwa kama njia muafaka ya kuimarisha chama na kupima nguvu zake.hii ikiwa ni mkakati maalumu wa kujizatiti kileleni katika siasa za kanda ya ziwa.
Natoa wazo kama maoni yangu binfsi.
Ni vema na wakati muafaka kwa chadema sasa kufikiria wazo la kufanya sherehe mbadala na hizi,ikiwa kama njia muafaka ya kuimarisha chama na kupima nguvu zake.hii ikiwa ni mkakati maalumu wa kujizatiti kileleni katika siasa za kanda ya ziwa.
Natoa wazo kama maoni yangu binfsi.